Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
HATES V/S PROFESIONALISMKimei hafai hata kidogo. Huyo ana ukabila usioelezeka kirahisi. Wizara nzima na taasisi zake zitajaa wachaga watupu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HATES V/S PROFESIONALISMKimei hafai hata kidogo. Huyo ana ukabila usioelezeka kirahisi. Wizara nzima na taasisi zake zitajaa wachaga watupu.
Uko sawa mkuuSalaam,Shalom!!
Nimesikia Mh Mwigulu, waziri wa Fedha akilalama kuwa, Wafanyabiashara waliopewa nafasi ya kukusanya Kodi Kwa niaba ya Serikali ni chanzo Cha kukosekana mapato ya Serikali.
Ukisikiliza Kwa ufahamu kauli hiyo, analenga kuwaelekeza TRA warudi tena Kwa wafanyabiashara na kuwabana tena wakipigiwa Kodi kandamizi za miaka ya nyuma. Nia hii inapingana na Nia ya Rais ya kukusanya Kodi Kwa akili.
Nia hiyo ya kuminya wafanyabiashara Si njema, na kamwe haiwezi kuinua Uchumi wa Nchi yetu, kupata Kodi, ni LAZIMA kuwatengenezea wadau mazingira mazuri ya biashara.
Mazingira mazuri ya biashara nchini, ni pamoja na kupunguza gharama ya umeme, BWAWA limejengwa Kwa mkopo, na pesa Inatakiwa ilipwe, kupunguza Bei ya unit ya umeme kutusaidia kuongezeka Kwa domestic industries za chini, kati na juu. Kujua Kwa viwanda vya ndani kutaongeza mauzo ya nje ya Nchi, kutaongeza ajira na kuongeza mzunguko wa pesa nchini. Haya Mawazo ya kuuza umeme nje ya Nchi yanatoka wapi!!
Kuinua Uchumi wa Nchi ni kubadili mtizamo wa kukopa Kila kukicha. Jambo Hilo ,Mwigulu limemshinda, hivyo mtu sahihi ni kukaa nafasi hiyo ni Mh Kimei.
Waziri Mwigulu ameshindwa kuhakikisha nchi inapata pesa za kigeni za kutosha Kwa kuimarisha Exportation ya bidhaa za ndani, Badala yake nchi yetu inageuka gulio la bidhaa Toka china ambalo linachangia pakubwa kukosekana Kwa pesa za kigeni.
Ni Imani yangu Waziri Mwigulu hajaota mizizi, hivyo naamini ni Rahisi tu kuondolewa na kuwekwa mwingine.
Ni mengi ya kusema, lakini itoshe kusema, Mwigulu Nchemba imetosha sasa!!
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni 🙏
Huoni Kuna mahusiano ya Moja Kwa moja kuhusu kutengeneza mazingira mazuri ya biashara nchini na kupunguza Kodi kunahusiana na kusaidia exports?Hiyo ni kazi ya Waziri wa fedha ya kuongeza exports za bidhaa tunazozalisha?
Nakuunga mkono nitofautia e na mleta mada si lazima awe kimei, raisi anaweza teua mtu mwenye sifa na kumpa ubunge then uwaziriAnatakiwa mchumi mwenye uwezo kweli asiye na tamaa na hela, hawa watu ni vyema wakaandaliwa na sio teua teua ya hawa wachumia tumbo.
Watafika mwisho tu,Uko sawa mkuu
Ccm na vibaraka untouchable wamemiliki uchumi, tulete sera za liberalize uchumi
Umeme wamehodi
Mafuta wamehodhi
Usafarishaji wamehodhi
Madini wamehodi
Naliasili wamehodi
Serikari imekuwa kama kibaraka wa hao matycoon, mipango ya serikali inalenga kuwakingia kifua hao matycoon wasiathirike hivyo
Nchi inakosa mapato mengi tu
Mfano Nini kinazuia kuwekeza ili tuwe na umeme wa uhakika wa bei nafuu ili tuvutjie viwanda na uwekezaji?
Jibu ni matycoon Wachache wanafaidika na hii Hali. Ya umeme
Waziri analalamika lawama anawasukimia wafanyabiasharawadogo wasio na hatia, anawaogopa matycoon
Nyerere aliwahi sema ukiona serikari inakimbizana na wachuuzi ujue ni corrupt
Serikali unawalinda walarushwa inakimbizana na machinga
Kuna UKWELI hapa.🤔NADHANI KUNA KIASI AIDHA FIGURE AU LAMSAM TUNAIKOSA KUPITIA BANDARI,THERE IS A HUGE ECONOMY SHAKE UP!
Hiyo Inaitwa,Nchi Haina umeme halafu eti waziri anatagemea uchumi.na mapato ya nchi yapande?
Hao wafanyabiasha hela za Kodi watazitoa wapi wakati miaka 2 hatuna umeme
Mie kwa ujumla simuamini Mwigulu, Nape pamoja na Makamba.Yaani unamuacha benchi Mchumi original Dr Kimei, Hadi sasa Ili iweje!!
Mbona watumishi wa Serikali inakusanywa kirahisi?Kodi haijawahi kuwa rahisi kukusanywa.
Sasa Kwa kuwa ushauri Si amri,Mie kwa ujumla simuamini Mwigulu, Nape pamoja na Makamba.
Magu pamoja na mawenge yake naamini aliwatimua kazi kwasabb walichemka...haiwezi kuwa hivi hivi tuu!.
Sasa huyu malkia ye kasomba tu ili mradi kashauriwa na JK.
Mkuu mleta mada tatizo kubwa la hoja yako ni kwamba hujajiuliza au (kiusahihi zaidi) hujaona umuhimu wa kujiuliza kuwa mteuzi wa Mwigulu anataka nini hasa katika nafasi hiyo. Ana malengo gani hapo? Ni kama umekisia (assume) tu kuwa anahitaji mtu mwenye sifa ulizozibainisha. Haiko hivyo katika nchi hii.Salaam,Shalom!!
Nimesikia Mh Mwigulu, waziri wa Fedha akilalama kuwa, Wafanyabiashara waliopewa nafasi ya kukusanya Kodi Kwa niaba ya Serikali ni chanzo Cha kukosekana mapato ya Serikali.
Ukisikiliza Kwa ufahamu kauli hiyo, analenga kuwaelekeza TRA warudi tena Kwa wafanyabiashara na kuwabana tena wakipigiwa Kodi kandamizi za miaka ya nyuma. Nia hii inapingana na Nia ya Rais ya kukusanya Kodi Kwa akili.
Nia hiyo ya kuminya wafanyabiashara Si njema, na kamwe haiwezi kuinua Uchumi wa Nchi yetu, kupata Kodi, ni LAZIMA kuwatengenezea wadau mazingira mazuri ya biashara.
Mazingira mazuri ya biashara nchini, ni pamoja na kupunguza gharama ya umeme, BWAWA limejengwa Kwa mkopo, na pesa Inatakiwa ilipwe, kupunguza Bei ya unit ya umeme kutasaidia kuongezeka Kwa domestic industries za chini, kati na juu. Kukua Kwa viwanda vya ndani kutaongeza mauzo ya nje ya Nchi, kutaongeza ajira na kuongeza mzunguko wa pesa nchini. Yote hayo, yana connection na wizara ya Fedha, Haya Mawazo ya kuuza umeme nje ya Nchi yanatoka wapi!!
Kuinua Uchumi wa Nchi ni kubadili mtizamo wa kukopa Kila kukicha. Jambo Hilo ,Mwigulu limemshinda, hivyo mtu sahihi ni kukaa nafasi hiyo ni Mh Kimei.
Waziri Mwigulu ameshindwa kuhakikisha nchi inapata pesa za kigeni za kutosha Kwa kuimarisha Exportation ya bidhaa za ndani Kwa kushindwa kuweka mazingira mazuri ya biashara, Badala yake nchi yetu inageuka gulio la bidhaa Toka china ambalo linachangia pakubwa kukosekana Kwa pesa za kigeni.
Ni Imani yangu Waziri Mwigulu hajaota mizizi, hivyo naamini ni Rahisi tu kuondolewa na kuwekwa mwingine.
Ni mengi ya kusema, lakini itoshe kusema, Mwigulu Nchemba imetosha sasa!!
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni 🙏
Itoke wapi nchi Haina umemeKodi haijawahi kuwa rahisi kukusanywa.