Wa mtaani na wahuku Wanatofauti gani?Mmmh!π
Ni matumizi mabaya ya mapenzi kupenda usiyemjua huko mtaani kwani watu wameisha?
Uje...
Mchungaji kuna muujiza huku!!!Eee Jehovah nisi
Jehovah Sharmaπ
Elishadai
Nilijua tu huu mwaka wangu π
Jifunze dancing kidogo siku Hyo ni mauaji tupuπGaraB atakua in one &mbiliWakati wa bwana ndio huu.....πΉπΉπΉ
Mtaani unamuona mtu unajua kama unaweza kua nae kwa xctics zakoWa mtaani na wahuku Wanatofauti gani?
Uko wapi......Wakati wa bwana ndio huu.....πΉπΉπΉ
Mkuu nimuupdate status πnimewachoka mama ntilie sasa ni mwendo wa mishangazi iliyo mid 30'sMchungaji kuna muujiza huku!!!
Tena wa huku ni mzuri anakujua vizuri , kwamba ulishakula tunda kimasihara π€Mtaani unamuona mtu unajua kama unaweza kua nae kwa xctics zako
Huku unafanya ana ana dooo
Mishangazi ina faida nyingi ikikupenda,,pambana chief unaweza toka mrithiπ€£π€£Mkuu nimuupdate status πnimewachoka mama ntilie sasa ni mwendo wa mishangazi iliyo mid 30's
Humu hamna mapenzi tulia!!Tena wa huku ni mzuri anakujua vizuri , kwamba ulishakula tunda kimasihara π€
Mapenzi yapo , sema ukiwa na mawenge hauwezi yaona tulia...Humu hamna mapenzi tulia!!
Mpaka unatetea hivii basi kuna binti huwa anawazwa sana na weweπMapenzi yapo , sema ukiwa na mawenge hauwezi yaona tulia...
Nimeipenda hiiMapenzi yapo , sema ukiwa na mawenge hauwezi yaona tulia...
Sio kwel ππMpaka unatetea hivii basi kuna binti huwa anawazwa sana na weweπ
π π πMabibi na mabwana makofiiiiiiiiiiiiii
Kula chuma iko β€οΈ
ππππMishangazi ina faida nyingi ikikupenda,,pambana chief unaweza toka mrithiπ€£π€£
Poa kabsaHofu kwako kpnz,niko full mood yan,,mambo mengine niaje
Mambo π’Poa kabsa
Nlikua nakunywa maji, nipigieeeee πΉπΉπΉUko wapi......