Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Namuonagaonaga hivi kama Hisa anazomiliki huyo jamaa zinaweza kuwa na thamani gani kwa pesa, au utajiri wake unaweza kuwaje maana radio naichuliaga poa.

Naomba eleza kama unajua.
labda tukadirie haitashuka 600mln.na anayo gari moja ya kibabe range.

hayo ni ya macho sijajua ya sirini bank huko na kwingineko.
 
labda tukadirie haitashuka 600mln.na anayo gari moja ya kibabe range.

hayo ni ya macho sijajua ya sirini bank huko na kwingineko.
Yaani Hisa kubwa ni 600M kwa tathminj kwa mantiki hii radio nzima haifikishi 1.5B kwa thamani.
 
mkuu hata cjaelewa hii story yako ase
 
Asante kwa ushauri
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]watu wamefukua uzi wake
Mimi sijafukuzia uzi hata. Ni kwamba nineunganisha vitu kibao nikisema hapa nitakuwa nakosea maana nyingine ni kosa kwa sheria za JF. Na hata si uungwana mambo yake namwachia mwenyewe.
 
Hapo kwenye 'mkwaju wangu' tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Acha roho mbaya mzee baba mzigo umekula na kazi hutoi mpaka umemzalisha unamtesa mwanao kwa kumpa mama jobless
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…