Usianike life style yako mtandaoni, binadamu hana tabia ya kusahau, binadamu hasamehi

Usianike life style yako mtandaoni, binadamu hana tabia ya kusahau, binadamu hasamehi

Usimwanike mtoto wako mtandaoni. Usimwanike mwenzi wako mtandaoni.

Usianike mali zako mtandaoni. Usianike bata zako mtandaoni.

Kuna siku utatamani kufuta itakuwa too late wenzako wameshadownload na kushare.

Kuna siku utahitaji msaada post zako mtandaoni zitakuhukumu.

Kuna siku utahitaji kazi , post zako zitakunyima kazi.

Ukiwa mtandaoni wewe kuwa mtazamaji tu, au tumia account ya siri kupost na kukoment vituko na vichekesho.

Siku ulibadili mwelekeo watu hawatakuelewa. Ni nature ya binadamu kuwa hawasahau.

Labda kama mitandao unaitumia kama maisha yako (content creator) ndio uwe halisi nako pia kuwa makini.

Siku moja utahitaji kubadili life style contents zako zitakunyima usingizi.
Hiyo siku ni lini Mkuu, na kwa nn tusiishi leo tuishi kwa kuhofia tusivyoviona. Fear of unknown. Aristote wa Wasafi alisema huna kitu cha kupost acha kusingizia private life
 
Yote hayo kwajili ya kumuogopa nani??

Acheni watu waishi buana, kama anapost maudhui yasiyo ya ngono na hayamkeri mtu kwanini asifanye vile roho yake inapenda..
Kwamba siku akiishiwa hela akitaka umkopeshe utaanza kufukunyua post yake ya mwaka 2022 aliyopost anakula bata?,,

Acheni ushamba , wengi mnajifichia kwenye private life styles ilihali mnajua hamna vya kupost wala kushow off, ungekuwa navyo ungepost
Ni kweli wengine kabati zima lina shati kumi, suruali tano na viatu pair nne. Tunakula wali nyama kwa mpemba na weekend tunashinda ndani. Kwa hiyo tutapost nini zaidi ya kujiaibisha

Ila ni nini dhumuni la kupost maisha yako daily

Kuna mtu tunajua anafanya kazi wapi, anakula nini, ana handgout wapi, tabia za watoto wake, familia nyumbani.. Yani kila kitu kipo whatsap status ama Instagram

Ni nini faida ya kufanya hivi au ukienjoy moments zako bila kufika mtandaoni kuna nini kinapungua?..

Maana ni wachache wanapata pesa kupitia online platforms kama influencers, wengine huwa kuna faida gani wanaipata?..
 
Sasa hapa unajichanganya,

Uhuru ni uhuru kama unaosema ila kuchagua kuna madhara,

Mtoa mada ndio anazungumzia madhara... Wewe unasema acheni watu waish na wajipost hapo hapo unasema mradi hawapost ngono..

Kila product kwenye social media ina consumer wake na wew kama unapenda kujipost ruksa..

Hata mtoa mada kuchagua vya ku post na kuto ku post ni kujinyima uhuru, wacha watu wastarehe kwenye social media

Ni dunia huru na kila mtu anachagua kinachomdhuru kwa kiasi anachoweza kuvumilia
Mimi pia ni mtu wa sirini sana, lakini sioni shida mtu akiamua kujiweka wazi mtandaoni ilihali hapost chochote kibaya.

Na kwanini watu muwaze negatively mda wote, mtu kama sio muhalifu wala mshenzi mshenzi unahofia nini?

Tupe kwanza wewe mfano kwanini ujiweke sirini unaogopa nini, Ili na wengine wajifunze maana wote naona maandika lakini hampo specific ni kitu gani hasa mnakiogopa
 
Ni kweli wengine kabati zima lina shati kumi, suruali tano na viatu pair nne. Tunakula wali nyama kwa mpemba na weekend tunashinda ndani. Kwa hiyo tutapost nini zaidi ya kujiaibisha

Ila ni nini dhumuni la kupost maisha yako daily

Kuna mtu tunajua anafanya kazi wapi, anakula nini, ana handgout wapi, tabia za watoto wake, familia nyumbani.. Yani kila kitu kipo whatsap status ama Instagram

Ni nini faida ya kufanya hivi au ukienjoy moments zako bila kufika mtandaoni kuna nini kinapungua?..

Maana ni wachache wanapata pesa kupitia online platforms kama influencers, wengine huwa kuna faida gani wanaipata?..

Wanawakomesha wanga.
 
Yote hayo kwajili ya kumuogopa nani??

Acheni watu waishi buana, kama anapost maudhui yasiyo ya ngono na hayamkeri mtu kwanini asifanye vile roho yake inapenda..
Kwamba siku akiishiwa hela akitaka umkopeshe utaanza kufukunyua post yake ya mwaka 2022 aliyopost anakula bata?,,

Acheni ushamba , wengi mnajifichia kwenye private life styles ilihali mnajua hamna vya kupost wala kushow off, ungekuwa navyo ungepost
Faida ya kupost ni ipi!? Unapost ili iweje? Mleta uzi kaandika mambo ya msingi sana maana tunaishi Afrika, huku mambo ni tofauti sana.
 
Ni kweli wengine kabati zima lina shati kumi, suruali tano na viatu pair nne. Tunakula wali nyama kwa mpemba na weekend tunashinda ndani. Kwa hiyo tutapost nini zaidi ya kujiaibisha

Ila ni nini dhumuni la kupost maisha yako daily

Kuna mtu tunajua anafanya kazi wapi, anakula nini, ana handgout wapi, tabia za watoto wake, familia nyumbani.. Yani kila kitu kipo whatsap status ama Instagram

Ni nini faida ya kufanya hivi au ukienjoy moments zako bila kufika mtandaoni kuna nini kinapungua?..

Maana ni wachache wanapata pesa kupitia online platforms kama influencers, wengine huwa kuna faida gani wanaipata?..
Watu wanajiskia tu mkuu na ndicho kinachowapa furaha, nadhani hata waliotengeneza hii mitandao hawakulenga tu itumiwe na hao influencers pekeyao,.

Wewe sababu yako ni kwamba unaona unajiaibisha. Tuambiwe baada ya kuona lifestyle nzima ya hao watu wanaojipost daily uliwaza kuwafanya nini kibaya?

Nataka tu tuende kwa mifano iliyo hai, nataka nijui kitu gani exactly chakuogopwa kinachozungumziwa hapa
 
Inategemea na lifestyle yako, binafsi more privacy, more peace na ndio mfumo mzima wa maisha yangu mpaka ndugu huwa wananishangaa.
Yes. Hiyo life style ni nzuri, inakuepusha na mambo mengi. Ukijiweka wazi sana unakaribisha maneno au comments za: Anajidai eti anazo; Anajiona sana, Amejaa dharau, Ni mbahili sana, Hana lolote anajimwambafai bure tuu, Hataki kujichanganya na watu eti ameendelea na maneno meeeengi........
Kumbe ukijikalia kwako privately na familia yako kama ww ni mnywaji waweza bado hata kunywa hapo nyumbani, kumbe ukijipeleka klabu(public) ni rahisi kushawishika kingono, kuzua ugomvi, kujikuta unashabikia umbeya n.k. n.k. au unastukia umeingia kwenye gharama zisizo za lazima e.g. kutoa offers, kumkubalia mtu mkopo, kuingia ktk mipango hovyo au isiyo na tija kwako e.g. betting n.k.
 
Faida ya kupost ni ipi!? Unapost ili iweje? Mleta uzi kaandika mambo ya msingi sana maana tunaishi Afrika, huku mambo ni tofauti sana.
Kila mtu anapost kwa matakwa yake mwenyewe na kujifurahisha mwenyewe .

Em mniweke clear basi ni kitu gani hasa ambacho ni cha kuogopwa ili watu wajifunze ikiwezekana waache, maana naona wote mko na fear of unknown.

Tuanze na wewe, ukishaview whatsap status ya mtu huwa unawaza kumfanya kitu gani kibaya??. Maana watu ndio sisi ambao mnasema inabidi tuogopane
 
mleta bandiko ajakataa kula bata wala kuonesha katahadharisha kesho unaweza teteleka ukaomba msaada watu wakatumia picha zako za zamani ukila bata kukunyima msaada

ila 90% watu hupost wakila raha ili hali wana maisha magumu mnooo

nimewahi amka asbh kuna ile hali ukungu na baridi sana (njombe ndani ndani huko) nikajipiga picha nikaandika niko S. Afrika ndo nataka rudi bongo

wale wa ku view status kimya kimya siku iyo waliniulza nimeenda lini na nageuka lini

kwa mfano huo hata nikiomba msaada nimekwama nani atanipa anajua mambo yangu yako vzr
sasa kila mtu akibaki kusoma, maudhui ya kusoma yatatoka wapi?

na je, watu wanavyokuwa wadanganyifu mitandaoni, ni kwasababu ya mitandao ama asili ya mwanadamu kupenda udanganyifu na kuridhisha wengine?

tuseme umebaki msomaji, suala la taarifa zako kuuzwa na makampuni ya mitandao ili urushiwe matangazo unalitatuaje?

suala la algorithms kubadili fikra zako na mitazamo yako bila wewe kugundua, unalitatuaje?

suala la uraibu wa social media unalitatuaje?

Sio rahisi kama tunavyowaza.

Kama kweli umeamua kujiepusha na mitandao, basi acha kabisa kuitumia, Tofauti na hapo itakudhuru tu!
 
Ukweli anepost anataka watu waone kwa malemgo mbali mbali aidha:
1. Kumlingishia mwenzie, kuna watu wamekua katika kunyamyaswa na familia ndg na jamaa lazima atake kuonesha hatak tena manyanyaso
2. Ku influence watu (mtu kajenga kajumbankazuri au kagari) anaweza post uhamsike nawe ufnaye kama yeye

3. Kuonesha furaha yake dhidi ya kitu alichopata au madhari aliyopo (sharing

Ila sasa asilimia 90% wanaotizama hizo post niamin mm huwa wananuna, wanasonya, wanaharibikiwa kabisa mood.
Kwa kuthibitisha hilo post kitu kizuri kisha sema woow thank you God (utapata likes kiduchu na maoni kiduchu).
Ila post kitu sema Khali yangu tia maji, (onesha una shuda au majuto)

Ase comments na likes hapo zitatiririka balaa...hii inamanisha wazi watu wanapenda kusikia una chamgamoto na sio mafanikio au furaha.


So watu wafurahie tuuuuuu
 
Yes. Hiyo life style ni nzuri, inakuepusha na mambo mengi. Ukijiweka wazi sana unakaribisha maneno au comments za: Anajidai eti anazo; Anajiona sana, Amejaa dharau, Ni mbahili sana, Hana lolote anajimwambafai bure tuu, Hataki kujichanganya na watu eti ameendelea na maneno meeeengi........
Kumbe ukijikalia kwako privately na familia yako kama ww ni mnywaji waweza bado hata kunywa hapo nyumbani, kumbe ukijipeleka klabu(public) ni rahisi kushawishika kingono, kuzua ugomvi, kujikuta unashabikia umbeya n.k. n.k. au unastukia umeingia kwenye gharama zisizo za lazima e.g. kutoa offers, kumkubalia mtu mkopo, kuingia ktk mipango hovyo au isiyo na tija kwako e.g. betting n.k.
Kusocialize ni kuzuri sana ila napo kuwe na mipaka, ukiwa mwepesi sana kuingilika pia nayo ni mbaya watu watakutumia kwa manufaa yao.

Mimi hata nikisemwa kwa namna navyoishi huwa sijali kwa sababu n maisha yangu. Kuyaanika maisha yako ni kipaji ambacho sio kila mtu anacho hasa sisi wanaume.

Kuna mambo nimewahi kusemwa nayo sana lakini kwangu kikubwa ni jambo kufanikiwa iwe kwa uwepo au bila uwepo wa wengine.
 
Ukweli anepost anataka watu waone kwa malemgo mbali mbali aidha:
1. Kumlingishia mwenzie, kuna watu wamekua katika kunyamyaswa na familia ndg na jamaa lazima atake kuonesha hatak tena manyanyaso
2. Ku influence watu (mtu kajenga kajumbankazuri au kagari) anaweza post uhamsike nawe ufnaye kama yeye

3. Kuonesha furaha yake dhidi ya kitu alichopata au madhari aliyopo (sharing

Ila sasa asilimia 90% wanaotizama hizo post niamin mm huwa wananuna, wanasonya, wanaharibikiwa kabisa mood.
Kwa kuthibitisha hilo post kitu kizuri kisha sema woow thank you God (utapata likes kiduchu na maoni kiduchu).
Ila post kitu sema Khali yangu tia maji, (onesha una shuda au majuto)

Ase comments na likes hapo zitatiririka balaa...hii inamanisha wazi watu wanapenda kusikia una chamgamoto na sio mafanikio au furaha.


So watu wafurahie tuuuuuu
Bora wewe umejisemea zako ukweli
 
Nyie ndio wale watu mkifariki, wajukuu zenu hawana hata picha zenu za ukumbusho.

Kwa hiyo wewe huposti kwa vile una ogopa kuja kunyimwa kazi na msaada?

Kwa nini unajijengea mentality ya kupewa msaada?

Hata usipo jiposti sio guarantee ya kwamba ukipata shida utapewa msaada na hao binadamu.

Acha watu wajiposti watakavyo. Ni uhuru wao.

Wewe kama hutaki kujiposti, ni mtazamo wako tu.

Yani hujiposti kisa eti misaada!!

Kwa nini unaishi kutegemea misaada ya binadamu?

Kwa nini unaishi kutegemea uje kusaidiwa?

Enjoy your life to the fullest, document your life, take pictures, have memories.

Acha kuwa na mentality za kishamba na kimaskini.
 
mleta bandiko ajakataa kula bata wala kuonesha katahadharisha kesho unaweza teteleka ukaomba msaada watu wakatumia picha zako za zamani ukila bata kukunyima msaada

ila 90% watu hupost wakila raha ili hali wana maisha magumu mnooo

nimewahi amka asbh kuna ile hali ukungu na baridi sana (njombe ndani ndani huko) nikajipiga picha nikaandika niko S. Afrika ndo nataka rudi bongo

wale wa ku view status kimya kimya siku iyo waliniulza nimeenda lini na nageuka lini

kwa mfano huo hata nikiomba msaada nimekwama nani atanipa anajua mambo yangu yako vzr
😀😂
 
Kusocialize ni kuzuri sana ila napo kuwe na mipaka, ukiwa mwepesi sana kuingilika pia nayo ni mbaya watu watakutumia kwa manufaa yao.

Mimi hata nikisemwa kwa namna navyoishi huwa sijali kwa sababu n maisha yangu. Kuyaanika maisha yako ni kipaji ambacho sio kila mtu anacho hasa sisi wanaume.

Kuna mambo nimewahi kusemwa nayo sana lakini kwangu kikubwa ni jambo kufanikiwa iwe kwa uwepo au bila uwepo wa wengine.
Excellent. Una msimamo wako na unauheshimu huo na huyumbishwi hovyo.
 
Back
Top Bottom