gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,717
- 6,465
Kama maisha ya lissu hayakuhusu kausha.vinginevyo wewe ndo una ubongo mgando kabisa.Mawazo mgando.
Kunasababu zimeshatolewa maelezo wewe unakuja na ngojera zako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama maisha ya lissu hayakuhusu kausha.vinginevyo wewe ndo una ubongo mgando kabisa.Mawazo mgando.
Kunasababu zimeshatolewa maelezo wewe unakuja na ngojera zako
Jibu nimetoa na usanii ni kazi yangu siwezi kuiacha😅Nimekuuliza wasafi wataanguka sababu ya kutomuhoji Lissu si kituko hicho? Jibu hoja acha kuruka ruka kisanii
Basi wewe ni hamnazo mkuu😂Jibu nimetoa na usanii ni kazi yangu siwezi kuiacha😅
Ni mtazamo wako maana waarabu wa pemba.....😅Basi wewe ni hamnazo mkuu😂
Hayahamna cha kufanya sasa ni lazima mgeleta uzi coz you have limited altenatives....
kokote pale muendako mnabuma na 2025 hiyo apo kwa kona ya moise katumbi yanawafuata kwa karibu sana 😀
yes ndio ivoHaya
We ndo takataka ya tanganyika,hivi nyie elimu zenu zipoje🙄.Wacha kiherehere. Ulikuwa unahojiwa wewe?Aliyetaka kuhojiwa karidhika wewe zumbukuku unakaza fuvu kujipa umaarufu na uwezo usiokunao.
Sibishani na mbwa.Mlete mwenye mbwa wewe aseme anachotaka kusema.Mbwa wewe hata kuandika hujui.We ndo takataka ya tanganyika,hivi nyie elimu zenu zipoje🙄.
Majitu mengine kas misukule,emu kabeekee Kwa bwana zako huko ukale mabaki ya mezani Paka mjane wewe.
HakikaKila asikilizwapo LISU huwezi kosa maarifa Leo pia nimepata
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]Mmnapoambiwa kuwa mzee Mbowe anapeleka wapi ruzuku mnaanza kupiga mayowe,imagine chama kina zaidi ya miaka thelathini hakina hata gazeti ,hawa ndio wanataka eti kupewa nchi ?jamani watanzania sio wajinga eti[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Lissu ovyo kabisaView attachment 2896938
Baada ya leo kushindikana kwa Mahojiano yaliyopangwa kufanyika kwenye Studio za Wasafi FM , Baina ya Watangazaji wa kituo hicho na Tundu Lissu , imekubaliwa kwamba itapangwa siku nyingine kwa ajili ya jambo hilo
Ukweli ni kwamba Sababu zilizotolewa na Wasafi media kama utetezi wa mkanganyiko huo hazitoshi hata Chembe , na baada ya uchunguzi wetu tumeanza mara moja kutilia mashaka jambo hili iwapo litafanyika wakati mwingine .
Sababu kuu iliyotolewa na Wasafi Media ni kwamba HAWAKUJIPANGA , mahojiano muitishe nyie halafu mnasema hamkujipanga ! mwataka kujipangaje , ili iweje ?
Ushauri wetu kwa Tundu Lissu asithubutu kuhudhuria mahojiano mengine kwenye studio hiyo , au kama ni lazima ahudhurie basi ni muhimu na ni lazima aende na mic yake pamoja na kiti chake , hii ni kwa sababu za kiusalama .
Naomba kuwasilisha .
Ha ha.
Baada ya leo kushindikana kwa Mahojiano yaliyopangwa kufanyika kwenye Studio za Wasafi FM , Baina ya Watangazaji wa kituo hicho na Tundu Lissu , imekubaliwa kwamba itapangwa siku nyingine kwa ajili ya jambo hilo
Ukweli ni kwamba Sababu zilizotolewa na Wasafi media kama utetezi wa mkanganyiko huo hazitoshi hata Chembe , na baada ya uchunguzi wetu tumeanza mara moja kutilia mashaka jambo hili iwapo litafanyika wakati mwingine .
Sababu kuu iliyotolewa na Wasafi Media ni kwamba HAWAKUJIPANGA , mahojiano muitishe nyie halafu mnasema hamkujipanga ! mwataka kujipangaje , ili iweje ?
Ushauri wetu kwa Tundu Lissu asithubutu kuhudhuria mahojiano mengine kwenye studio hiyo , au kama ni lazima ahudhurie basi ni muhimu na ni lazima aende na mic yake pamoja na kiti chake , hii ni kwa sababu za kiusalama .
Naomba kuwasilisha .
Hawa ni wa kutiliwa mashaka hawa c wa kuaminiwa hata kidogo. Nashauri asiende badala yake wahojiane mtandaoni tuu kwa kutumia zoom au aina nyingine
Baada ya leo kushindikana kwa Mahojiano yaliyopangwa kufanyika kwenye Studio za Wasafi FM , Baina ya Watangazaji wa kituo hicho na Tundu Lissu , imekubaliwa kwamba itapangwa siku nyingine kwa ajili ya jambo hilo
Ukweli ni kwamba Sababu zilizotolewa na Wasafi media kama utetezi wa mkanganyiko huo hazitoshi hata Chembe , na baada ya uchunguzi wetu tumeanza mara moja kutilia mashaka jambo hili iwapo litafanyika wakati mwingine .
Sababu kuu iliyotolewa na Wasafi Media ni kwamba HAWAKUJIPANGA , mahojiano muitishe nyie halafu mnasema hamkujipanga ! mwataka kujipangaje , ili iweje ?
Ushauri wetu kwa Tundu Lissu asithubutu kuhudhuria mahojiano mengine kwenye studio hiyo , au kama ni lazima ahudhurie basi ni muhimu na ni lazima aende na mic yake pamoja na kiti chake , hii ni kwa sababu za kiusalama .
Naomba kuwasilisha .
HayaLissu ovyo kabisa
Chadema hawana shida yoyote na Wasafi bali wasafi ndio wana shobokea ChademaSio kitu kikubwa na Tv ya wasafi TV wasitangaze chochote Cha Chadema Wala Tundu Lisu