Ushawahi kwenda sehemu, baada ya kukuona wakakuchukulia poa, baadaye wakajua wewe ni mtu wa aina gani, wakaanza kukuonea aibu?

Chai. Umechemsha chai hapo kukuambia wahi daladala saa hizi zimejaa. Yaani from no where mtu alopoke kukupangia usafiri wa kuondoka nao?. Haiji
Mkuu unavyodhania ni tofauti na uhalisia nilioukuta pale, ni vibinti vya kiswahili halafu nilikuwa navijibu kavu sana ndio maana vikaropoka sio chai ni uhalisia niliokutana nao, we vitoto vinatembea na vioo kwenye vikoba vyao Unategemea vikuogope?
 
Hata kama wanadharau ila hii ni too much, kwanza kibongobongo lazima aogope maana kila mtu kavurugwa nchi hii.
Mkuu unavyodhania ni tofauti na uhalisia nilioukuta pale, ni vibinti vya kiswahili halafu nilikuwa navijibu kavu sana ndio maana vikaropoka sio chai ni uhalisia niliokutana nao, we vitoto vinatembea na vioo kwenye vikoba vyao Unategemea vikuogope?
 
Kamba bora ya mkonge toka tanga


Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Mkuu unavyodhania ni tofauti na uhalisia nilioukuta pale, ni vibinti vya kiswahili halafu nilikuwa navijibu kavu sana ndio maana vikaropoka sio chai ni uhalisia niliokutana nao, we vitoto vinatembea na vioo kwenye vikoba vyao Unategemea vikuogope?
 
Kamba bora ya mkonge toka tanga


Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Mkuu unavyodhania ni tofauti na uhalisia nilioukuta pale, ni vibinti vya kiswahili halafu nilikuwa navijibu kavu sana ndio maana vikaropoka sio chai ni uhalisia niliokutana nao, we vitoto vinatembea na vioo kwenye vikoba vyao Unategemea vikuogope?
 
Chai
 
Chai. Umechemsha chai hapo kukuambia wahi daladala saa hizi zimejaa. Yaani from no where mtu alopoke kukupangia usafiri wa kuondoka nao?. Haiji
tena hii ni 'green tea' ukinywa inasafisha kabisa tumbo, kaambiwa awahi daladala lakini hao wanawake kawakuta eneo la maegesho dah! hii haina tofauti na matokeo ya uchaguzi serikali za mtaa 2024.
 
We ni bank teller nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…