Nakazia. Kwa msimamo wake huyo mwanamke hamfai mleta uzi.Katika mahusiano imara mwanamke akiwa na mwanaume anayejitambua hatakiwi kusikiliza sauti nyingine yoyote nje ya mwanaume wake. Kinyume chake ina maananisha mwanamke hajajicommit.
Ni sawa na mwanaume awe na mpenzi wake halafu anasikiliza maelekezo toka kwa mama yake hapo hakutakuwa na mahusiano serious.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye macho ya Mungu?Huu ni mtihani ambao huwezi kuushinda......dawa pekee ni kuachana na huyo binti.......vipengele vya kidini vina nguvu sana kwenye jamii zetu.......ndoa ya kiserekali ni ya kiserekali lakini kwenye macho ya kidini nyinyi ni wazinifu..........
Achana na huyo binti angali mapema ili uweze kuutibu moyo wako na upate wa kufanana nae......
Hii situation ni Normal sana. Hivi navyoandika miezi miwili nyuma nilitokea kumpata na kumpenda binti wa kiislam huko zenji.Wakuu nina mchumba wa kiislamu ambae tumeshibana sana na nataka nimuoe lakini imetokea changamoto kwa baba yake anataka nibadili dini na amekomaa kweli kweli.
Baba yake ni mtu wa dini na ni kiongozi kwenye BAKWATA. Binti hana maamuzi sana kwenye swala hilo anamsikiliza mshua wake.
Binti tulishakubaliana tufunge ndoa ya kiserikali (bomani) ili kuondoa huo mkanganyilo wa dini lakini mzee wake hataki.
Nahitaji ushauri wenu wa namna yakutatua hii changamoto.
Unasimulia ujinga unajiona mjanjaaaHicho kitu Ni kidogo sana,Mm enz zangu way back 2013 , nilimpata bint wa kipemba,It was same story like you.mzee wake alikomaa nibadili dini tena nilipoenda kumchumbia alimtaarisha na shekh wa wilaya kabisa ili anislimishe,nlikataa ila bahati mbaya mchumba alikuwa na ujauzito, baada ya kushindwa kunislimisha sikurud Tena Hadi leo lakin Hadi sasa bint nipo nae na mtoto yupo class 2, hivo Kama utaweza piga mimba ukishindwa tafuta mwanamke mwingine, OVER.
Ingekua ni wewe ungefanyaje mkuu.Kwa kuwa umeshindwa kusimama kama mwanamume nakushauri umuache huyo msichana.
Hahaa, msimamo wangu siwezi badili dini kwa hiyo hapa ni swala la kujadiliana ikishindikana basi nachapa lapa.Umeshaonesha udhaifu.
Unaolewa wewe.
Umeshaonesha udhaifu.
Unaolewa wewe.
Huyu binti ana upendo wa dhati kabisa, ishu ni hapo tu kwa mshua wake.Katika mahusiano imara mwanamke akiwa na mwanaume anayejitambua hatakiwi kusikiliza sauti nyingine yoyote nje ya mwanaume wake. Kinyume chake ina maananisha mwanamke hajajicommit.
Ni sawa na mwanaume awe na mpenzi wake halafu anasikiliza maelekezo toka kwa mama yake hapo hakutakuwa na mahusiano serious.
Sent using Jamii Forums mobile app
UDINI TATIZO SANA MNGEOANAKISERIKALI ISINGEKUWA SHIDA SHIDA NISHASHUHUDIA FAMILIA ZA IVYO NA WAKAISHI VIZURI WATU WANAPENDANA TU TUSIWEKE UDINI MBELE ZAIDI
Hapo ni swala la imani mkuu, siwezi kubadili dini sababu ya ndoa. Solution ni kiwa neutral kwa maana ya kufunga ndoa ya kiserikali then maisha yaendelee. Tutabariki mbele ya safariBadili dini,oa,mzalishe halafu rudi kwenye dini yako pamoja naye.
Uzuri uislamu hauna mambo mengi,unasilimishwa na kuoa papo kwa papo bila hata mafundisho.
Ushauri wa humu wengi wanapotosha.
Palipo na upendo Kuna maelewano mkuu. Usikubali kumpoteza huyo mama watoto
Acha ujuaji wew,upi ujinga wangu?au ulitaka niache dini yangu kwa ajil ya mwanamke!?huwa mnapenda sana watu wafuate dini yenu,ndio Tena najisifu nimemuwin mpemba kabadili yeye mwenyewe na kakil ameenda sehem sahihi.Unasimulia ujinga unajiona mjanjaaa
Mkuu tulishakubaliana kuwa watoto watakuwa upande wa imani yangu. Hilo halina ubishi, changamoto ni hapo kwa mshua wake tu, tukivuka hapo tumetoboa.
Wala sio kitu cha kujisifia hikiHicho kitu Ni kidogo sana,Mm enz zangu way back 2013 , nilimpata bint wa kipemba,It was same story like you.mzee wake alikomaa nibadili dini tena nilipoenda kumchumbia alimtaarisha na shekh wa wilaya kabisa ili anislimishe,nlikataa ila bahati mbaya mchumba alikuwa na ujauzito, baada ya kushindwa kunislimisha sikurud Tena Hadi leo lakin Hadi sasa bint nipo nae na mtoto yupo class 2, hivo Kama utaweza piga mimba ukishindwa tafuta mwanamke mwingine, OVER.
Mkuu tafuta mwana mke mwingine huyo amesha kushinda.Mkuu tulishakubaliana kuwa watoto watakuwa upande wa imani yangu. Hilo halina ubishi, changamoto ni hapo kwa mshua wake tu, tukivuka hapo tumetoboa.