Ebe
JF-Expert Member
- Apr 18, 2013
- 811
- 972
Hivi Mungu akitutaka woote kuwa dini moja ili twende Mbinguni nini kinamshinda mpaka atumie vitisho? Kwa nini Mungu ameweka hukumu siku ya mwisho? Mungu wa kweli anatishia watu wasimkimbie, kweli? Ukimkimbia anaamuru uuwawe, kweli?Eeee lazima aende huko maana sasa tutafanyaje kizazi hiki hakitaki huruma .
Vipi lakini wewe uko upande gani ? Ili nijue naongea na ndugu yangu au mmoja wa wanaotakiwa kuuliwa .
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Ukiona mtu anakulazimisha dili juwa wewe ndo dili lenyewe shtuka.