USHUHUDA: Namna vijana tunavyoteseka na Genital warts bila kujua

USHUHUDA: Namna vijana tunavyoteseka na Genital warts bila kujua

Mkuu tukiwa pale jeshini lindi ..
Ulitokea huo ugonjwa kwa mlipuko tuu vaap vipere vilianza mkononi.... Mara paaap mi vikaamia huku pakuchu ila sasa show yake daah an mda wa usiku na lile joto la nachingwea kule vikaanza kuni sumbua alafu sasa uchawi wa hivi vidude ukisema uvikune tuu aaaaah raha kinoma noma..

Alafu vinaambukiza chap kwa haraka na kupona kwake ndo hvo mpka uwotee dawa mana nilitumia dawa nyingi mpka kuna mdada flan hv akawa ananipaka ile dawa ya mti chungu inaitwa alovara sijuiii.. ila wapi

Na mimi vilichelewa maana nilikua napaka dawa havijapona vizri naenda kunjunjana kwahyo nikawa vinakauka na kurudi tena..

Baada ya kuona haya mambo yanaweza kufanya kukosa show nikaona ngoja vipone mazima hapo nikawa nafata ushauri wa mdada nikawa natumia detol na scaboma ..

Ndan ya mwezi nikapona maana vilibaki huku chini tuu...


Nilivopona ndo nikaanza kutest kwa shangazi wangu wa kwanza kwabisa huyu alikuja hom kulikua na harusi nikatambulishwa kama mama angu mdogo ... ..
Baada ya kupona huwa naogopa sana mtu mwenye vipele hata nikigusana nae basi nahakilisha sijigusi huku chini hata kwa dawa dadek
Ma'mdogo siyo shangazi bhana, mila za wapi hizo?

Halafu ukamuelewa kudadeki🤣🤣🤣, vijana wa siku hizi nyie!

Sisi zamani mbona tulikuwa hatufanyi mambo'ayo?
 
Oyaaa wakatiii nina furaha kupitilizaa kuonaa vidude vinakaukaaa.. nikawa najiongeza kuvikata na kucha vile vidude mana vilikuwa vigumu vyeusii baada ya kutumia ile dawa..
Nikawa navinyofoa alaf naweka yale mafutaa baada ya mda naweka ile cream kudadekiiiiiiii skumaliza wiki mbili kama mshkaji wanguu ngoma ikakaa sawa vidude vikapoteaaa kabisaaa kabisaa ile dawa ikabakiii ya kutosha hahahahahahahahhaha

Baada ya kupona ndo nikaja kumsanua yule jamaa kama na mm nilikuw mgonjwaa...


Baada ya kuponaa uume wangu
Picha hapo chinii


IMG_20220118_012737_0.jpg

Oyaaa nilifurahiii sanaa kudadekiiiii

Sasa mtihani ulibaki hapaa.. vipi kuhusu yule dem? Basi me nikamsanua kama vile vidude vimepotea kabisa havipo kabisa yaaan hata alama tu ya warts haipooo... alishangaaa sanaaaa then akafurahi sanaa.. nikamwambia kabla ya kusex inabid tuende tukacheki kama una Virusi vya HPV na kam hauna basi upate kinga na mm nipate kinga maisha ya sex yarud kama kawaida.. kweli tukaenda kucheki, manzi matokeo yametoka yupo salama kabisa basi akapata chanjo na mm nkacheki bado virus ziko mwilin na nikaambiwa hizo zikifika haziondoki tena kweny damu so hazina madhara kam nitaimarisha tu kinga mwili.. aaah me nikaona poaaa tu ishu ni hivi vinyama bwanaa..
daaaaah yule demu hata kabla sjapiga c akafiwa bwana ikabidi aondoke kwao kigoma akazike daaah tangu kaondoka ajarud had leoo... na mm naogopa sana kupiga dem mwingne kwa kuhofia vidude vitarudi basi nikajikaza miezi ya mwanzo ile daaah sku nlvokuja kukamatia manzi niliosha kama akili sina but ni safe sex..

safari ilikuwa hivyo yaniii
Stage 1

IMG_20220323_003148_9.jpg




IMG_20220323_003701_1.jpg



Stage 2

IMG_20240217_003505_1.jpg




IMG_20240217_003554_8.jpg




IMG_20240217_003403_1.jpg



Stage 3

Matibabu

IMG_20240928_073126_9.jpg
IMG_20240928_073038_8.jpg



IMG_20240927_073859_0.jpg



Stage 4

Kuponaa uzimaaaa

IMG_20220118_012737_0.jpg


Uzima raha wananguuuu

Naishukuru sana jamiii forums kwa kunisaidia kuipagana vita hiiii asehhh
SIKUSHAURI
kutokwenda hospital kama mimi..

Skwenda hospital kwasabb nilikuwa muoga wakuuu
namshukuru Mungu kwa kunionjesha ladha ya kuumwa na kuniponya maana hali ile ilinifanya nimkumbuke sana Sir God aseeh..

ugonjwa nimepona niko sawa kabisaa now..

Nimeshuhudia ili watu wajue kuwa Jamiiforums inaweza kuwa majibu ya maswali yako mengi magumu aseehh..

Nimemalizaa
 
Wee jamaaa kama mimi tuu sema mi hayo mambo yalinikuta nikiwa jeshini mkuu...

Nakumbuka the last footdril nilishindwa kufanya maana hali ilikua tete ila nilipona baada ya kupata dawa moja hv inaitwa scaboma....

Kuna watu humu jf walinishauri nitumie BBE sijui oyaa ile dawa mpaka leo hata nikiona kichupa chak tuu huwa nasisimka...

Nafikili kama mwizi akiiba hapa hom nikimkamata tampaka hii dawa kwenye tundu la haja kubwa..

Akija rudia kuiba nahama jf hapa
Kwa nn inauma sana au?
 
Ma'mdogo siyo shangazi bhana, mila za wapi hizo?

Halafu ukamuelewa kudadeki🤣🤣🤣, vijana wa siku hizi nyie!

Sisi zamani mbona tulikuwa hatufanyi mambo'ayo?
Alikuja kuwa mshangaz kwa sababu hizi
Unajua mkuu mpka mtu kuitwa mshangazi lazima awe na T3
Tako,Tumbo na Titi

Vyote anavyo alafu kaenda hewani sema Shepu lake kuliona ngumu mana ni mtu wa majuba...

Sasa hvi sio vijana hata hao wazee ni hovyo hovyo mkuu kiufupi ecosystem ime be destroyed
 
Back
Top Bottom