Ushauri: Yanga ijikite Kombe la Shirikisho

Bora hata mende ana akili kuliko hili kolo
 
Hata marefa WA FIFA wanadai wanawapendelea Simba. Mie nawaza Yanga ukifika 10 Bora ya FIFA itaweka Mabango dunia nzima. 🤣🤣
Yaani tutaona ile mmasai kaingia disco
 
 
Wewe ni Mpumbavu!!! Shabiki mpumbavu usikete historia kushindanisha kinachozungumziwa sasa mjinga wewee
 
Wewe ni Stupid!!
 
Yaani kweli Medeama unaiweka katika kundi la timu zenye viwango, Medeama ambayo mlijihakikishia point 6 hadi juzi tu hapa? Kwanza tunaongelea Medeama ipi, ile mliyocheza nayo Ghana au hii ya juzi maana mmecheza na Medeama mbili tofauti.
Ndiyo hiyohiyo Medeama nayoizungumzia ambayo wewe inawezekana ungeambulia point moja. Yanga ingekua kundi lenu ingekua inaongoza mpaka sasa. Timu zote unga unga atleast Asec, ila wengine wote hamna kitu
 
Mbumbumbu fc
 
Kumbe na wewe ni mbumbumbu...aisee,ongelea kundi uliopo sasa hivi..unaleta taarifa za kundi la miaka kenda ilopita?aisee,UNASHINDWA MFUNGA MAKHIRIKHIRI ,UNASHINDWA MFUNGA ASEC NYUMBAN ,SIJUI UNATAMBA NINI?
RAGE AJENGEWE MNARA
 
Wewe ni mbumbumbu ,aka visingizio fc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…