USHUHUDA: Namna vijana tunavyoteseka na Genital warts bila kujua

USHUHUDA: Namna vijana tunavyoteseka na Genital warts bila kujua

Ntanatz

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2019
Posts
214
Reaction score
415
Habari wakuu Wa JF, niende kwenye mada....
Katika vitu najivunia sana tangu nimeanza kuujua ulimwengu wa smartphone ni kuijua jamii forums..
Nimejiunga jamii forums ni kama miaka 5 nyuma huko sina hakika sana,

pitapita, hangaika na harakati za vijana kuhusu chupi kwenye umri wa miaka 17 kuendelea zinakuwa juu sana..
nikiwa kama kijana niliyepitia huko, nina kisanga ambacho natamani kila mtu ajue kuhusu huu ugoniwa wa genital warts namna unavyohangaisha na kuharibu saikolojia zetu(victims) aseeh..
nitapost na picha zangu kama ushahidi, i'm too brave to post my pics kwasabb kwangu naona ni kama ushindi mkubwa sana na bonge la comeback nimefanya katk kuipambania afya yangu ya andindo maliaswesa...

brother kama ujawahi umwa warts jipongeze na jikinge sana huu ugonjwa sio poa kabisa asehh

1.hauumizi
2.hauwashi
3.haunenepi
4.haujiamini
5.depression
6.haufurahii sex
7.haushiriki kabisaaa sex if u have big heart to protect others..

Kwa mara ya kwanza niliona tofauti ya kwenye shina la uume wangu nikiwa na miaka 17 back in 2017
Skustuka sana, nilichukulia kawaida,
2021 mwishoni nikapitia andiko twitter lilikuwa linaelezea ishu ya warts, wakat huo bado sjui km nina warts nikajipa tu muda kulisoma lile andiko daaaah pale ndo nikagundua kama nina huo ugonjwa hali ilikuwa kama hivi
tazama picha


nilikuwa na vidoti vitatu tu vya warts mwanzoni nikapotezeaaa

maisha yakasonga hadi 2023 hapo vile vidude aseeeh vilikuja kuwa vikubwa sana kiasi ambacho, nilikuwa stak kabsa mwanamke aone uume wangu na hata ule mda wa kujigi, skutaka kabisa ashike...

hali ilikuwa hivi tazama picha





IMG_20240217_003505_1.jpg



Broh narudia tenaa kama hujawahii umwa huu ugonjwa acha tu ni noma sana

Hapo ndo nilipoanza kuona dunia na Mungu nimemkosea.. hiki kipindi nilikuw naomba kila dua aseehh....
Nitendeleaa maana uandishi kazi aseeh

 
Basiiii wakati sijui hili wale lile, nikawa tu napitia maandiko na chapisho kadha wa kadha za genital warts..
Yaan hicho kipindi noma sana,
Natamani kumshirikisha mtu ila naona sooooo😂😂😂 sasa kuna day niko depressed kinoma,
nilipitia andiko moja nkakuta kuna dawa zipo tagged pale ambazo zinaweza kutibu hiyo warts. nahisi ni podophyline, nikaanza kuzitafuta kweny maduka ya madawa na kote nilikosa kudadek akili ikazid kuvurugwa..
Siku zikasonga bwanaa,
nilikuwa na huyo dem mmoja wa kiha alikuw ananipenda sana kiukweli, na hat mm pia nilikuw nampenda mno so ye kwa mapenzi yake alikuw anataman kufanya vitu extraordinary to prove me how far she's fallen..
Katka hvyo vitu ni kufany oral sex, aseeeh hapo nilikuwa nampinga sana sana sana huku natia nasaha nyngii kuhusu madhara ya oral sex
Dem akawa anakutana na vipingamizi vitatu
1.hawezi kuona uume wangu
Na kama kuuona ni wakati tayr nimevaa condom

2.hawezi kuushika labda niwe nina condom

3.hawezi kuunyonya na pia hawezi kushiriki tendo namimi bila condom..


Hivyo vitu vilikuwa vinamkwaza sana sana sana kwann namzuia bila kujua kama namlinda dhidi ya warts nilizonazo


Nitaendelea
 
Vikate upakae ugolo havirudi tena .
Broh hili andiko ni la kushuhudia tu namna jamii forums ilivonisaidia kupona huu ugonjwa niko poa kabisa shwariiiiiiiiiii kabisa yaan nimepona tangu mwez wa 8 mwaka jana hakuna hata alama ya hizo ndude
Duuh!
Umeuweka mshedede hadharani bila kuficha ficha.
Pole mwamba.
Nasikia unaweza kutibiwa kwa mionzi hospital au kuvichoma moto. Don't try this at home.
Brothe acha tuuu hadi napost hvo ni furaha ya kuishinda hiyo battle... nimepona mzma kabs
 
Habari wakuu Wa JF, niende kwenye mada....
Katika vitu najivunia sana tangu nimeanza kuujua ulimwengu wa smartphone ni kuijua jamii forums..
Nimejiunga jamii forums ni kama miaka 5 nyuma huko sina hakika sana,

pitapita, hangaika na harakati za vijana kuhusu chupi kwenye umri wa miaka 17 kuendelea zinakuwa juu sana..
nikiwa kama kijana niliyepitia huko, nina kisanga ambacho natamani kila mtu ajue kuhusu huu ugoniwa wa genital warts namna unavyohangaisha na kuharibu saikolojia zetu(victims) aseeh..
nitapost na picha zangu kama ushahidi, i'm too brave to post my pics kwasabb kwangu naona ni kama ushindi mkubwa sana na bonge la comeback nimefanya katk kuipambania afya yangu ya andindo maliaswesa...

brother kama ujawahi umwa warts jipongeze na jikinge sana huu ugonjwa sio poa kabisa asehh

1.hauumizi
2.hauwashi
3.haunenepi
4.haujiamini
5.depression
6.haufurahii sex
7.haushiriki kabisaaa sex if u have big heart to protect others..

Kwa mara ya kwanza niliona tofauti ya kwenye shina la uume wangu nikiwa na miaka 17 back in 2017
Skustuka sana, nilichukulia kawaida,
2021 mwishoni nikapitia andiko twitter lilikuwa linaelezea ishu ya warts, wakat huo bado sjui km nina warts nikajipa tu muda kulisoma lile andiko daaaah pale ndo nikagundua kama nina huo ugonjwa hali ilikuwa kama hivi
tazama picha
View attachment 3192323

nilikuwa na vidoti vitatu tu vya warts mwanzoni nikapotezeaaa

maisha yakasonga hadi 2023 hapo vile vidude aseeeh vilikuja kuwa vikubwa sana kiasi ambacho, nilikuwa stak kabsa mwanamke aone uume wangu na hata ule mda wa kujigi, skutaka kabisa ashike...

hali ilikuwa hivi tazama picha





View attachment 3192321


Broh narudia tenaa kama hujawahii umwa huu ugonjwa acha tuuuuu Q¥mam@e... ni noma sana

Hapo ndo nilipoanza kuona dunia na Mungu nimemkosea.. hiki kipindi nilikuw naomba kila dua aseehh....
Nitendeleaa maana uandishi kazi aseeh

Daaa! Pole sana
 
Shukranii mkuu
Daaa! Pole sana

Zinaa ina gharama nyingi sana,lakinii pia sio Kila shimo ni la kuingia..
Ngumu kuelewa hiii statement kama hujawahi kutana na dhahama la STD..
Me skuwahi kuumwa gono wala upuuzi ganii std ya nguvu na ya kwanza kuipata ni hiiii nomaahahah
Utauwa watu ...........maaana hapa ni kama kuna watu wako chobi wanasubulia uliponaje waanze dawa bila kwenda kupima exactly nini wanachoumwa hospital
 
Back
Top Bottom