Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Aachane nao ni kupoteza muda bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🖕 Asante Kwa kuinjoy hiyo kitu.Msalimie mama yako mwambie nime enjoy sana jana usiku . Tatizo anyoe mavuzi.
Asipohudhuria nani atakuwa anamkomia mwenzake?
Baada ya leo kushindikana kwa Mahojiano yaliyopangwa kufanyika kwenye Studio za Wasafi FM , Baina ya Watangazaji wa kituo hicho na Tundu Lissu , imekubaliwa kwamba itapangwa siku nyingine kwa ajili ya jambo hilo
Ukweli ni kwamba Sababu zilizotolewa na Wasafi media kama utetezi wa mkanganyiko huo hazitoshi hata Chembe , na baada ya uchunguzi wetu tumeanza mara moja kutilia mashaka jambo hili iwapo litafanyika wakati mwingine .
Sababu kuu iliyotolewa na Wasafi Media ni kwamba HAWAKUJIPANGA , mahojiano muitishe nyie halafu mnasema hamkujipanga ! mwataka kujipangaje , ili iweje ?
Ushauri wetu kwa Tundu Lissu asithubutu kuhudhuria mahojiano mengine kwenye studio hiyo , au kama ni lazima ahudhurie basi ni muhimu na ni lazima aende na mic yake pamoja na kiti chake , hii ni kwa sababu za kiusalama .
Naomba kuwasilisha .
Kuna tatizo gani mtoa mada kutoa angalizo? Kama muhalifu mwenyewe anasema mna michezo ya sumu, Lisu ni nani asipewe tahadhari? Au ww ndio uko kitengo Cha kupakaa sumu Nini?
Anzisha TV yako Ili kucha kutwa uwe ukihojiana na Tundu Lissu au yeyote unayemuona bila yeye maisha hayawezi kwenda. Usitoe matusi Kwa Mali ya watu au wewe mwenyewe nenda ukamhoji, Kwani lazima wasafi.Wasafi kumbe takataka..na huyo alie juu mwambieni kuna yule alie juu zaidi mawinguni...huyo ndio kiboko ya binadamu wote
Eti maaelekezo kutoka juu..hahaha bullshit
Unaikumbuka Tunatekeleza ya TBC ?Anzisha TV yako Ili kucha kutwa uwe ukihojiana na Tundu Lissu au yeyote unayemuona bila yeye maisha hayawezi kwenda. Usitoe matusi Kwa Mali ya watu au wewe mwenyewe nenda ukamhoji, Kwani lazima wasafi.