USHUHUDA: Namna vijana tunavyoteseka na Genital warts bila kujua

USHUHUDA: Namna vijana tunavyoteseka na Genital warts bila kujua

Basi bwanaaa, me nikaendelea na maficho yangu ya siriii...
kumbe bwana yule mwanamke naye kashaamua kunikazia achunguze kwanini namzuia kuona andindo yangu??? Daaah sku moja akanivizia nikiwa nimelala kabsa then akaona alivyovionaa.... alichokifanya akasubiri mpaka asubuhi ifike. kweli mapema asubuhii tuu akaniulza kuhusu usiri wangu tunaposex.. na kwann napenda sana kutumia condom kwann yan??
me nikaendelea kujielezea vilevile bila kujua mwenzangu kashaona ninachokificha.
sasa akaja kunistua kwa kuniambia kwamba kweny uume wangu kuna masundosundoo!!
ayeehh i was shocked kaonajeeee???
ila nilichoshangaa zaid kajua mpaka jina ambalo me skuwa nalijua hata???
ikabidi sasa nianze tu kumuuliza ndo nini hivyo? akanielezea kama mtu ambae anavijua vizuri vile vinyama aseeeehh??? nilijikuta jinga kabisa kwann nilikuwa nafichaa???
ngoma ilifika hivi tazama picha
IMG_20240217_003403_1.jpg


IMG_20240217_003554_8.jpg




Akaanz kunielezea dawa za huko kwao kigomaa
Akaniambia nitumie utovu wa papai bichi kupaka kwenye vile vitunguu(warts)
akanambia na mavi ya kuku wa kienyeji
Akaniambia na kuvifunga uzi wa sindano then baada ya sku3 vitapotea

Oyaaa jinsi nilikuwa desperate na huu ugonjwa nadhani hata ningeambiwa mkojo wa mbwa ni dawa ningekunywa...
Nilifanya hivyo vyoteee na bado ngoma ikawa kam ndo inaanza aseh

Tena huo utovu ulichonifanyia hahahahhahahahahahah sitamani kabsa asehh

Nitaendelea
 
Habari wakuu Wa JF, niende kwenye mada....
Katika vitu najivunia sana tangu nimeanza kuujua ulimwengu wa smartphone ni kuijua jamii forums..
Nimejiunga jamii forums ni kama miaka 5 nyuma huko sina hakika sana,

pitapita, hangaika na harakati za vijana kuhusu chupi kwenye umri wa miaka 17 kuendelea zinakuwa juu sana..
nikiwa kama kijana niliyepitia huko, nina kisanga ambacho natamani kila mtu ajue kuhusu huu ugoniwa wa genital warts namna unavyohangaisha na kuharibu saikolojia zetu(victims) aseeh..
nitapost na picha zangu kama ushahidi, i'm too brave to post my pics kwasabb kwangu naona ni kama ushindi mkubwa sana na bonge la comeback nimefanya katk kuipambania afya yangu ya andindo maliaswesa...

brother kama ujawahi umwa warts jipongeze na jikinge sana huu ugonjwa sio poa kabisa asehh

1.hauumizi
2.hauwashi
3.haunenepi
4.haujiamini
5.depression
6.haufurahii sex
7.haushiriki kabisaaa sex if u have big heart to protect others..

Kwa mara ya kwanza niliona tofauti ya kwenye shina la uume wangu nikiwa na miaka 17 back in 2017
Skustuka sana, nilichukulia kawaida,
2021 mwishoni nikapitia andiko twitter lilikuwa linaelezea ishu ya warts, wakat huo bado sjui km nina warts nikajipa tu muda kulisoma lile andiko daaaah pale ndo nikagundua kama nina huo ugonjwa hali ilikuwa kama hivi
tazama picha
View attachment 3192323

nilikuwa na vidoti vitatu tu vya warts mwanzoni nikapotezeaaa

maisha yakasonga hadi 2023 hapo vile vidude aseeeh vilikuja kuwa vikubwa sana kiasi ambacho, nilikuwa stak kabsa mwanamke aone uume wangu na hata ule mda wa kujigi, skutaka kabisa ashike...

hali ilikuwa hivi tazama picha





View attachment 3192321


Broh narudia tenaa kama hujawahii umwa huu ugonjwa acha tuuuuu Q¥mam@e... ni noma sana

Hapo ndo nilipoanza kuona dunia na Mungu nimemkosea.. hiki kipindi nilikuw naomba kila dua aseehh....
Nitendeleaa maana uandishi kazi aseeh

Imagine umepambana Kwa watu wangapi
 
Habari wakuu Wa JF, niende kwenye mada....
Katika vitu najivunia sana tangu nimeanza kuujua ulimwengu wa smartphone ni kuijua jamii forums..
Nimejiunga jamii forums ni kama miaka 5 nyuma huko sina hakika sana,

pitapita, hangaika na harakati za vijana kuhusu chupi kwenye umri wa miaka 17 kuendelea zinakuwa juu sana..
nikiwa kama kijana niliyepitia huko, nina kisanga ambacho natamani kila mtu ajue kuhusu huu ugoniwa wa genital warts namna unavyohangaisha na kuharibu saikolojia zetu(victims) aseeh..
nitapost na picha zangu kama ushahidi, i'm too brave to post my pics kwasabb kwangu naona ni kama ushindi mkubwa sana na bonge la comeback nimefanya katk kuipambania afya yangu ya andindo maliaswesa...

brother kama ujawahi umwa warts jipongeze na jikinge sana huu ugonjwa sio poa kabisa asehh

1.hauumizi
2.hauwashi
3.haunenepi
4.haujiamini
5.depression
6.haufurahii sex
7.haushiriki kabisaaa sex if u have big heart to protect others..

Kwa mara ya kwanza niliona tofauti ya kwenye shina la uume wangu nikiwa na miaka 17 back in 2017
Skustuka sana, nilichukulia kawaida,
2021 mwishoni nikapitia andiko twitter lilikuwa linaelezea ishu ya warts, wakat huo bado sjui km nina warts nikajipa tu muda kulisoma lile andiko daaaah pale ndo nikagundua kama nina huo ugonjwa hali ilikuwa kama hivi
tazama picha
View attachment 3192323

nilikuwa na vidoti vitatu tu vya warts mwanzoni nikapotezeaaa

maisha yakasonga hadi 2023 hapo vile vidude aseeeh vilikuja kuwa vikubwa sana kiasi ambacho, nilikuwa stak kabsa mwanamke aone uume wangu na hata ule mda wa kujigi, skutaka kabisa ashike...

hali ilikuwa hivi tazama picha





View attachment 3192321


Broh narudia tenaa kama hujawahii umwa huu ugonjwa acha tuuuuu Q¥mam@e... ni noma sana

Hapo ndo nilipoanza kuona dunia na Mungu nimemkosea.. hiki kipindi nilikuw naomba kila dua aseehh....
Nitendeleaa maana uandishi kazi aseeh

Ndo utupostie kiba100 chako kabisa mzee Live bila chenga yaani Cc Evelyn Salt una ona mambo aya mama
 
Back
Top Bottom