Ushawahi kwenda sehemu, baada ya kukuona wakakuchukulia poa, baadaye wakajua wewe ni mtu wa aina gani, wakaanza kukuonea aibu?

Wanawake wanakuwaga nandharau nyie hawa viumbe...wee ulitakiwa uwagegede wote hao
 
Chai
 
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hii itakuwa kazi ya kuitwa mh.hii ya kukaa na kinyundo juu ya meza, suti nyeusi na shati jeupe. Mimi nilikumbia kabisa, naitwa mh. Huko mtaani,full kuogopwa na kutukuzwa, ila sasa mfukoni hamna kitu, nilikuwa nakunja mia9 na point, wakila makato na mkopo nabaki na 4.5 hv. Jina kuuubwa, kualikwa kwenye event na kuwa mgeni rasmi. Halaf na u incharge usio kuwa na maokoto
 
🤣🤣🤣
 
Nilifanya kazi ofisi flan Kwa miaka 7 mimi nikiwa mmoja watu wa kwanza kabisa kuajiriwa kwenye ofisi hiyo, baadaye nilicha kazi baada ya kupata kazi yenye maslahi zaidi.

Siku Moja nilitembela ofisi hiyo baada ya kupits miaka kama 4 hivi, lengo la kutembela pale nilitaka kuwapa tender ya kazi ya maana tu, pale reception nilimkuta Dada Mmoja mrembo haswa lakini bahati mbaya alikuwa na majibu ya hovyo Sana kifupi Hana costumer care.

Nikamuuliza MD yupo? akajibu Kwa dharau kasafiri, nikamuuliza naweza kupata no ya simu, akajibu nimeachiwa ofisi yeye ndiyo boss nimeambie shida yangu...nikaona hamna issue nikaondoka zangu.

Wakati natoka nje ya ofisi kwenye parking nikakutana na Mke wa MD ambaye pia alikuwa ni mmoja wa Wakurugenzi alifurahi Sana tukakumbstiana Kwa Bashasha, nikamueleza sababu ya kuja ofini basi tukaenda ofini kwake kile kidada Cha reception kikaona aibu kweli.

Mwisho tuliongea deal letu nikawapa mchongo wa zaidi ya milioni 170

Toka hapo yule Binti aliweka respect kwangu maana ule mchongo ulisaidia kulipia mpaka malimbikizo ya mshahara yao.

Baadaye nikaja kupita naye shaaa, nikaja kugundua kumbe ni single mom, amezaa na Mtoto wakuu wa mkoa mstaafu maarufu Sana...ambaye huyo mshikaji ni mwana.
 
Niliwahi kushuhudia.
Tulikua tunasafiri na LAND ROVER chakavu tukitokea kondeni kuvuna mazao.
Njiani gari ikazima moto. Deveva akafungua bonnet kukorokocha, hola. Akatokea jamaa ana gari mbovu mbovu nae anevaa rafu, akasimamisha gari mbele kidogo halafu akatufuata pale tulipo. Akauliza shida akawa kama anapotezewa. Akasogea zaidi pale kwenye bonnet akatia mkono, halafu akamwambia dereva haya piga start. Chuma kikakubali.
Akamfahamisha kwamba hiyo ni point, ikikutokezea tena fanya hivi.
Akamuelekeza jinsia ya kutatua, halafu huyo akaenda zake bila ya kusubiri hata ahsante.
Kufika mbele kidogo tatizo likajurudia lakini kwa kua dereva alikua ameshafundishwa haikua shida tena.
Chaajabu nilichokiona badala ya kumshukuru yule jamaa akawa anamtukana kila akifanikiwa kuondoa ile shida ya point.
 
kwenye huduma kwa wateja wadada huwa wanazingua sana! sijui ni kwasababu gani? ni stress, homoni au nini? ukimkuta mama mtu mzima kuanzia 50 sio rahisi kujikweza. Hii tabia mbaya imesababisha sana biashara nyingi kupoteza potential customers
 
Ndio dawa yao hawa receptionist...kuwagegeda tuu. Tena kabla ya kumgegeda akikuvua boxer unamuamrisha iamkie mbooooo
 
Hiyo nzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…