Ushawahi fanya figisu kuvuruga mahusiano ya watu ili awe wako?

Ushawahi fanya figisu kuvuruga mahusiano ya watu ili awe wako?

Kapotea njia huyu ndo wale wanachapiwa wake daily maana anashindana na maisha kama vile ameyaumba yeye hayo maisha mwisho kwenye pale kati anaharibu mazima
Limbukeni TU wa ujenzi uyo,
ndo wale Unakua baba wa familia unajenga nyumba ya kuishi afu mke na watoto unawalisha uji na chumvi wanadhoofika kwa utapiamlo.😃
Akili kisoda hizo.
 
Weka hizo picha upewe muongozo...
Mkuu smart911 apa suala ni kukataa unyonge kwa namna yoyote ile.

Mwanaume Kupambania na kulinda kile unachokiamini ni suala la kiume zaidi.
Sio mwanaume Unakua wakulia Lia kisa mapenzi😃

Ukiona mtu umemuelewa, unapambana umpate na sio stori za namuachia mungu.

Mungu ana kazi nyingi za kufanya bro, binadamu ndo Maana umepewa mamlaka😊
 
Limbukeni TU wa ujenzi uyo,
ndo wale Unakua baba wa familia unajenga nyumba ya kuishi afu mke na watoto unawalisha uji na chumvi wanadhoofika kwa utapiamlo.[emoji2]
Akili kisoda hizo.
Akwende na shida zake huko
 
We ndio wale mahaba Vita🤣
Ha ha ha.......
Kwakweli Mimi kuacha sehem nishaona nimepaelewa, Apo hunambii kitu.

Zaman kidg Kuna dada angu mmoja (mtoto wa bamkubwa) alkua anasema anasema,
"Mimi mwanaume nikimuelewa hata Kama kaoa wanawake watano, ntamtongoza TU, Na akinikataa nambaka. Afu baada ya Apo ntajichomeka tu humo humo Kwny mahusiano yake ntajua mimi chakufanya anipende zaidi"

Mungu sio athuman nadhan yakatimia, miaka 5 mbele akaja kaolewa Kama MKE mdg kwa jamaa mmoja mkenya, anasema yeye ndo mwanaume alomwelewa na asipangiwe na mtu Ayo maamuz yake.

Wako Mombasa sahivi😊
 
Watu wa mungu wana uvumilivu ukimuibia atakusamhe we jifikirie Yesu anasema mtu akikupiga shavu la kushoto mgeuzie na kulia unaona wema watu wa mungu ila ukimuibia mtu wa kawaida hawezi kukubali
Ha ha ha.... kweli kabisa.
Ila Mimi ukiniibia Lazima nikulipize kisasi😃
Sinaga habar za namuachia mungu Wala karma.Tunalipana Hapa Hapa duniani.😊
 
Mi nilimwambia demu kuwa mbona jamaa yako anakula shosti Wako. Demu akaamini kabisa nikala. Mzigo safi kilaini kwa hasira.
[emoji23][emoji23]Ila hawa viumbe Kuna sehemu walikosewa.
 
Mi nilimwambia demu kuwa mbona jamaa yako anakula shosti Wako. Demu akaamini kabisa nikala. Mzigo safi kilaini kwa hasira.
[emoji23][emoji23]Ila hawa viumbe Kuna sehemu walikosewa.
Walikosewaje Tena mkuu🤔
 
Back
Top Bottom