Ushuhuda: Nilishinda njaa siku 3, nikaanza kuokota vyakula barabarani, nikashikwa kwa uzururaji

Ushuhuda: Nilishinda njaa siku 3, nikaanza kuokota vyakula barabarani, nikashikwa kwa uzururaji

Njia nyepesi ya kupata chakula ugenini zunguka popote ukikuta Pana msiba hapo ndo kwako jibidiishe tu kufanya kazi za kupasua Kuni,kusomba maji,nk.
Peleleza kazi ya marehemu ili uwe na technic ikitokea ukiulizwa unamfahamu vipi unaweza sema nilikua fundi wake,kibarua wake nk.
Hadi msiba uishe utakuwa umeshapata ramani
Aisee!!! Yaani unamshauri kusema uongo? Kumbuka, NJIA YA MWONGO NI FUPI!
 
Ulikuwa hujaiona misikiti, au huzijuwi nyumba za Waislam?

Hakuna msikiti au Muislam atakunyima kula, siku nyingine ukisikia njaa, jitose msikitini tu uwaambie Waislam shida yako, utakula mpaka ukitazame macho chakula.

Hivi unaishi Tanzania au wapi?
Bibi yangu ww kila kitu ni uislamu tu[emoji4][emoji4]
 
Kuna member humu jf kwenye ule uzi wa watu waliowahi kupitia magumu kwenye maisha alisema alikua akihisi njaa anameza mate mengi au anaachama mdomo upepo unaingia tumboni siku zinasonga, alikonda mpaka alikua akimilikwa tochi tumboni mwanga unatokea upande mwingine wa mgongo.

But guess what, God is good[emoji106]
Nipe link ya huo uzi.....
 
Mbona hizo changamoto zako ni ndogo sana Mkuu? Watu tumepitia magumu mpaka leo tupo na huwa nikikumbuka magumu niliyoyapitia huwa nasema “Nothing is permanent “.
 
Tumezaliwa mabinti wa2 baba yangu na mama yetu ni wakristo tena wazuri tu lkn mdogoangu tangu akiwa sec alipenda dini ya kiislam na baada ya kidato cha nne alibadilisha kabisaa na sasa nikama amezaliwa humo. Sala zote anaswali haimpiti hata moja. Tunampenda, hatujawahi kumtenga. ikifika azana tunazima redio na ikifika mda wa sisi kuomba anaheshim pia.
Dini hazijawahi kututofautisha ilimradi hatuingiliani Basi Mambo mengine yanasonga.
Sijui ni nini mnabishania hapa enyi Wana wa ibrahim wakati kwa Mungu hakuna mbora kuliko mwenzie.
KUBISHANIA DINI KWANGU MIMI NI UTOTO
Sio kwa waislamu kama ingekuwa vice versa.
Ndio maana pale na Wayahudi watapigana mpaka watakaoisha waishe, sababu wanafanana misimamo.

Mbaya zaidi myahudi anaona hakutekeleza order ya kale akirudi kutoka utumwani kuwa alitakiwa awauwe wote wafilisti(Philistine/palestine) mpaka watoto

Picha linaanza wanamkataa Yesu mpaka leo katika dini yao ya Judaism. Lakini wangekuwa wakristo ndio percent kubwa katika Uyahudi ingekuwa simple tu kuwa haya nyie chukueni hivyo.

Wakristo wangepewe eneo jingine wajenge kanisa wasali, hayo mengine Mungu atasimamia na kuhukumu mwenyewe.
 
Ulikuwa hujaiona misikiti, au huzijuwi nyumba za Waislam?

Hakuna msikiti au Muislam atakunyima kula, siku nyingine ukisikia njaa, jitose msikitini tu uwaambie Waislam shida yako, utakula mpaka ukitazame macho chakula.

Hivi unaishi Tanzania au wapi?
Kuliko kula msikitini bora nife njaa
 
Niligundua kuwa ni chai nilipoona eti nikafunikwa na wingu la Mungu.
 
Umejazwa ujinga na hakuna wakukuondolea hilo isipokuwa ni wewe mwenyewe tu.
Mjinga wa kwanza duniani ni wewe unayetetea hata magaidi wauaji kwa kisingizio cha dini.

Sasa mtu kama wewe nitakulaje chakula chako?

Unaamini asiye muislam ni kafiri si utaniwekea sumu wewe mwanaharamu?
 
Mjinga wa kwanza duniani ni wewe unayetetea hata magaidi wauaji kwa kisingizio cha dini.

Sasa mtu kama wewe nitakulaje chakula chako?

Unaamini asiye muislam ni kafiri si utaniwekea sumu wewe mwanaharamu?
Kw jinsi unavyoandika tu, unaonesha u mjinga wa kutupwa.
 
Back
Top Bottom