Basiiiiii jamaaaa
Nikaaanza kumfukua taratibuuu ilimradi tu achanike
Jamaa akaanza kushuka verse za kutosha chimbo lipi alipata dawa mpaka akapona..
Alisema katka kuhangaika alifka kwa daktar wa ngoz pale muhimbili akapima akajua kwmb kinachomsumbua ni warts
Akapewa dawa alizitumia ila hazikuzaa matunda.. akaamua kwenda pharmacy moja ilikuwa pale mbagala rang3 shule ya msing kwandani kidogo
Akamkuta Big mmoja hiv akamwelezea akamwambia hizo dawa kwa kipind hicho hakuwa nazo ila anaweza kuziagiza kwssabb yake so ampe pesa aziagize... kweli mshkaji hakulemba akatoa pesa 35k akampa big, baada kama ya wiki mbili akapigiwa simu akafate ile dawa..alipewa hiyo dawa mfano wa cream tazama picha
Akaitumia kama wiki mbili hiv vile vidude vikaanza kuwa vyeusi na vigumuu as if vinakauka yaniiii..
Kweli baada ya wiki tatu akawa mzma kabisaa mshkajiiii daaaah,
Kipengele kinakuja hapa yule Big kahama mtaa na mm dawa naitaka ila naipatajeeee mana jamaa nikimwomba contact atastuka kwann naitaka hiyo namba???
Daaaah bwana me nikajitoa kimasomasoooo nikamwambia anipe ile namb ya Mkubwa nimchekiiii... jamaa akatoa namba fresh.
Sku ya pili tu asubuh nikamrukia mahewa sikutaka kujieleza sana, niliomba mawasiliano yake ya whatsapp akanipa, bila kuchelewa nikapiga picha jegeje nikamtumiaa kudadekiiii....
Big that time dawa zile alkuwa nazo na pia ilikuw rahisi alkuwa na safar ya kuja dar so tukapanga meeting. Kweli sku alofika dar akanitafuta tukaonana akanipa dawa nikampa 35k yake muhuni nilijiamini sana hiyo sku asehh😀😀😀
Nikajisemea mwenyewe we pumbavu wart habari yako kwishaaaaa nimetumia dawa nyingi umenikataa ila sasahivi huchomokiiiiii... it was like i won the game even before playing, yote hiyoo ni kwasabb ya imanii tu ambayo ilinijia moyoniiii....
Basiii babaaa matumizi yakaanzaaa aseeeh nilivofikisha wiki ya matumiziiii ya ile dawa i experienced drastic change and improvement of shutting all the warts down.. pale sasa nilivogundua kama vidude vimetekenyekaa nikajipiga picha nilinganishe na pcha za nyuma..
Angalia picha
Hapo wakati naweka dawaa...
Hapa ndo vimenza kukauka na kupunguaaa
Broooooh nilkuwa nadhani ni uongooooo aseeeehhh skuwa naaamini ninachokionaaa
Itaendeleaa