USHUHUDA: Namna vijana tunavyoteseka na Genital warts bila kujua

USHUHUDA: Namna vijana tunavyoteseka na Genital warts bila kujua

Kumbe ushapona ohoo good news.
Picha tuone
IMG_20220118_012737_0.jpg
 
genital warts uponi unambukiza tu wanawake hpv . na mwisho wa siku wanawake wa apata cancer ya kizazi.

mwanamke wakiwa na warts awaluhusiwi kuzaa kwa kawaida na mtoto ataambukizwa hpv.

Jamaa una generational condition. mke na watoto wapo kwa risk.

umetoka tu warts ujapoma. hpv ni kama ngoma.

it's over buddy acha kuusambaza
Soma andiko majibu utayapata huko...
Mtu nlonaye kweny mahusiano tayr ana kinga...
Sio kila HPV italeta cancer 😅😅😅😅
Stak kuzama huko deep naishia hapa tu
 
Broh hili andiko ni la kushuhudia tu namna jamii forums ilivonisaidia kupona huu ugonjwa niko poa kabisa shwariiiiiiiiiii kabisa yaan nimepona tangu mwez wa 8 mwaka jana hakuna hata alama ya hizo ndude

Brothe acha tuuu hadi napost hvo ni furaha ya kuishinda hiyo battle... nimepona mzma kabs
Kuonesha namna jamii forum imekusaidia ndo uoneshe mapumbu yako
And you dare calling this courage!!
Utambue tu ilo pumbu litabaki mtandaoni siku zote
 
Soma andiko majibu utayapata huko...
Mtu nlonaye kweny mahusiano tayr ana kinga...
Sio kila HPV italeta cancer 😅😅😅😅
Stak kuzama huko deep naishia hapa tu
Vuta vuta muda kidogo, kuna ndugu yangu aliwahi kua kitombi balaa akapigwapigwa na magonjwa ya zinaa sasa hivi anapata watoto wanaumwa magonjwa hayaeleweki acha tu yaan sema nini hongera na pole kwa kupona mkuu
 
Na vip ulikuja kugundua au kuhisi nan aliyekuambukiza?
Kumjua excatly ni fulan hapana kwakweli.. kutokana na muda pia.. unajua mtu wa kwanza kushiriki nae tendo alkuw mpya kama mimi.. and skuwahi kuwa na tabia ya kuw na wanawake wengi, nlivotemana na wa mwanzo kabsa nkawa na mahusiano mengine ambayo yalidumu kwa zaid ya miaka 5 so hapo kujua ni nan alkuw ana maambukiz ya HPV ilkuw ngumu... NoTe nmekuja kugundua kam nina warts 2021
 
Back
Top Bottom