Ushuhuda: Leo nimekutana na kipanga jeuri wa darasani. Kweli hakuna uhusiano wa uwezo darasani na wa maisha halisi

Ushuhuda: Leo nimekutana na kipanga jeuri wa darasani. Kweli hakuna uhusiano wa uwezo darasani na wa maisha halisi

Wewe ni mjinga hata kudanganya hujui!

IQ yako ndogo sana! Mtu mliyesoma naye darasa moja obviously atakuwa age mate wako!

Sasa ulivyom-address na huyo rafiki yako alivyom- address kijana wake wa kazi kwako obviously hakuna uhalisia wowote! Hizi ni story za vil.aza kutungia vil.aza wenzao.

Wewe ni mjinga hata kudanganya hujui!

IQ yako ndogo sana! Mtu mliyesoma naye darasa moja obviously atakuwa age mate wako!

Sasa ulivyom-address na huyo rafiki yako alivyom- address kijana wake wa kazi kwako obviously hakuna uhalisia wowote! Hizi ni story za vil.aza kutungia vil.aza wenzao.
Mbona kuna wanaoitwa vilaza lakini bado wanasota? Asilimia kubwa wanapata kazi but ni huyo tu .......asi conclude kwa wote......jeuri sio nzuri kabisa km kweli basi alizingua.....

All in all ulikuwa utoto ,mbona majeuri wengine wapo mbali tu....


Life halina formula unaweza kuta jamaa akapata kibarua kizito tu akapaaa ndan ya mwaka mmoja .......

Usicheke nyani kabla haujavuka mto
 
"nikamkuta njiani kipanga nikamwambia apande kama anajitaji lifti yeye akasema anasubiri mtu".......Hapa ndio umeandika pumba kabisa
 
Kila mtu ni BORA katika nafasi yake dunia hii na huwezi kuondoa UBORA wa mtu katika kitu flani kwa wewe kuwa BORA katika kitu kingine.. Hiyo ni NEVER na HAIPO zaidi ya kujifariji tu

BAKHRESA kuwa BORA katika Biashara inamaanisha amemzidi ubora WARIOBA katika nafasi yake sababu hazalishi mabilioni ya shilingi katika account zake. WARIOBA kuwa Bora Katika Elimu na uongozi inamaanisha ni Bora kuliko BAKHRESA katika nafasi yake kwa sababu hajawahi kupata Degree au Uwaziri.

Kiufupi, Wape watoto wako majumba na kila kitu lakini kama huna elimu historia yako itabaki ile ile kuwa baba yao uliishia darasa la nne C na huna msaada kwenye elimu zao zaidi ya usimamizi wa kuhadithiwa na ADA.
Kipanga nae atabaki na historia yake hata kama anamiliki kitanda na Godoro tu ambalo haliwezi lipia wanae ada ila atakuwa na uwezo mkubwa kuwasimamia kielimu.

ukiona Darasa la nne linakuharibia CV kwenye hela zako, Rudi Darasani.. Ukiona Pesa Huna sawa na vyeti vyako, unaingia mtaani. Hakuna mbadala. THE END
Nadhani tulikuwa wote tupo Ubungo-mataa tunataka kufika Posta mpya;
Wewe ukapitia mwenge mimi nikapitia Buguruni (tulikuwa tunapishana njia tu na pengine tusingepishana sana kufika safari yetu)

Shida hapa mwishoni umevurunda hadi sielewi umeingiwa na kitu gani au sijui nio usomi wenu wenzetu??

Tusizalishe mada nyingine ila kifupi hapo nilipokoleza kuna jambo;
Una Elimu kisha unashindwa kuwasomesha wanao hiyo ni akili au matope?????
Sikia ,
Yupo mzee namjua SINZA mfano hai kabisa ni
Std 7. ana mawe balaa, watoto watatu mmoja ndio kamaliza Chuo juzi tu,
Anasimamia vituo vya mafuta viwili Dar achilia mbali mirai mingine na majumba anayoyafuatilia mzee mwenyewe Dar na mikoani.

Sasa wewe endelea kuongeleza 'Digilii'.
 
Nadhani tulikuwa wote tupo Ubungo-mataa tunataka kufika Posta mpya;
Wewe ukapitia mwenge mimi nikapitia Buguruni (tulikuwa tunapishana njia tu na pengine tusingepishana sana kufika safari yetu)

Shida hapa mwishoni umevurunda hadi sielewi umeingiwa na kitu gani au sijui nio usomi wenu wenzetu??

Tusizalishe mada nyingine ila kifupi hapo nilipokoleza kuna jambo;
Una Elimu kisha unashindwa kuwasomesha wanao hiyo ni akili au matope?????
Sikia ,
Yupo mzee namjua SINZA mfano hai kabisa ni
Std 7. ana mawe balaa, watoto watatu mmoja ndio kamaliza Chuo juzi tu,
Anasimamia vituo vya mafuta viwili Dar achilia mbali mirai mingine na majumba anayoyafuatilia mzee mwenyewe Dar na mikoani.

Sasa wewe endelea kuongeleza 'Digilii'.

Huyo mzee wako hata wanae wafikie hadi kuwa na PHD ila yeye atabakia kuwa darasa la saba TU. Hilo halibadiliki mkuu

Kingine usikariri maisha, si kila mtu anatamani kuwa kama Marehemu Mengi au Bakhresa. Kuna waalimu wamezalisha matajiri na viongozi wakubwa nchi hii lakini maisha yao hadi wanastaafu ni ya kawaida na wameridhika...

Pia usiangalie matajiri wachache wasio na elimu ukadhani walioshindwa elimu wamefanikiwa maisha kuliko wale wenye elimu utakuwa unajidanganya. Kaa na watu wasio na elimu kabisaaa uone wanahangaika kiasi gani labda utapata wazo ni kwa kiasi gani wanajuta kwa kupishana na fursa kibao sababu hata form four haipo kichwani
 
Maisha ni milima na mabonde, kuna kupanda na kushuka. Usishangae baada ya miaka kadhaa ukapata ajira kwa huyo kipanga unaemcheka
 
Wakati nasoma seco Kuna mmoja alikuwa ndiye mshika mkia darasani,lakini chakushangaza jamaa alikuwa na pesa za matumizi kuliko mwanafunzi yoyote darasani,ikifika mapumziko msururu wa marafiki anawanunulia chai na mazagazaga yakula,siku moja nilipita mtaani kwao nikamkuta anauza Chipsi tukasalimiana akaniambia hili ni goli langu la Chipsi,ndio nikajua kumbe zile pesa za matanuzi school anapataje,so Mafanikio ya maisha na akili za darasani ni vitu viwili tofauti.
 
Huyo mzee wako hata wanae wafikie hadi kuwa na PHD ila yeye atabakia kuwa darasa la saba TU. Hilo halibadiliki mkuu

Kingine usikariri maisha, si kila mtu anatamani kuwa kama Marehemu Mengi au Bakhresa. Kuna waalimu wamezalisha matajiri na viongozi wakubwa nchi hii lakini maisha yao hadi wanastaafu ni ya kawaida na wameridhika...

Pia usiangalie matajiri wachache wasio na elimu ukadhani walioshindwa elimu wamefanikiwa maisha kuliko wale wenye elimu utakuwa unajidanganya. Kaa na watu wasio na elimu kabisaaa uone wanahangaika kiasi gani labda utapata wazo ni kwa kiasi gani wanajuta kwa kupishana na fursa kibao sababu hata form four haipo kichwani
Sijawahi kuponda wala kumdharau mtu kwalolote isipokuwa nikichokozwa tu.

Kwakuwa naona tumetoka kwenye mauhui ya hoja kuu pengine tuishie hapahapa,
ibaki tu, mwenye mavyeti akae nayo na mwenye mali bila vyeti atumbue maisha yake, itapendeza.
 
Wewe ni mjinga hata kudanganya hujui!

IQ yako ndogo sana! Mtu mliyesoma naye darasa moja obviously atakuwa age mate wako!

Sasa ulivyom-address na huyo rafiki yako alivyom- address kijana wake wa kazi kwako obviously hakuna uhalisia wowote! Hizi ni story za vil.aza kutungia vil.aza wenzao.
Umesoma chuo gani mkuu ambacho darasa zima mlikuwa agemate? Nimesoma vyuo 3 na hakuna nilichokuta wanafunzi wrote no agement au siku hizi Sera ya vyuo imebadirika.Au agemate sawa na classmate? Unapomkosoa mtu jaribu kufikiri kidogo sio kukurupuka tu.
 
Mara nyingi stori kama hizi huwa zinatoka kwa watu waliofeli masomo yao darasani au waliokuwa hazichaji kichwani na huwa faraja yao pekee ni kusubiri kipanga mmoja apigwe na maisha warudi kusema 'yako wapi sasa'!

Lakini wanasahau kwamba ukiwa na cheti au akili, hela bado una nafasi ya kuitafuta. Lakini hata kama una hela, kama hazichaji kichwani bado haziwezi kuja na hauwezi kuzitafuta akili kwa hela zako
Asante Lupweko ... wewe ni mtu mbadi.. jibu murua sana.. mtoa mada naona anahaha kukujibu..
 
Kila shule na kila faculty vyuoni ina hawa viumbe wanaitwa vipanga; ni watu ambao wanafanya vizuri sana darasani aidha kwa kutumia jitihada kubwa ama uwezo mkubwa wa akili waliojaaliwa.

Tatizo sio kuwa kipanga, tatizo ni kuwa kipanga jeuri, ni wale watu wanaofanya vizuri darasani na kuona kwao tayari washapita mtihani wa maisha, yaani ni wale type za kuringa, zenye kujitenga pamoja na vipanga wenzao, wanaonyima watu chabo kwenye mitihani n.k

Sasa navyosoma zamani kulikuwa kuna huyu bwana alikuwa na tabia hizi na kiukweli kwake namba yake ilikuwa ni moja tu, yani alikuwa na tabia kama hizo nilizotaja, Chuoni assignment zake, notes zake za summary, n.k alikuwa anatunyima na hata kuwaita wazi wazi wasio na uwezi darasani ni vilaza.

Nimekodisha frem sehemu flani nimeweka binti awe anauza maana mimi muda mwingi nipo kazini, sasa kuna rafiki yangu tunaefanya nae kazi akavutiwa kufungua biashara ya kipati cha ziada, nikamshauri achukue fremu eneo lile nililopo maana ni pazuri, basi taratibu zikafanyika na rafiki yangu akafungua stationery kubwa tu.

Leo nlipotoka kazini nilienda dukani kwangu kuhesabu mzigo lakini pia lengo kuu nilikuwa na shauku kubwa ya kuona mradi wa huyu rafiki yangu maana leo ndio rasmi alianza kuuza.

Kufika pale nikapigwa na butwaa, nikaona kijana wa kazi pale ni yule kipanga, kiukweli nilihisi nmechanganya sura maana nilijua jamaa atakuwa huko kwenye vitengo vya juu au kufundisha vyuoni.

Nlimwita jina akaitikia nikajua hapa sijakosea ni yeye, basi ndio nikamkumbusha ndo akanijua akaniambia kafungua steshonari yeye, mimi nikawa namchora tu mbona ananidanganya, rafiki yangu akafika akamtambulisha huyo ndio kijana wake wa kazi, dah basi kwa kipanga ikawa aibu tupu.

Wakati wanafunga tukaagana na yule rafki yangu na mimi nikafunga maana dada wa kazi alikuwa kaniacha, nikamkuta njiani kipanga nikamwambia apande kama anajitaji lifti yeye akasema anasubiri mtu.

Usiku huu namcheki WhatsApp, nmemtumia message hadi sasa kaisoma ila hajajibu
Huyu kipanga alisoma Chuo gani.
Shule gani advance,
Shule gani O level
Shule gani ya msingi.
Naomba tuanzie hapo kwanza.

Maana kuna vipanga wengine ni butu kama huyo uliyetwambia.
 
Huu uzi unanikumbusha mambo ya ule uzi wangu mhitimu mambo nayopitia katika kipindi hiki
 
Wakati nasoma seco Kuna mmoja alikuwa ndiye mshika mkia darasani,lakini chakushangaza jamaa alikuwa na pesa za matumizi kuliko mwanafunzi yoyote darasani,ikifika mapumziko msururu wa marafiki anawanunulia chai na mazagazaga yakula,siku moja nilipita mtaani kwao nikamkuta anauza Chipsi tukasalimiana akaniambia hili ni goli langu la Chipsi,ndio nikajua kumbe zile pesa za matanuzi school anapataje,so Mafanikio ya maisha na akili za darasani ni vitu viwili tofauti.
umeandika pumba, Vipanga ndio viongozi wako, vipanga ndio wako TRA, Vipanga ndio wapo TBS, Vipanga ndio wapo EWURA, Vipanga ndio wanaokutoza kodi, vipanga ndio wako ofisi ya Rais, vipanga ndio walimu vyuoni, vipanga ndio wanaokutibu ukiumwa. Futeni hizo pumba zenu.
 
Kila shule na kila faculty vyuoni ina hawa viumbe wanaitwa vipanga; ni watu ambao wanafanya vizuri sana darasani aidha kwa kutumia jitihada kubwa ama uwezo mkubwa wa akili waliojaaliwa.

Tatizo sio kuwa kipanga, tatizo ni kuwa kipanga jeuri, ni wale watu wanaofanya vizuri darasani na kuona kwao tayari washapita mtihani wa maisha, yaani ni wale type za kuringa, zenye kujitenga pamoja na vipanga wenzao, wanaonyima watu chabo kwenye mitihani n.k

Sasa navyosoma zamani kulikuwa kuna huyu bwana alikuwa na tabia hizi na kiukweli kwake namba yake ilikuwa ni moja tu, yani alikuwa na tabia kama hizo nilizotaja, Chuoni assignment zake, notes zake za summary, n.k alikuwa anatunyima na hata kuwaita wazi wazi wasio na uwezi darasani ni vilaza.

Nimekodisha frem sehemu flani nimeweka binti awe anauza maana mimi muda mwingi nipo kazini, sasa kuna rafiki yangu tunaefanya nae kazi akavutiwa kufungua biashara ya kipati cha ziada, nikamshauri achukue fremu eneo lile nililopo maana ni pazuri, basi taratibu zikafanyika na rafiki yangu akafungua stationery kubwa tu.

Leo nlipotoka kazini nilienda dukani kwangu kuhesabu mzigo lakini pia lengo kuu nilikuwa na shauku kubwa ya kuona mradi wa huyu rafiki yangu maana leo ndio rasmi alianza kuuza.

Kufika pale nikapigwa na butwaa, nikaona kijana wa kazi pale ni yule kipanga, kiukweli nilihisi nmechanganya sura maana nilijua jamaa atakuwa huko kwenye vitengo vya juu au kufundisha vyuoni.

Nlimwita jina akaitikia nikajua hapa sijakosea ni yeye, basi ndio nikamkumbusha ndo akanijua akaniambia kafungua steshonari yeye, mimi nikawa namchora tu mbona ananidanganya, rafiki yangu akafika akamtambulisha huyo ndio kijana wake wa kazi, dah basi kwa kipanga ikawa aibu tupu.

Wakati wanafunga tukaagana na yule rafki yangu na mimi nikafunga maana dada wa kazi alikuwa kaniacha, nikamkuta njiani kipanga nikamwambia apande kama anajitaji lifti yeye akasema anasubiri mtu.

Usiku huu namcheki WhatsApp, nmemtumia message hadi sasa kaisoma ila hajajibu
Maisha yako hivi! ZIG -ZAG... usicheke na kudharau kwa sababu ya moto wa kisuri suri! unaompitia mwenzio!! huu nao ni ukilaza na kweli ulikuwa kilaza! Mimi nilikuwa kipanga hasa!! kaupepo kaka nipitia nikarudi zero haswa. huko mkoa!
,
from no where ukanipitia upepo mzuri! nikatumia CV Zangu zile zile! niliponyoka kama Mshale Mzoefu ziakani! Pyaaaa! yule mbwiga alinipa somo! na alibaki vilevile! alivo zaidi eti bila aibu wala kumbukumbu ananitafuta nimpe line za maisha! ndo km wewe! mtu alie nicheka nimpe line???

Siri ya Maisha heshimu, saidia kila mtu aliye chini yako hujui kesho yako! wala mtoto wako ataishia wapi!! tena km alikuwa mtu mzuri shirikiana nae! lkn kumbe wewe ulikuwa unaumia!! ulivo muona anavo peta sasa nakupa miaka 3 km utamuona akisua sua kimaisha!!! some times tenda wema uende zako,

huenda alikuwa haringi mtu wa watu, unaonekana wewe mzushi flani hivi mwenye kinyongoooo! kile cha kichawi!! ningekuwa mimi huyo jamaa kwa mtu km wewe haloooo! ntajifanya sikujui kabisaaaaaaaaaaa! hata tukiwa kijijni kwetu utakuwa wa kawaida sana tena siyo mara moja kil siku, kamwe sitaki ushirika na mtu km weye! utajitambulisha kila siku!! bora ujipitie tuuu!

Nitusue!! nisi tusue!! kimaisha naku dellete mazimaaaaaaa!! lkn km ulikuwa mtu wa neno! mtu wa msaada sijui upendo aaah! kwangu asee!! ntakupendaje? ntakupa ushirika mpaka napo kuwa Rais wa jamhuri, km Boyz 2Men! na hukosi ka uwaziri MKuu!

hata iweje wanao sijui mkeo watapeta kwa mgongo wangu. ili mradi tu mimi Rais. na watu wema wa hivi wamo humu Duniani humu wengi tu Mbona!!! km Dr Evelyn Zagwi yaani yule Dr labda nisiwe Rais! Lazima ale bure vya Ikulu! hata iweje!!
 
Kila shule na kila faculty vyuoni ina hawa viumbe wanaitwa vipanga; ni watu ambao wanafanya vizuri sana darasani aidha kwa kutumia jitihada kubwa ama uwezo mkubwa wa akili waliojaaliwa.

Tatizo sio kuwa kipanga, tatizo ni kuwa kipanga jeuri, ni wale watu wanaofanya vizuri darasani na kuona kwao tayari washapita mtihani wa maisha, yaani ni wale type za kuringa, zenye kujitenga pamoja na vipanga wenzao, wanaonyima watu chabo kwenye mitihani n.k

Sasa navyosoma zamani kulikuwa kuna huyu bwana alikuwa na tabia hizi na kiukweli kwake namba yake ilikuwa ni moja tu, yani alikuwa na tabia kama hizo nilizotaja, Chuoni assignment zake, notes zake za summary, n.k alikuwa anatunyima na hata kuwaita wazi wazi wasio na uwezi darasani ni vilaza.

Nimekodisha frem sehemu flani nimeweka binti awe anauza maana mimi muda mwingi nipo kazini, sasa kuna rafiki yangu tunaefanya nae kazi akavutiwa kufungua biashara ya kipati cha ziada, nikamshauri achukue fremu eneo lile nililopo maana ni pazuri, basi taratibu zikafanyika na rafiki yangu akafungua stationery kubwa tu.

Leo nlipotoka kazini nilienda dukani kwangu kuhesabu mzigo lakini pia lengo kuu nilikuwa na shauku kubwa ya kuona mradi wa huyu rafiki yangu maana leo ndio rasmi alianza kuuza.

Kufika pale nikapigwa na butwaa, nikaona kijana wa kazi pale ni yule kipanga, kiukweli nilihisi nmechanganya sura maana nilijua jamaa atakuwa huko kwenye vitengo vya juu au kufundisha vyuoni.

Nlimwita jina akaitikia nikajua hapa sijakosea ni yeye, basi ndio nikamkumbusha ndo akanijua akaniambia kafungua steshonari yeye, mimi nikawa namchora tu mbona ananidanganya, rafiki yangu akafika akamtambulisha huyo ndio kijana wake wa kazi, dah basi kwa kipanga ikawa aibu tupu.

Wakati wanafunga tukaagana na yule rafki yangu na mimi nikafunga maana dada wa kazi alikuwa kaniacha, nikamkuta njiani kipanga nikamwambia apande kama anajitaji lifti yeye akasema anasubiri mtu.

Usiku huu namcheki WhatsApp, nmemtumia message hadi sasa kaisoma ila hajajibu
Kilaza katika ubora wake.
Haya maisha yana siri kubwa
 
Back
Top Bottom