Cheki huyu alichokiandika nilijua atafuta kwa aibu lakini bado ameiacha hii trash hajajua kuwa alichokiandika ni aibu??Kenge wewe. Simba sc ni viti maalum kwani ni mabingwa wa nchi gani?
We kama katika enzi zako mpira ulicheza basi ulikuwa Sarpong wa miaka hiyo.Mimi ni shabiki wa yanga na ninaujua mpira kwasababu nimeucheza ndio maana mimi sio shabiki mjinga kama wewe waliopo humu ni mashahidi Yanga anapokosea nakosoa na anapopatia nasifia pia,mara nyingi huwa nasema humu huyu alikamwe na privaldinho wana utoto uliopotiliza...halafu ujinga upo kotekote na huwa unaungwa mkono na wajinga kama wewe unakumbuka ujio wa manzoki na ibenge kwenye uchaguzi mkuu wa simba?
Unaona ulivyo mjinga ? Nani amekuambia nilikuwa mshambuliaji?We kama katika enzi zako mpira ulicheza basi ulikuwa Sarpong wa miaka hiyo.
Kuna mwingine nimemkumbusha Yanga walianza hatua ya awali wakati Simba ilianza hatua ya kwanza. Yaani kuna baadhi yao wanaamini Simba imependelewa hata kuwepo katika mashindano hayaCheki huyu alichokiandika nikijua atafuta kwa aibu lakini bado hajajua kuwa alichokiandika ni aibu.
Simba yupo Club Bingwa kutokana na juhudi zake za kuifanya Tanzania iwe miongoni mwa timu 12 zitazoweza kutoa timu nne kwenye michuano ya CAF.
Simba ilijitengenezea backup yenyewe kuwa hata ikitokea kombe la ligi kuu limeenda kwa timu ya ajabu basi anayo access ya kucheza CAF champion league.
Sijui kama ulikuwa unaelewa hii?
Nimetaja mchezaji kwa status yake sijamtaja mchezaji kwa nafasi yakeUnaona ulivyo mjinga ? Nani amekuambia nilikuwa mshambuliaji?
Yeah tena wakati wao ndio wamechukua na Kombe huku ni finalist wa luzaKuna mwingine nimemkumbusha Yanga walianza hatua ya awali wakati Simba ilianza hatua ya kwanza. Yaani kuna baadhi yao wanaamini Simba imependelewa hata kuwepo katika mashindano haya
haina wasiwasi ila dua zote zilikuwa ni asec ishinde, watakapokuja kuwanyoa hapo kwa mkapa ndo mtajua hamjui, kwani mwanzoni mlikuwa hamjatulia? Kilichokuwa kimewafanya mstulie ni nn?Simba haihitaji timu nyingine ishinde ili yeye afikirie atafuzu. Mechi ya mwisho Simba anacheza nyumbani tena dhidi ya timu ambayo tuna kisasi nayo. Unadhani Simba hii iliyotulia ina wasiwasi na hiyo mechi?
Kama mashabiki wa Yanga wameweza kuoa nini kinashindikana kwa binadamu wengine?
Wewe na alikamwe ni sawa kabisaNimetaja mchezaji kwa status yake sijamtaja mchezaji kwa nafasi yake
Umeona ulivyokuwa mjinga?
Kama ni mpenzi na mfuatiliaji wa kweli wa mpira na naamini uko hivyo, utajua katika mashindano yote "kundi la kifo" linatambulika mwanzoni mwa mashindano kutokana na wingi wa timu zenye viwango katika kundi moja. Hausemi kundi ni la kifo katikati ya mashindano kisa timu zinakaribiana point. Kundi la Yanga halina vigezo vyovyote la kuwa kundi la kifo.
🤣🤣 mwqkq huu uto watakukoma mkuu wakilala uko nao wakiamka unawasubiria mlangoniMpaka sasa katika hatua ya makundi hakuna matokeo ya Yanga ambayo yamekuwa tofauti au ya kushangaza sana tofauti na yale tuliyoyatarajia. Labla yale ya kushindwa kupata point 3 kutoka kwa Medeama kule Ghana. Kutoka suluhu na mwarabu kwa Mkapa si matokeo ya kushangaza, Yanga alihitaji ushindi katika mechi ile kama ambavyo Al Ahly alihitaji sare.
Kundi la Yanga lilikuwa linatabirika na mpaka sasa limevurugwa na mechi moja tu, ule ushindi wa Medeama dhidi ya CRB na ndiyo ambacho kimekuja kuipa matumaini Yanga mpaka sasa.
Yanga ikielekeza nguvu kule shirikisho, kwa kikosi ilichonacho na wakiongeza nguvu maeneo machache wana nafasi ya kufanya vizuri kutokana na aina na quality ya timu zilizoko kule. Huku Klabu Bingwa kuna wenyewe na wenyewe ndiyo sisi.
Shida ni kwamba kwenda shirikisho inabidi ipunguze nguvu kwenye kutafuta ubingwa wa NBC na wakati mwingine ijipige shoti ishike nafasi ya 3 au ya 4 ili iwe inadondokea huko Shirikisho kwa sababu kuna dalili zote Simba itaendelea kuipatia Tanzania nafasi za kutosha kimataifa.
Mwanaume unatumia picha yenye app ambayo watermark yake ni lovenesspicha
Mpaka sasa katika hatua ya makundi hakuna matokeo ya Yanga ambayo yamekuwa tofauti au ya kushangaza sana tofauti na yale tuliyoyatarajia. Labla yale ya kushindwa kupata point 3 kutoka kwa Medeama kule Ghana. Kutoka suluhu na mwarabu kwa Mkapa si matokeo ya kushangaza, Yanga alihitaji ushindi katika mechi ile kama ambavyo Al Ahly alihitaji sare.
Kundi la Yanga lilikuwa linatabirika na mpaka sasa limevurugwa na mechi moja tu, ule ushindi wa Medeama dhidi ya CRB na ndiyo ambacho kimekuja kuipa matumaini Yanga mpaka sasa.
Yanga ikielekeza nguvu kule shirikisho, kwa kikosi ilichonacho na wakiongeza nguvu maeneo machache wana nafasi ya kufanya vizuri kutokana na aina na quality ya timu zilizoko kule. Huku Klabu Bingwa kuna wenyewe na wenyewe ndiyo sisi.
Shida ni kwamba kwenda shirikisho inabidi ipunguze nguvu kwenye kutafuta ubingwa wa NBC na wakati mwingine ijipige shoti ishike nafasi ya 3 au ya 4 ili iwe inadondokea huko Shirikisho kwa sababu kuna dalili zote Simba itaendelea kuipatia Tanzania nafasi za kutosha kimataifa.
Ally Kamwe anajua ana dili na mashabiki wa aina gani na ndio maana haoni shida kuwaambia vaeni misuli.Wewe na alikamwe ni sawa kabisa
kitu nme notice huyo Scars na Sayville ni jitu moja ID tofautiKama una mke na familia basi wahesabu Awana mtu hapa ni hasara, umekaa ukakosa kazi ya kufanya ukaona uwape yanga ushauri wako? Unashindwa kuwashauri kina mwenyekiti wako mangungu wasajili vizuri unaenda kuishauri timu inayojiweza? Timu yako na hao unaowashauri ni ipi Bora? Kwanini usianze na uchafu wako kabla ujarukia vya wenzako?
Cheki hii mbwigakitu nme notice huyo Scars na Sayville ni jitu moja ID tofauti
Mkishashindwa kwenye hoja ndo mnakimbilia huku?kitu nme notice huyo Scars na Sayville ni jitu moja ID tofauti
Comrade, hiki ulichoandika hapa ni zaidi ya uharo wa bata. Na uniwie tu radhi kwa kusema ukweli.
Mimi ni shabiki wa yanga na ninaujua mpira kwasababu nimeucheza ndio maana mimi sio shabiki mjinga kama wewe waliopo humu ni mashahidi Yanga anapokosea nakosoa na anapopatia nasifia pia,mara nyingi huwa nasema humu huyu alikamwe na privaldinho wana utoto uliopotiliza...halafu ujinga upo kotekote na huwa unaungwa mkono na wajinga kama wewe unakumbuka ujio wa manzoki na ibenge kwenye uchaguzi mkuu wa simba?
Huu uzi GSM akiuona anaweza kutuma vijana wanitafute ili aniajiri. Anapoteza pesa zake kwa watu wana midomo tu ila jezi hawanunui, viwanjani hawaji. Hasara tupu.haina wasiwasi ila dua zote zilikuwa ni asec ishinde, watakapokuja kuwanyoa hapo kwa mkapa ndo mtajua hamjui, kwani mwanzoni mlikuwa hamjatulia? Kilichokuwa kimewafanya mstulie ni nn?
Kuna hoja gani hapo? zaidi ya kuchambana kama wanawake wa pwaniMkishashindwa kwenye hoja ndo mnakimbilia huku?