Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 1,380
- 1,686
- Thread starter
-
- #81
Jaribu kufanya sana tena kama ngono fanya kavu ikikupendeza hata kwa mpalange, maana siku zako zinahesabika,.Ili tupate wote hiyo HIV uliyonayo
KaabisaaKula pombe mkuu, sote ni chakula ya mchwa tu🤣🤣.
👀! 👁️Hapana nasikia Kuna kupigwa sijuiHawafanyi kwa kuwa wametishwa sana na imani za kijinga jinga,.
Ndugu yangu wewe fanya sana,.
Kama ni mpenzi wa Pombe basi lewa sana ikikupendeza kesha na ulale bar,
Kama wewe ni mpenzi wa NGONO basi jitahidi kufanya sana ikikupendeza jaribu na hata JICHO 👁️
Kwani mwanadamu siku zako zinahesabika
Fanya sana tena kazania sana hakuna kupigwa mzee👀! 👁️Hapana nasikia Kuna kupigwa sijui
hata maandiko matakatifu yanaeleza kila jambo liende kwa kiasi, akili zako zinakutuma utende hayo maovu basi tenda wewe, ushishawishi na wanadamu wengine.Nani amekwambia kwenye PEPO kuna mambo ya K-VANT
Dini gani imesema kwenye PEPO kuna kitimoto na je kaka mpalange yupo huko kwenye pepo zenu,.
Amka kijana
Fanya sana, tena narudia fanya sana....
ya huko sio haya
Jawabu lako hili hapa [emoji116]Unataka kuwaambia nn wale walioahidiwa mabikira 72?
Safi, tena safi sana.
Kuna wajinga wanasubiri maisha ya baada ya KIFO.
yaani wanaishi kwa shida sana hauwezi amini wao mambo mazuri yote kwao ni haramu,.
Ndugu yangu haya maisha ni zawadi na tumepewa na vilivyomo tuvitumie sana,.
Hivyo ndugu yangu Jitahidi kuyafanya sana ikikupendeza fanya zaidi.
Wafanye sana wavionavyo, mbona mabikra 72 wapo pare TEMEKE mbona wapo pare Buguruni mbona wapo kwa fisi,. Mbona wapo pale kona PUB, mbona wapo pale dabo kibini tandika,. tena ukienda wamejipanga unajichagulia mwenyewe ni mwendo kufanya nao sana,.Unataka kuwaambia nn wale walioahidiwa mabikira 72?
hata maandiko matakatifu yanaeleza kila jambo liende kwa kiasi, akili zako zinakutuma utende hayo maovu basi tenda wewe, ushishawishi na wanadamu wengine.
Katika ulimwengu hakika tunaishi kwa kitambo kifupi tu na maisha baada ya hapa basi ni kwa milele tutaishi.
jitafakari upya ndugu yangu.
Kwahio mama hajakuona hadi leo tu na wewe ni mlamba asali?Nilipotoka chuo nilikua na hii mentality basi si nikaotea chaka la kupiga hela aisee nilifanya starehe karibu zote
Matokeo yake pesa ziliisha na chaka likafungwa nimeishia kua na watoto kila mahali wengine nahudumia wengine ndio hvo tena
Sijutii kwa chochote hua nikitizama nyuma nasema at least niliwahi kuishi, najitafuta upya niendelee nilipoachia.
Kila siku nawaambia katika mambo ambayo binaadamu anayaogopa zaidi ni kufa anachokipenda zaidi ni KUISHI,.hata maandiko matakatifu yanaeleza kila jambo liende kwa kiasi, akili zako zinakutuma utende hayo maovu basi tenda wewe, ushishawishi na wanadamu wengine.
Katika ulimwengu hakika tunaishi kwa kitambo kifupi tu na maisha baada ya hapa basi ni kwa milele tutaishi.
jitafakari upya ndugu yangu.
Hayo yote ni ubatili tu. Ukijitambua utagundua kila kitu hufanywa kwa kiasi. Ingekuwa watu wanawaza kufa Bhakressa angekuwa anashinda Miami Beach Florida akicheza na matako ya wanawake huku akilewa hovyo kama komba.
Shetani kaja kivingine 🤣 kivumbi leoKila siku nawaambia katika mambo ambayo binaadamu anayaogopa zaidi ni kufa anachokipenda zaidi ni KUISHI,.
Katika hili anapambana kila namna kujifanya hata akifa eti akaishi milele,.
Alafu akifa afe kwa faida
Ndugu yangu hakuna faida kwa kuwaza Ujinga na kwa kufuata Ahadi za uongo,.
Fanya sana duniani yasasa ni pepo ya vitabu vya dini vya kale
Kupanga ni kuchaguaHayo yote ni ubatili tu. Ukijitambua utagundua kila kitu hufanywa kwa kiasi. Ingekuwa watu wanawaza kufa Bhakressa angekuwa anashinda Miami Beach Florida akicheza na matako ya wanawake huku akilewa hovyo kama komba.
Amini nakwambia DUNIANI ya sasa ni PEPO ya VITABU vya dini ZA KALE.Shetani kaja kivingine 🤣 kivumbi leo
Je na wewe ni wa kufanya sana,Huu Uzi mkosho sana🤣
Haha sawa mkuu nimekuelewa...🤣Ila sometimes kufanya hivi vitu vinasogeza siku zako za karibuJe na wewe ni wa kufanya sana,
Kama sio ndugu fanya sana tena na sana,.
Kama wewe ni mpenzi wa ngono basi fanya kweli,
Kama itakupendeza jaribu na wembamba sana au hata wanene sana pia usife bila kujaribu wafupi sana, zama mpaka chumvini mpaka mitaloni sikilizia ladha,.
Pia kama wewe ni mpenzi wa Pombe basi lewa sana ikikupendeza jaribu na kuchanganya kwenye maziwa angalia hali itaendaje.
Changanya safari, gongo la kienyeji jalibu na libeneke usisahau kuna kitu inaitwa wanzuki, ulaka pia kuna pombe inaitwa Chibuku jalibu ukiwa umekula pia jaribu ukiwa na njaa maana siku zaja za mwisho wa uhai wako,.
Ni vyema ukafa mapema,Haha sawa mkuu nimekuelewa...🤣Ila sometimes kufanya hivi vitu vinasogeza siku zako za karibu