Nimeamua kumstiri mume wangu..sijaandika kila kitu ila baadhi yenu ni wanaume ila mngeumia sana na kutoa chozi...ndoa yetu ni ya serikali...naomba experience yenu especially kwa nyie mliokua na watoto mkaamua kuacha kila kitu na kuanza upya..
Mhh mtihaniNeno iko hapo kwenye rangi? Kalawiti mtoto? 🤔
Harufu ya malinda kufumuliwa inasikika maeneo Haya.Nawasalimu sana ndugu wana JF.
Kwakweli lengo la ndoa ni kuishi pamoja kwa uaminifu na upendo na kulea familia pamoja.
Nafaham humu kuna watu wenye calibre tofauti na uwezo wa hali ya juu kupambanua mambo kutokana na experience...
Naomba experience yenu, je ilikua rahisi kuanza upya? Kwenda mahakamani kutoa talaka rasmi imeshindikana kabisa..ninachotaka ni kutengana kwa muda napo imeshindikana..hapo more than three children kwenye ndoa wapo involved, ten years na wengine below .simchukii kabisa mume lakini forgiving and forgetting what happened nashindwa kabisa..imani haipo Yarabi tena...nimekata tamaa kabisa...
Imefikia kipindi natafuta kazi mikoani ili nipone moyo...jamani wenzangu mliwezaje...sijashare na ndugu yangu hata mmoja....nikiwaeleza kila kitu watamchukia na they will never forgive him...
Nimeamua kumstiri mume wangu..sijaandika kila kitu ila baadhi yenu ni wanaume ila mngeumia sana na kutoa chozi...ndoa yetu ni ya serikali...naomba experience yenu especially kwa nyie mliokua na watoto mkaamua kuacha kila kitu na kuanza upya..
Inabidi afunguke ilitujue tunamshauri vp na kumfajiri.Afute tena.,mna nini jmn
Badala ya kumfariji mtu asonge mbele
Ndo tunambembeleza badoInabidi afunguke ilitujue tunamshauri vp na kumfajiri.
Wewe chagua Hashim Rungwe kwa lishe boraYaliyotokana na tukio yalipelekea tukio la ugomvi mkubwa mkubwa sana kama two weeks ago.. Ndio maana. Naogopa kueleza sana maana mashuhuda iam sure wengi ni jf members kutokana na neighbohood ugomvi uliotokea...wengine wanaweza kuja na hints hapa...mimi nimeamua kujitenga mbali na muhusika ili moyo upone..ila bado imekua ngumu kuna watoto
Ila maudhi mengine hayapimiki hata mbele za Mungu sijui mtajibu niniMkuu pole sana kwa yaliyokukumba,by the way huo ndo uhalisia wa mambo huna budi kuukubali,kama ni swala la usaliti kitu kimoja tu yakupasa utambue ni kuwa MEN ARE POLYGAMOUS IN NATURE,Wengi ya wanaume hawawezi kaa na mke mmoja so wanawake wanapoingia kwenye ndoa yapasa kulijua hili ili kuepukana na stress baada ya kuujua ukweli,zaidi ya yote hakuna jipya jipya chini ya jua ,unayoyaona nakuyasikia tambua pia kuna watu yalishawakumba na waliweza kupambana nayo.
Mkuu naomba nikupe mfano huu ambao huwa napenda kuutumia kila Mara,kuna mwanamke mwezio enzi hizo nikiwa Lindi aliwahi kumfuma mmewe akiwa juu ya kufua cha binti yake wakizini ,mwanamke alipata mshituko wa moyo na kupoteza fahamu for three days ,baada ya kupona walikaa chini na kuyaongelea baadae ndoa ilisonga na hadi Leo hii wako pamoja kama mke na Mme.
Laiti hizi nyumba zetu zingekuwa na uwezo wa kuongea na kushuhudia kwa watu kile kinachofanyika ndani hakika hakuna jiwe lingebaki juu ya jiwe,hivyo yakupasa ukubaliane na ukweli wa mambo ndugu yangu.
Mwisho tambua kuwa running away from the source of the problem is not the way of solving it.hivyo kaa na mzazi mwenzako muyamalize,ukitaka ndoa isiyo kuwa na stress labda uolewe na malaika
Mtu anapewaje ushauri bila kueleza tatzo ( event) ?Ndo tunambembeleza bado
Ila ww unasema uzi ufutwe
Tutakua tumemsaidia kweli?.
Umekuta anakazwa!!!!Nashukuru ndugu kwa mchango wako...ila image ambayo nimepaint kwa ndugu zangu watashangaa sana..na wanamuamini na kumuheshimu mnooo.. Sasa nikiwaambia hayyo kesho na keshokutwa sijui watamtazama vp usoni...hajawahi kulalamika kwa ndugu zangu kuhusu mapungufu yangu na mimi ni mwanadamu siko perfect...
Wanawake ni waongeaji but sio good communicators. Mleta mada anadhani narudia tena kwa sauti ANADHANI tunalijua tatizo lake ndio maana naomba ushauri. Yani anadhani tunajua.Ndo tunambembeleza bado
Ila ww unasema uzi ufutwe
Tutakua tumemsaidia kweli?.
Barikiwa ndugu kwa kunielewaHakuna sababu yoyote ya kuongelea tukio zima kwa kina hapa JF. Humu kila mtu anaingia kusoma, na story nyingi huchukuliwa humu na kuwa shared kwenye mitandao mingine, hivyo utaishia kujivurugia mahusiano yako badala ya kutatua. Piga kimya.
Watu wazima wenye hekima zetu tumekusoma na Codes za muhimu tumezielewa, sasa tukupe tu ushauri ili usonge mbele.
Unaona sasa hapo umetoa option 3, Yani unabet.
Inabidi afunguke
Ahsante sana...nakufa ndani taratibu...ni degree holder sina kazi basi i am dying. Nimekata tamaa sana.....mume wangu sio type ya wanaume wa kukaaa na kuafiki muafaka..ni mtu wa excuses so hatufikii conclusion...sijaeleza ndugu yangu hata moja...hii ni kumstiri