ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,832
- 11,964
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mkuuu umenichekesha sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ikipita harufu yoyote wanakukata jicho kali
Ukoo wenu ni wa kichoyo na MNA roho mbaya.
Hamna hali ya kuinuana ili kuondoa aibu ya familia.
Tuwaige ndugu zetu wachaga, wanavyobebana pindi waonapo mwenzao amekwama.
[emoji23][emoji23][emoji23]Daaah maisha ya kisenge haya ......ata hauulizwi utakuta unaletewa tu MIRINDA NYEUSI
Siku 39 tu maisha yakakubadilikia, ulipiga dili gani mzee babaFunny 😆 but not funny...naomba kukubaliana na wewe iliwahi kunitokea mie iliwahi kunitokea siku ya msiba wa bibi yangu nasikitika sikupewa taarifa na ndugu wa karibu zaidi alinitumia meseji binamu yangu na fasta msibani nilienda tena kwa kutembea kwa mguu maana nauli nilikuwa sina (ndugu hawakujali walanini)sasa cha ajabu ilifika siku ya arobaini nilikuwa mtamu balaa coz baada ya ule msiba kuisha basi siku chache baadae mipango yako ya kifedha ikafunguka😜unaambiwa shobo zilikuwa nyingi mpk taarifa za birthday napewa achilia mbali vikao vya harusi ninachaguliwa kuwa kiongozi wa kamati🤣 maisha haya😀 wacha leo tucheke tu😆😆😆😆😆
Ila wewe🤣🤣🤣Siku 39 tu maisha yakakubadilikia, ulipiga dili gani mzee baba
🤣🤣🤣Tena kama huna pesa huulizwi unakunywa soda gani, utashtuka tu umefunguliwa soda chiii
Ngoja nifatilie huu mchongo, nibadili maisha nimechoka kuwa masikini.Ila wewe🤣🤣🤣
Kote tuu... jamani... kwani huko hamnaga wale mgambo wa kukodi? Na catering mbona ziko nyingi sana jaman na wanapika balaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umesema Wachaga?
Mbona hii kitu ya kubaguana ipo hata Uchagani!
Kama huna pesa kule msibani, wewe ni mtu wa kutumwa mbege & bia na vitu vingine.
Nenda kule Uswaa, Machame utakuta haya mambo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Na ukitaka kuchangia mada wanakuwahi "mbona kama unataka kuanzisha ugomvi"
Nampendaaaa[emoji23][emoji23][emoji23] walikua wanamuabudu Beda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ilaaaaaaaa.. kuna watu maskini jeuri nyieee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna alieweza kusema "SINYANYUKI, NIUENI..!!"?