Ntanatz
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 214
- 415
- Thread starter
- #121
Hahahahahahahaha kakaa aalikutesa sana, dawa nlopona nayo mm haiumi haileti hali yyt yaani coool tuHiyo dawa inawasha kwa mtindo wa kipekee i cant explain but ni hataree mkuu
Imagine with 30 min inawasha kiasi ambacho mwili unapanda joto mpka una sweat..
Ukitoka hapo mwili wote maji tuu yaan hapo kama ulipng kulala uwezi kulala