Ushauri wa namna ya kutatua changamoto ya kidini kabla ya ndoa

Do you believe in God, kama ndiyo muombe Mungu akupe jibu hapo juu hakuna Hata jibu moja linalokufaa.
Kwa yaliyo semwa kama hujaona jibu, basi hakuna jibu.

MUNGU huja na majibu hayahaya yaliyopo, isifikri kuna jibu la kimiujiza mno litakuwepo.
 
Kwanza ni uzembe kueleza hadharani kuwa mmeshibana na mwanamke na hapo hapo unatueleza kuwa anamsikiliza baba yake.
Acha kupenda kiboya.Ukristo upo wazi sana, wanaume wapendeni wake zenu na wanawake watiini waume zenu.Huyo mke mtarajiwa hana utii, piga chini.
 
Kwaio vipi mtoto wako anaitwa Yusrat au Juma? Vipi hafundishwi juzuu ukiwa upo mzigoni?
 
Ushauri dhaifu huu usiufuate mleta mada.
Bora umemwambia ukweli , akiingia huko kutoka ni kifo

"Muhammad said: 'Whoever changes his religion, kill him.'"Sunan an-Nasa'i 4063
 
Badili wewe Dini kwani shilingi ngapi bana!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…