USHAURI: Wasichana tunzeni bikira zenu mpaka mtakapoolewa

USHAURI: Wasichana tunzeni bikira zenu mpaka mtakapoolewa

Najua wapo watakaopinga na kuona kuwa sio issue kuolewa na bikira, lakini UKWELI NI KWAMBA KUOLEWA ILI HALI BADO NI BIKIRA NI FAHARI SANA NA NI HESHIMA PIA KWA WAZAZI!

Binafsi nilibahatika kuolewa nikiwa bikira, aisee mume wangu ananiheshimu sana kwa hilo. Mabinti ambao bado hamjaanza ngono, tafadhali acheni mpaka pale mtakapokuja kuolewa, inawezekana sana kama ukiwa na msimamo na ukijiwekea malengo.

Itakusaidia pia kupunguza uwezekano wa kupata baadhi ya magonjwa kama cervical cancer na HIV, kama unasoma basi utajikita kwenye masomo yako zaidi na chances za kufanya vozuri na kuwa na kafaniklio kimaisha pia huongezeka.

Lakini pia kwa wale ambao wanamuamini Mungu watakubaliana na mimi kwamba UZINZI ni dhambi,kwa hiyo ukiepuka ngoni kabla ya ndoa unaiepuka dhambi no 6 kwenye ile list ya 10 commandments.

Mwenye masikio na sikie, binti tunza bikira yako mpaka utakapoolewa, usisikilize ushauri wa walioshindwa kuitunza hii TUNU [emoji8] na wale wanaume waharibifu na wachafuzi.

Tchao.
Wasichana wapi hao unawawausia mkuu, hawa hawa wa mitaani au kuna wengine mahali?
 
Huwa sipendi kuchangia mada za aina hii kabisa kwa sababu huwa naona hazina tija ila nimevutwa kusema kitu kwa sababu ya michango ya wadau. Naona kila mmoja anajitahidi kurusha makombora upande mwingine uonekane una kasoro. Upande wa wanaoshabikia bikra wamekazana kutuaminisha kuwa mwanamke bikra ndio waifu matirio haswa kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Kwa mtazamo wangu jambo hili si la kweli hata kidogo...ndoa/ mapenzi ni zaidi ya ngono, kuna maisha mengine nje ya kitanda....hakuna guarantee kuwa ukioa mwanamke bikra ndio hatachepuka milele, unaweza kuoa bikra na bado ukachapiwa na ukamtoa mwanamke kimboka akatulia ndani kama sio yeye.
Kama nilivyosema awali kuna maisha nje ya tendo la ndoa...unaweza kuoa bikra ila akawa mshirikina, mchonganishi, mchafu, hapendi ndugu zako n.k sasa hiyo furaha ya ndoa na tabia kama hizo sijui furaha ya ndoa itatoka wapi? Mwanamke ni mwanamke tu bikra haina uhusiano wa moja kwa moja na furaha ya ndoa. Wengine ndio wanakuja na generalization za kipuuzi eti mwanamke hawezi kumnyima aliyemtoa bikra hata kama ameolewa....this is totally nonsense.
Tukiangalia upande wa wanaotetea ngono kabla ya ndoa pia wanajaribu kutuaminisha kuwa mwanamke kuwa bikra lazima ana kasoro, mara eti uchuro jambo ambalo naona si la kweli, kuna watu wanaolewa wakiwa na miaka 20,25,30,35 na kuendelea. Kwa mwanamke mcha Mungu na anayeamini katika kujitunza inamaana katika kipindi chote hicho atabaki bikra, sio kwamba hatongozwi ila ameamua kusimamia kile anachokiamini hata kama kuna msururu wa watu wanaotaka kumla kimasihara. Mnataka kusema watu wote wanaopoteza bikra zao kabla ya ndoa ni visu? Hapana wengine wana sura mbovu tu kama mimi hapa ila wanawapanga wanaume asubuhi mchana na jioni.
Kama nilivyosema awali kila mtu ana sababu zake za kujitunza, kuna wale walioshika dini na Mungu akawawezesha kushinda pepo la uzinzi, wapo wale wanaoamini kuwa akiolewa wakiwa bikra wataheshimiwa na waume zao kama mtoa mada ( hii nayo sio guaranteed maana unaweza ukaolewa na mtu ambae yeye virginity sio ishu hata, labda uoelewe na Jokajeusi).
Wapo wale wanaojitunza kwaajili yao wenyewe, sio kwaajili ya mtu mwingine, wanaona ni jambo la aibu kutembea barabarani watu wanaambiana pale nimepita na mwingine anaunga na mimi pia. Wanatamani mwanaume wa kumuona uchi wake awe mmoja maana wakiwa na ma- ex kila kona wanaona kama wanatembea uchi, na wengine hawataki kuwa emotionally attached na watu tofauti na wale walioamua kuwa nao maisha yao yote.
Nimeandika mengi kiasi wengine mnajiuliza niko upande upi maana sieleweki[emoji16][emoji16][emoji16]. Ninachojaribu kusema hapa ni kuwa tuheshimiane, kila mtu aheshimu maamuzi ya mwenzie maana kila mmoja wetu ana sababu za kuchagua alichochagua...haina haja ya kupopoana....kama wewe umeamua kugawa kabla ya ndoa gawa tu kwa raha zako, K si mali yako bwana na wewe kama umeamua kujitunza ni uamuzi wako binafsi, ni jambo jema ila ni kwa faida yako wewe na kizazi chako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo nalo ni tatizo kubwa sana, mila na desturi zetu pamoja pia zinachangia hili tatizo, kwa mfano ndugu zetu Wamakonde na Wazaramo na ile mila yao ya kuwacheza unyago mabinti wadogo, inachangia mno wasichana kuanza ngono wangali na umri mdogo. Tuanze taratibu kuelimishana
Suala la msingi ulishasema kuwa mabinti wajitahidi kuitunza. Hizo mila za kuchezeana hazifundishi kugegedwa. Kugegedwa ni hulka zao tu na wala siyo mafunzo. Wanachofundishwa ni heshima, bidii ya kazi, kujitunza. Na kama kuna karesearch umekafanya ukaona bikra ni chache, ni factors nyingi zinasababisha.
Hata hivyo bikra zipo na zinapatikana kwa kiwango kama wewe ulivyobahatika kuitunza.
Ila, kwa lifestyle ya siku hizi ilivyo sijui kama kuna watoto wa kabila fulani wanahofia kuzitatua seals zao. Na wewe inawezekana ni wa umri wa 40+ ambaye ulikua nyakati za nchi ikiwa baridi huenda ndiyo maana ukabahatika kuitunza. Hakika ni heshima kwako na kwa wazazi. Lakini, Je, bikra zote zilizobomolewa humu JF ni za wamakonde na wazaramo tupu?

Lakini hata hivyo nakupongeza kwa kuyashinda majaribu. [emoji122] [emoji122] [emoji122]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe ‘male’ pia ni virgin..!!

Basi jitunze mkuu.
Kitu ambacho hakijaguswa ni Virgin ndio maana unaweza kuona "Virgin Land" "Virgin Islands" NK

Mwanaume ambaye hajakutana na kimwili ni Virgin.

Virginity ni something brand new! Shule inaumuhimu.
 
Jana nimetoa bikra ya mtoto wa 20yrs.. Nilipewa onyo kuwa amenipa hiyo hazina ila nikubali kumuoa.... kuhusu ndoa wala asiwaze ana kila sifa ya kuwa mke isipokuwa ni muislam ila amenihakikishia atabadili dini.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kiukweli hakuna zaidi ya thamani duniani kama bikra kwa mume wako. Huyu ndo mume mbinguni na duniani. Ila kama uliza kwa gharama za chipsi lazima mwanaume akusaliti tu maana huyo unayedai kakuoa wala si mume, Munro ni alokutoa hiyo bikra

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iv vitu havina kanuni dada angu. Binafsi, kwa ufupi tu...nilikuwa kwenye mahusiano na bikira mmoja, aliyekuwa mcha mungu, bikira aliyokuwa nayo si kwa bahati mbaya yaani aliitunza kwa dhamira kabisa.

Nillitoa bikira ile (akiwa chuo kikuu)ila nilichemka kuoa (nisiseme sababu-ila zilikuwepo)...niko na asiye na bikira sasa, sijawah juta wala kumbuka kule kwa awali.
 
Back
Top Bottom