Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Kuna wafu wanaotembea mkuuWafu tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wafu wanaotembea mkuuWafu tena
Hahahaa sema anamanifastate anajiona yupo kwenye ndingaa sio mbaya 😂 😂Manka Mimi chai za usiku sikunywi🤣🤣
kabla ya kusema hivi ulijiuliza hiyo ofisi inafanya shughuli gani au inajishughulisha nini..code ya ofisi inategemea ni kazi zipi zinafanywa kwenye hio ofisiHeshimu ofisi za watu kwa kuvaa kiheshima. Pensi na sendo ni kuonyesha dharau. Ulianza wewe kuwadharau.
Mimi kazi yangu ina jina kubwa sanaa.Sasa watu wanafikiri nalipwa mamilioni masikini ya Mungu ,kumbe nakunja mia tisa na chenji kabla ya makato mpaka kurudi laki nne na kitu mfukoni.Basi watu mara waniombe niwaazime milioni kumi,mara niletewe prado linauzwa,mara mgeni rasmi wa kuongoza harambee.Kadi za harusi ndio hazina idadi.Kumbe ni masikini mwenye jina kubwaaa
BalaaaKanisani kwetu walikuwa wananichukulia poa,siku amekuja pastor mzungu mimi ndio nikawa natafsiri English to swahili
Baada ya hapo kanisani hadi watoto wadogo waliniheshimu
NB English ya kwenye biblia msiichukulie poa ni noma
Kuna mtu aliwahi kuandika uzi unaoendana na huuKidogo niseme hii thread imejirudia
TeaKuna siku moja Shahrukhan (mwigizaji wa Bollywood)alikuwa ndani ya ndege anasafiri kiti alichokuwa amekaa alikuwa na mzee mmoja anasoma kitabu kwenye ile sehemu kulikuwa na Abili wengine baada ya kugundua kuwa wapo na Shahrukhan wakaanza kumshobokea mara picha mara wanaomba kusainiwa kama kumbukumbu baada ya watu wote kwenye lile daraja lao kulidhika wakarudi kwenye viti vyao mjomba Shahrukhan kuna kitu kikamshangaza baada ya kujiuliza akashindwa kuvumilia ikabidi amuulize yule Abilia aliyekaa nae vipi mzee we hutaki picha na mimi kama kumbukumbu yako yule mzee akamjibu kwani unajua umekaa na nani Shahrukhan akamjibu hapana sifahamu yule mzee akamtajia jina lake kumbe bwana yule mzee ni Mmiliki wa kampuni ya Tata Nchini India ikabidi Shahrukhan awe mpole kimoyomoyo nadhani alisema kumbe mi ndo natakiwa kuomba picha.NB:Acha Dharau kwa Mtu usiyemfahamu.
Labda rais wa YangaYes humu jamii forum watu wengi hawajui nshawahi kuwa Rais
Kama na wewe ulivijibu mbovu basi huna haja ya kusema vinadharau.Mkuu unavyodhania ni tofauti na uhalisia nilioukuta pale, ni vibinti vya kiswahili halafu nilikuwa navijibu kavu sana ndio maana vikaropoka sio chai ni uhalisia niliokutana nao, we vitoto vinatembea na vioo kwenye vikoba vyao Unategemea vikuogope?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi kazi yangu ina jina kubwa sanaa.Sasa watu wanafikiri nalipwa mamilioni masikini ya Mungu ,kumbe nakunja mia tisa na chenji kabla ya makato mpaka kurudi laki nne na kitu mfukoni.Basi watu mara waniombe niwaazime milioni kumi,mara niletewe prado linauzwa,mara mgeni rasmi wa kuongoza harambee.Kadi za harusi ndio hazina idadi.Kumbe ni masikini mwenye jina kubwaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila kwakweli first impression inamata sana ndio maana matapeli pale posta mpya wana suti kali unaingia mkenge mwenyewe,kwahiyo huyo mtoa mada sio kwamba muongo ni kweli kabisa,watu wanakuchukulia jinsi wanavyokuona
Nakumbuka wakati mzee amehamishiwa wilaya ya kinondoni tukaenda kuishi oysterbay,sasa pale hatupo mbali sana na coco beach,so unaweza tupia yebo yebo tu kisha unajisogeza tu beach
Nimekaa zangu beach,nikamuona mrembo anapita nikamuita,sasa wakati huo miguu yangu ilikuwa imezibwa na kigogo cha mnazi,demu kusogea si ndio akaniona nimevaa yebo yebo huwezi amini demu akasepa,,kimoyo moyo nacheka we hujui mimi ni mtoto wa kishua
Kwahiyo kwa kifupi jinsi gani unajiweka ndio watu wanakupa hadhi yako
Maskini jeuriKuna watu vichwa nunda hata wakikuona na hiyo BMW yako Bado watakuchukulia poa tu.. wenyewe wanachojari kula, kulala,kuamka, kazini, imeisha iyo
Duuh😂😂 Red black pita huku.Hii kitu sijui ni nini asee,mfano jana tu hapa nikakutana na jamaa flani huwa tunaonana kwenye bar flani kila mmoja na hamsin zake,jana ananifuata ananiambia eti kuna shamba linauzwa hapo kibaha milioni 300 kama niko fresh aniunganishe na muuzaji,nikajisemea huyu mtu kanionaje wkt hata milioni 50 tu sina kwenye account?
Umeona mkuu😂nimepita ila kuna fix kibao🤣
Kabisa hayo mengine sio shida zao..Kuna watu vichwa nunda hata wakikuona na hiyo BMW yako Bado watakuchukulia poa tu.. wenyewe wanachojari kula, kulala,kuamka, kazini, imeisha iyo
noma sanaUmeona mkuu😂