Ushauri: Tundu Lissu usihudhurie Interview nyingine itakayopangwa na WASAFI FM

Ushauri: Tundu Lissu usihudhurie Interview nyingine itakayopangwa na WASAFI FM


Baada ya leo kushindikana kwa Mahojiano yaliyopangwa kufanyika kwenye Studio za Wasafi FM , Baina ya Watangazaji wa kituo hicho na Tundu Lissu , imekubaliwa kwamba itapangwa siku nyingine kwa ajili ya jambo hilo

Ukweli ni kwamba Sababu zilizotolewa na Wasafi media kama utetezi wa mkanganyiko huo hazitoshi hata Chembe , na baada ya uchunguzi wetu tumeanza mara moja kutilia mashaka jambo hili iwapo litafanyika wakati mwingine .

Sababu kuu iliyotolewa na Wasafi Media ni kwamba HAWAKUJIPANGA , mahojiano muitishe nyie halafu mnasema hamkujipanga ! mwataka kujipangaje , ili iweje ?

Ushauri wetu kwa Tundu Lissu asithubutu kuhudhuria mahojiano mengine kwenye studio hiyo , au kama ni lazima ahudhurie basi ni muhimu na ni lazima aende na mic yake pamoja na kiti chake , hii ni kwa sababu za kiusalama .

Naomba kuwasilisha .
Asipohudhuria nani atakuwa anamkomia mwenzake?
 
Kuna tatizo gani mtoa mada kutoa angalizo? Kama muhalifu mwenyewe anasema mna michezo ya sumu, Lisu ni nani asipewe tahadhari? Au ww ndio uko kitengo Cha kupakaa sumu Nini?

Wasafi kumbe takataka..na huyo alie juu mwambieni kuna yule alie juu zaidi mawinguni...huyo ndio kiboko ya binadamu wote
Eti maaelekezo kutoka juu..hahaha bullshit
Anzisha TV yako Ili kucha kutwa uwe ukihojiana na Tundu Lissu au yeyote unayemuona bila yeye maisha hayawezi kwenda. Usitoe matusi Kwa Mali ya watu au wewe mwenyewe nenda ukamhoji, Kwani lazima wasafi.
 
Anzisha TV yako Ili kucha kutwa uwe ukihojiana na Tundu Lissu au yeyote unayemuona bila yeye maisha hayawezi kwenda. Usitoe matusi Kwa Mali ya watu au wewe mwenyewe nenda ukamhoji, Kwani lazima wasafi.
Unaikumbuka Tunatekeleza ya TBC ?
 
Kama vipi chadema waanzishe radio/tv station yao.

Waache lialia
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Back
Top Bottom