Limbukeni TU wa ujenzi uyo,Kapotea njia huyu ndo wale wanachapiwa wake daily maana anashindana na maisha kama vile ameyaumba yeye hayo maisha mwisho kwenye pale kati anaharibu mazima
Ha ha ha.....unanitafutia ban sio?😃Weka hizo picha upewe muongozo...
Fahari ya macho...Ha ha ha.....unanitafutia ban sio?😃
Kweli wee na bwana Iblis Bin Shetan Ni watoto wa baba mmoja🤣
Mkuu smart911 apa suala ni kukataa unyonge kwa namna yoyote ile.Weka hizo picha upewe muongozo...
Akwende na shida zake hukoLimbukeni TU wa ujenzi uyo,
ndo wale Unakua baba wa familia unajenga nyumba ya kuishi afu mke na watoto unawalisha uji na chumvi wanadhoofika kwa utapiamlo.[emoji2]
Akili kisoda hizo.
Huna mpenzi au mume au kaka au dada au huendi msikitini au kanisani utafute sheikh au padriMe yatima
Hao ulowataja hawapo ntaibia wapii
WW3..halafu hajijui Kama kakwama😂😂Utadhani yupo vitani
Watu wa mungu wana uvumilivu ukimuibia atakusamhe we jifikirie Yesu anasema mtu akikupiga shavu la kushoto mgeuzie na kulia unaona wema watu wa mungu ila ukimuibia mtu wa kawaida hawezi kukubaliBwana iblis,
kwaiyo unataka binamu akamuibie hata shehe na padri kweli?😥🤔
Ha ha ha.......We ndio wale mahaba Vita🤣
Ha ha ha.... kweli kabisa.Watu wa mungu wana uvumilivu ukimuibia atakusamhe we jifikirie Yesu anasema mtu akikupiga shavu la kushoto mgeuzie na kulia unaona wema watu wa mungu ila ukimuibia mtu wa kawaida hawezi kukubali