Ushauri wa bure kwa TBWAY 360 wa EATV

Mi najiambiaga kila mafanikio yanaendana na umri,ukiyapata umri usiostahili lazma yakuyumbishe.
Hapa umeandika jambo muhimu sana ndio maana Mungu huwapa pesa vijana umri ukiwa umesogea kidogo kuwaepusha na mambo kama haya...yani huyu kagari ka kubandika sticker na kubandua mbwembwe nyingi hadi anataka kujiua.....
 
Hapa umeandika jambo muhimu sana ndio maana Mungu huwapa pesa vijana umri ukiwa umesogea kidogo kuwaepusha na mambo kama haya...yani huyu kagari ka kubandika sticker na kubandua mbwembwe nyingi hadi anataka kujiua.....
Tunayaona haya mkuu hata huku mitaani kwetu.
 
Daaah maisha yanabadilika
Nakumbuka dogo nilikuwa namcheka Sana'a coz alikuwa mshamba afu mpenda sifaaa
Nilipoteza naye mawasiliano kumbe now bado anaendelea na mambo yake???
Daaah dogo ana ulimbukeni huyo
 
Umemaliza chuo wapi wewe huwezi hata kuandika ajali = ajari?
 
Nilipewa na mzee hilux double cabin [HASHTAG]#ACE[/HASHTAG] kwenye vioo bado kuna # TZJ. Nilipewa tu maana yeye alinunua gari mpya... Kwanza Kabisa Gia number moja imekufa inaondoka na mbili. Kutoka gia number 4 kwenda 5 kuna wakati haikubali. Nikiipack huwa naiweka kwenye kamlima kidogo ili nikitoka niserereke kidogo niweke gia ndio niwashe ndinga.

Nimeliongezea mbwembwe fulani saivi nikama lamborgin mlio wake. Nikipita lazima wanikubali maana nina sifa balaa .aibu inanipataga ninapotaka kuondoka na mbili gari inakuwa kama inataka kupaa hiv.. Wahuni utaskiaaaaa weweeeeeee.... Miluzi kwa wingi.....

Pole tbway tuko pamoja mdau
 
Kweli wanapenda kamera too much yaani nahisi alijipiga mpaka selfie kwenye hiyo ajali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa hayo maelezo na hiyo clip ambayo anatukana watu maeneo yao ya kazi inaonesha fika ni mtu wa aina gani. Asipojifunza Mungu ampende zaidi tu next time badala ya kuwaondoa wapendwa wa wengine na kuwapa vilema vya maisha kwa ujinga wake
 
Kwan ww anakuhusu nin kila mtu na starehe zake....mtu akulishi, akusomeshi, akusaidii Kwa chochote bado unamashauri achana na upuuzi km hao...cha muhimu fata yako
Tuweke Kumbukumbu Sawa ,Usije Kuedit hapo baadae.
 
Na mmm nanunua Subaru ***** [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji16] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Wabongo walivyo na roho mbaya ukiwapiga overtake wapo kwenye daladala ya mbagala wamebanana wewe upo na ka subari kanapiga kelele mixer mziki mnene unakita huwa wanatamani hata ulipuke ***** [emoji23] [emoji23] Acheni Roho kubwa kuna watu wanatoa ushauri mzuri tu unaona hawana roho kubwa, ila wengi wenu umu mnamchukia Dogo , najua asilimia 90% humu hata starlet ya 1990 hamnaaa mnacomment kwa vitecno vya laki vya promotion [emoji23] [emoji23] [emoji23] mnahisi sijui ndo dogo atajisikia vibaya? Unaweza kuta dogo hata Jf hana time nayo yuko busy na mitandao ya vijana (insta, snapchat,Fb
 
Mnatoa mapovu yenu JF humu mnadhani anawasikia? Mfateni insta mzamieni dm mtoe mapovu yenu [emoji23] [emoji23] huu mnaoleta humu ni umbea! Na hii tabia wabongo tunaipenda saana yani ukipita mbele ya kikundi cha watu lazima wakudiscuss tena kwa mabaya yako hawatakusifia tena unakuta washkaji zako [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kukimbiza gari hovyo hiyo sawa sio poa ila kusema Dogo anamiliki kigari cha 2000, dogo hana mafanikio yoyote cjui, kapanga sinza meeda, [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hv bongo hii wangapi wanamiliki vyombo vya moto atleast piki piki? Hata 10% ya wananchi wote haifiki! Sasa dogo anamiliki 15M worth Car unasema sio mafanikio? Dogo kapanga sinza unasema sio mafanikio? Dogo ana ajira EATV na hajafikisha 27 yrs unasema sio mafanikio? [emoji23] [emoji23] labda mm sijui aisee mafanikio ni yapoje by the way? Kumiliki private jet au ? Hizo chuki hazijengi mshaurini ila msimponde dogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…