Ushuhuda: Nilishinda njaa siku 3, nikaanza kuokota vyakula barabarani, nikashikwa kwa uzururaji

Pambana nae boss....muabudu sana tena sana....uzuri ni kuwa kila mtu atajibu mashtaka yake "kama kweli kupo kwa kujibu mashtaka!"
Unaulizwa hiki wew unajibu kile. Soma tena
 
Huyu inaonekana alikua ameshakua Murtard adhabu yao ni kifo, naona mateso yali muanza mapema tu kwa hicho kitendo......baba mzazi alikua sahihi kama kweli ulikua Murtadi na mimi siwezi kukutafuta tena.
Dini ni jambo binafsi...kila mtu ana haki ya kuchagua jambo sahihi kwake

Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
 
Naelewa sheikh wangu kuwa na amani hawa wajinga hawawez kuelewa naamua kufurahishana nao tu hapa maana sina kazi leo nipo nipo tu

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
upitapo ktk moto hutateketea,wala miali ya moto haitakuunguza,utakuwa na dhiki siku kumi,uwe mwaminifu hata kufa...
 
Ulimwengu wa kiroho wewe mweupe sana.
huna nguvu yoyote
Unataka adi nianze kuwauzia watu maji ya upako, mafuta, chumvi na udongo, au niwe navaa kibaraghashia ndio unione mweusi kiroho.... Endelea kuwa misukule kwenye hizo imani zetu, jikite kwenye meditation na kutumia uwezo wako wa subconscious mind ili unijue vizuri, nakutakia usiku mwema.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£ haya bhana mimi acha ninyamaze ukweli unao wewe kwenye jicho la tatu unaona mambo gani, is demonic spirit or Angelic spirit utajaza mwenyewe
 
Huyo mungu wao huwa ni kilaza sana yaani sana. Mungu gani hadi atetewe tena kwa mapanga!
Ah samahani mkuu, nilisoma vibaya nikajua unaniambia mungu wangu kilaza mpka apiganiwe na mapanga kumbe ulimaniisha wale wa upande wa pili
 
Ila nilichojifunza hapa ni kuwa Allah ni Rahiim sana(Mwenye huruma) kwa viumbe wake.

Tazama mleta mada pamoja na kuikataa dini pekee, ya haki mbele ya Allah, lakini bado anamruzuku mpaka ameweza kuanzisha uzi hapa akijiona shujaa/ mshindi.
Pamoja na hayo huju jamaa bado haja ridhia anatukana sana uislamu hapa JF katika mada mbalimbali.
 
Samahani mkuu Murtadi ndio nini?? Ni imani ya aina gani??

Kwanini umkate mkono? Wewe hauna dhambi?
 
Ila nilichojifunza hapa ni kuwa Allah ni Rahiim sana(Mwenye huruma) kwa viumbe wake.

Tazama mleta mada pamoja na kuikataa dini pekee, ya haki mbele ya Allah, lakini bado anamruzuku mpaka ameweza kuanzisha uzi hapa akijiona shujaa/ mshindi.
😁😁😁😁😁
Kama ana huruma, unajua angekuwa nchi za waislamu 98% adhabu yake ingekuwa ni kifo?
Kama Allah ana huruma halafu wafuasi wake hawana huruma mpk mnaweka mahakama ya kadhi basi mafundisho ya uislamu hayaendani na mafundisho ya Allah?
Watu waliofanikiwa wakiwa kwenye imani zingine km wachina ni huruma ya Allah?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…