Ushauri: Wilaya za Kibaha na Bagamoyo zihamishiwe Dar es Salaam, Mbagala na Kigamboni zipelekwe mkoa wa Pwani

Ndio maana nimemjibu mdau hapo. Nenda Kisiju Pwani.....huko njiani ni vichaka mpaka unashangaa kama upo misitu ya Congo.
Vile ni vijiji na vitongoji na kila unachoita kichaka ni mashokora ya watu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hakika umeongea vema sana
 
Vile ni vijiji na vitongoji na kila unachoita kichaka ni mashokora ya watu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mashokora hayalimwi, yana minazi iliyozeeka mirefuuuu na mikorosho iliyozingirwa na vichaka. Hongereni lakini.
 
Hata Mm natamani Morogoro imegwe! Ipungue
[emoji23][emoji23][emoji23] Ukubwa ulionao Morogoro kwa sasa hujatosheka nao unataka uiongezee na pwani pamoja na Dar boss[emoji28] fikiria kwanza
 
Pwani ni ndogo kwa Ruvuma, Tabora na Morogoro!
 
chalinze, Kibaha, Bagamoyo, Ruvu na Wami hao wote wawe Dar es salaam..

Mbagala,Mkuranga, Kisarawe, rufiji, Kibiti, Kilwa Iwe Pwani makao makuu Mkuranga..
 
Nakubali..mbagala, Mbande,Mvuti,Msongola, chanika, Pugu ,kisemvule,vikindu zote ziende mkoa wa Pwani
 
Dar es salaam imezungukwa na mkoa wa Pwani katika pembe tatu..upande wa kaskazini , kusini na magharibi yote imezungukwa na mkoa wa pwani , upande wa mashariki tu ndio unepakana na bahari
 
MAPINGA, KEREGE, ZINGA ukizihamishia DAR na Majirani zao nao watakuwa karibu na DAR utasema tena hivo hivo
Kama mapinga na kerege na zinga uwezi kuzitofautisha na dar mfano Bunju na Tegeta.
Naunga mkono baadhi ya maeneo yasogezwe dar kama sio wilaya nzima.
 
Mimi ningekua na uwezo ningehamisha mkoa mzima wa pwani na morogoro na kuuleta Dar ili kutengeneza mkoa mmoja, service delivery ingekua ndio msingi sio utitiri wa hii kitu,nchi nzima mikoa 12 tu.
Mkoa wa morogoro unaujua wewe,?

Kwa taarifa tu huu mkoa ukiumega zinatoka dar 3.
 
Mkoa wa morogoro unaujua wewe,?

Kwa taarifa tu huu mkoa ukiumega zinatoka dar 3.
Huijui morogoro kumbe wala huijui dar,kwa morogoro zinatoka dar si chini ya 40,d ar km za mraba 1500,morgoro km za mraba 70000
 
Mkoa wa morogoro unaujua wewe,?

Kwa taarifa tu huu mkoa ukiumega zinatoka dar 3.
Soma unielewe pumbavu wewe, ukubwa au udogo wa eneo sio issue hapa, common man on the ground need services delivery.
 
Sasa mkuu mpaka wa Dsm na Pwani utakua wapi? kama Mbgl na Kigamboni zikiwa Pwani
 
Hili ndio neon strategical..!! ila nawaza kwa serikali ijenge kwa fedha zipi? hizi za kukopa? Je fidia kwa wenye majengo yao?
 
Mimi ningekua na uwezo ningehamisha mkoa mzima wa pwani na morogoro na kuuleta Dar ili kutengeneza mkoa mmoja, service delivery ingekua ndio msingi sio utitiri wa hii kitu,nchi nzima mikoa 12 tu.
Ccm inavunja vunja nchi ili kugawana vyeo na kufanya ufisadi wa pesa za umma ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…