Usianike life style yako mtandaoni, binadamu hana tabia ya kusahau, binadamu hasamehi

Athari zake ni kubwa kuliko faida, japo kwa Africa sio kivile. Hata hivyo tusiwapangie life, waishi wanavyojisikia, sisi tunafurahi kuona makalio yakibinuliwa, kuona nyonyo zilizokuwa boosted.

Kwa stress zilivyo, watu wanatafuta namna nyingi sana za kujifurahisha.
 
mleta bandiko ajakataa kula bata wala kuonesha katahadharisha kesho unaweza teteleka ukaomba msaada watu wakatumia picha zako za zamani ukila bata kukunyima msaada

ila 90% watu hupost wakila raha ili hali wana maisha magumu mnooo

nimewahi amka asbh kuna ile hali ukungu na baridi sana (njombe ndani ndani huko) nikajipiga picha nikaandika niko S. Afrika ndo nataka rudi bongo

wale wa ku view status kimya kimya siku iyo waliniulza nimeenda lini na nageuka lini

kwa mfano huo hata nikiomba msaada nimekwama nani atanipa anajua mambo yangu yako vzr
 
watu wanauza taarifa zao bei rahisi wakigeuzwa stori mitaani wanaanza kuita watu wanafiki
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
paragraph ya mwisho inabidi mtu ujifunze watu wanakufatilia sana wanasubiri uwashitueπŸ˜ƒ
 
Maara paa shy land nikapweda na mshangazi mkubwa tu jf ulinipenda sana tatizo ulikuwa umeniacha kama miaka 12. Si mshagazi ukaniomba namba zangu aisee nilikuja kuumbuka kumbe zile namba nilitumia kufungulia akaunt FB NA INST huko jf nimendaganya miaka kuwa nimemzidi miaka 2 mshagaz ulikuwa umenasa ukijua mmi ni mkubwa sana. kuanzia siku umekangua maunyoko yangu insta mapenzi yalikoma kabla hatujaoana. aisee umenikumbusha mbali sana
 
Sasa hapa unajichanganya,

Uhuru ni uhuru kama unaosema ila kuchagua kuna madhara,

Mtoa mada ndio anazungumzia madhara... Wewe unasema acheni watu waish na wajipost hapo hapo unasema mradi hawapost ngono..

Kila product kwenye social media ina consumer wake na wew kama unapenda kujipost ruksa..

Hata mtoa mada kuchagua vya ku post na kuto ku post ni kujinyima uhuru, wacha watu wastarehe kwenye social media

Ni dunia huru na kila mtu anachagua kinachomdhuru kwa kiasi anachoweza kuvumilia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…