USHUHUDA: Namna vijana tunavyoteseka na Genital warts bila kujua

USHUHUDA: Namna vijana tunavyoteseka na Genital warts bila kujua

Broyhef
Ndo utupostie kiba100 chako kabisa mzee Live bila chenga yaani Cc Evelyn Salt una ona mambo aya

Broh naweka kam ushahidi tuu kuna watu labda wangeshindwa kuelewa nazungumzia nini, na kwa msaada wa picha wanaweza kujigundua pia.. me n kijana kuna vijana wenzangu wengi labda wana hili tatz lakn hawajui kma ni tatz.. so maybe through my post wanaweza kupata mwanzo wa kutafuta tiba
 
Sana kaka woga unatumaliza imagine tangu nimejua huo ni ugonjwa nimedumu nao 7 to 8 years ndo napona?? Noma sana
pole sana, kuna dogo mashine inaanza kuoza ndo rafiki yake ananiambia,..ikabidi kumcheki mzee wake, maana dogo alikuwa anamuogopa mzee Wake,...na huyo mzee wake ni bro tu wa kitaa,..so akaelewa chapu tukaokoa jahazi,..
 
Wee jamaaa kama mimi tuu sema mi hayo mambo yalinikuta nikiwa jeshini mkuu...

Nakumbuka the last footdril nilishindwa kufanya maana hali ilikua tete ila nilipona baada ya kupata dawa moja hv inaitwa scaboma....

Kuna watu humu jf walinishauri nitumie BBE sijui oyaa ile dawa mpaka leo hata nikiona kichupa chak tuu huwa nasisimka...

Nafikili kama mwizi akiiba hapa hom nikimkamata tampaka hii dawa kwenye tundu la haja kubwa..

Akija rudia kuiba nahama jf hapa
 
Back
Top Bottom