Ushoga katika taifa la Israeli

Hata wakatoliki wanaamini hivyo kupitia kitabu chao cha biblia takatifu iliyowapa watoto wa yakobo hadhi hiyo

Usituhusishe na Imani yako, wapi katika maombi au Sara au mafundisho ya wakatoliki tunawaabudu na kuwasifia waisrael., Eti usipo waombea waisrael huwezi kufanikiwa upuuzi mtupu
 
wayahudi hawa ni feki wanalindwa na U.S,wayahudi taifa teule la mungu og sio mashoga awatifuani vinyesi kama hawa wenu.
Upo sahii kabisa mkuu wanajeshi wa US ndio wanavaa sare za kijeshi za IDF na kupigana na waarabu.Wayahudi orijino ni waarabu na ni kweli kabisa waarabu hawatifuani vinyesi kama waarabu wa Dubai na Doha.
NB: Upo sahii kabisa wayahudi orijini ni waarabu wafuasi wa mtume muhamadi wanaozungumza kiarabu na wanaomuabudu Mungu wa waislamu na waarabu aitwae Allah.
 
Usituhusishe na Imani yako, wapi katika maombi au Sara au mafundisho ya wakatoliki tunawaabudu na kuwasifia waisrael., Eti usipo waombea waisrael huwezi kufanikiwa upuuzi mtupu
Sisi wakatoliki waafidhina wa Vatican na macrusider,s tunatumia biblia inayosifia wayahudi.
Sijui nyie mnatumia biblia gani
 
Bado ujasema ni mpaka useme.
 
N
Nimependa maelezo yako, ingawa pia umejaribu kuhusisha mataifa mengine ambayo hakuna anayoyabudu, kama taifa teule lilitakiwa liuoneshe huo uteule Kwa matendo Ili wale walokole wanaoishobokea Israel waonekane wako sahihi, lakini Kwa sasa hakuna taifa teule Wala takatiful pale. Uteule wake ungeonekana Kwa kushika dini kikamilifu.
 
waisrael kuwa na taifa teule, haimaanishi kwamba wao ni malaika. tangu enzi, wamekuwa wakimkosea Mungu na Mungu amekuwa akiwaadhibu sana.
 
Suala la ushoga lipo kila nchi duniani, sema tu mataifa mengine hayajaidhinisha waziwazi. Hata nchi za kiislam na kiarabu ushoga upo wa kutosha, tena ipo siku wataridhia kwa kupenda au kutokupenda as long as wameishaanza kuruhusu michezo ya kimataifa kufanyika katika nchi zao. Ya israel ushoga kuwepo si ajabu kwa kuwa ina mafungamano makubwa na nchi za magharibi na ushoga upo tangu kale zama za sodoma na gomora
 
Mungu anajua waliowake kwa kutumia matendo yao.huwezi kutumikia mabwana wawili.unakuwaje mwana wa Mungu wakati humuabudu Mungu?alafu mataifa yote yametengenezwa na Mungu.
 
Kwa hyo unatetea ushoga?
Nimesema huu ushoga hata Zanzibar na Mombasa kote umekithiri na kote huko wakaazi wake 95% ni wa Islam.Ukiwa unaiongelea Israel ukumbuke pia hilo tatizo hata hapa kwetu lipo.
 

Hata Nyerere akitajwa na Makongoro ataitwa baba yao, hii haimaanishi anawahusu wao tu hata sisi wengine tuna mwita baba wa Taifa, Kwa hiyo ni baba yetu.na Makongoro akikengeuka tunasema Makongoro kakeunga. Na Mungu hajasema kuwa ilimuende mbinguni basi mpitie Kwa wasraeli
 
H
Mungu wa wayahudi na wakrsto aitwae ADONAI AMEZAA NA ANA MTOTO AITWAE MASIHI.
MUNGU WA WAISLAMU NA WAARABU AITWAE ALLAH NI BACHELA HAJAZAA WALA HANA MTOTO.
NB: HAYO NI MAPOKEO YA DINI ZAO WAISLAMU NA WAYAHUDI NA WAKRISTO

Harafu Mungu wa wakristo sio Mungu wa waisrael, wao hawamtambui ACHA kujipendekeza
 
Dhambi haina utaifa wala kabila. Dhambi ni ya binadamu. Unaweza kuiandika Israel ambayo hata kukanyaga hujawahi huku ukiacha watu wa ukoo wako wenye tabia hizohizo.
 
H

Harafu Mungu wa wakristo sio Mungu wa waisrael, wao hawamtambui ACHA kujipendekeza
Mkuu huwezi kuutenganisha ukrsto na uyahudi.Sababu mungu wa wayahudi aitwae YEHOVA ndio Mungu wa wakrsto.
Na wakrsto wanatumia torati ya wayahudi na waanzilishi wa ukristo akina petro walikua wayahudi.
Allah ni mungu wa waarabu na waislamu na hafanani kabisa na YEHOVA Mungu wa wayahudi na Wakrsto.
 
Mungu wao aitwae ADONAI kasema lakini mungu wako aitwae allah hajasema.
Wao wamepewa mpaka jina la YESU na huwezi kubadili mapokeo yao ya kuufuata uyahudi ili waafuate uarabu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ