zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Njoo chumbani tuna mazungumzoNimeipenda hii mwanaume ukiweza kuzuia,umefanikiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo chumbani tuna mazungumzoNimeipenda hii mwanaume ukiweza kuzuia,umefanikiwa
Patatosha tu mboni sio ajabu hivi kile kipindi tunaonyeshwa ngwengwe inavyotafuna maeneo nyeti kabla ya ARV kuja wewe ulikua huzioni zile picha zinabandikwa mpaka kwenye majalida na mbao za matangazo?Nawaza siku aibuke mdada.atoe ushuhuda nae aambanishe na mapichapicha kama hivyo live...mbona hapatatosha..
Kwa hii jf nnayoijua😄
Unaruka kwa kuvaa condoms ila unagusana nae mwili unabeba magonjwa ya ngozi yaan unajiuliza ngozi yangu inababuka nimepata wapi huu ugonjwa kumbe kuna li shanikupe yaan Shangazi limoja ulivaa condoms ila mligusana mwili bila kujua kua anaumwa magonjwa ya ngoziPole utapona mzee,usione aibu utapata Tiba.
Vijana tulieni na mwenza mmoja,Uwe me au Ke,Umalaya ni ushamba.
Huwajui wewePatatosha tu mboni sio ajabu hivi kile kipindi tunaonyeshwa ngwengwe inavyotafuna maeneo nyeti kabla ya ARV kuja wewe ulikua huzioni zile picha zinabandikwa mpaka kwenye majalida na mbao za matangazo?
Weka yako basi tuichambue kidogoHuwajui wewe
Huu ugonjwa nahisi niliwahi kuumwa utotoni hivi vipele si huwa vinawasha mpka kwenye kichwa cha dudu vinatokeaHiyo dawa inawasha kwa mtindo wa kipekee i cant explain but ni hataree mkuu
Imagine with 30 min inawasha kiasi ambacho mwili unapanda joto mpka una sweat..
Ukitoka hapo mwili wote maji tuu yaan hapo kama ulipng kulala uwezi kulala
Alafu mda unakuna unahisi utamuHuu ugonjwa nahisi niliwahi kuumwa utotoni hivi vipele si huwa vinawasha mpka kwenye kichwa cha dudu vinatokea
Ndiyo vipele si huwa vinakuwa vyekundu au vinapasukaAlafu mda unakuna unahisi utamu
😁😁😁😁😁 Mkuu tuache hizi story maana navokumbuka daaah acha tuuNdiyo vipele si huwa vinakuwa vyekundu au vinapasuka
Ahahhaa ila nishapona sasa mkuu nipo physically fitKumbe mdogo wangu Poor Brain na wewe ulitoka upele kwenye mapumbu, nimesikitika sana
Haijaisha paka iishe kabisaa.Nimecheka mkuu mleta mada ila pole sana.
Niliwahi kuwa na mdada mwenye hpv, nikampeleka hadi hospitali ila cha ajabu hakuwahi kuniambukiza na tulidumu miaka miwili-mitatu.
Hivyo vidude utafikiri vina mshipa wa aorta asubutu kukata bandiko lijalo ataomba damuVikate upakae ugolo havirudi tena .