Ushuhuda: Nilishinda njaa siku 3, nikaanza kuokota vyakula barabarani, nikashikwa kwa uzururaji

Aisee!!! Yaani unamshauri kusema uongo? Kumbuka, NJIA YA MWONGO NI FUPI!
 
Ulikuwa hujaiona misikiti, au huzijuwi nyumba za Waislam?

Hakuna msikiti au Muislam atakunyima kula, siku nyingine ukisikia njaa, jitose msikitini tu uwaambie Waislam shida yako, utakula mpaka ukitazame macho chakula.

Hivi unaishi Tanzania au wapi?
Bibi yangu ww kila kitu ni uislamu tu[emoji4][emoji4]
 
Nipe link ya huo uzi.....
 
Mbona hizo changamoto zako ni ndogo sana Mkuu? Watu tumepitia magumu mpaka leo tupo na huwa nikikumbuka magumu niliyoyapitia huwa nasema “Nothing is permanent “.
 
Sio kwa waislamu kama ingekuwa vice versa.
Ndio maana pale na Wayahudi watapigana mpaka watakaoisha waishe, sababu wanafanana misimamo.

Mbaya zaidi myahudi anaona hakutekeleza order ya kale akirudi kutoka utumwani kuwa alitakiwa awauwe wote wafilisti(Philistine/palestine) mpaka watoto

Picha linaanza wanamkataa Yesu mpaka leo katika dini yao ya Judaism. Lakini wangekuwa wakristo ndio percent kubwa katika Uyahudi ingekuwa simple tu kuwa haya nyie chukueni hivyo.

Wakristo wangepewe eneo jingine wajenge kanisa wasali, hayo mengine Mungu atasimamia na kuhukumu mwenyewe.
 
Ulikuwa hujaiona misikiti, au huzijuwi nyumba za Waislam?

Hakuna msikiti au Muislam atakunyima kula, siku nyingine ukisikia njaa, jitose msikitini tu uwaambie Waislam shida yako, utakula mpaka ukitazame macho chakula.

Hivi unaishi Tanzania au wapi?
Kuliko kula msikitini bora nife njaa
 
Niligundua kuwa ni chai nilipoona eti nikafunikwa na wingu la Mungu.
 
Umejazwa ujinga na hakuna wakukuondolea hilo isipokuwa ni wewe mwenyewe tu.
Mjinga wa kwanza duniani ni wewe unayetetea hata magaidi wauaji kwa kisingizio cha dini.

Sasa mtu kama wewe nitakulaje chakula chako?

Unaamini asiye muislam ni kafiri si utaniwekea sumu wewe mwanaharamu?
 
Mjinga wa kwanza duniani ni wewe unayetetea hata magaidi wauaji kwa kisingizio cha dini.

Sasa mtu kama wewe nitakulaje chakula chako?

Unaamini asiye muislam ni kafiri si utaniwekea sumu wewe mwanaharamu?
Kw jinsi unavyoandika tu, unaonesha u mjinga wa kutupwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…