Usichukulie poa, nyumba ni choo

Usichukulie poa, nyumba ni choo

Status
Not open for further replies.
Je wajua kwanini wanaume wanawapenda wanawake waliojaliwa na makalio makubwa ?

Katika majarida mengi umewaona wanaume wakikodolea macho picha za wanawake wenye makalio makubwa iwe ni kim Kardashian, Jenipher Lopez Nicki Minaj na Vera Sidika kutoka Kenya .

Sasa basi Utafiti umedhibitisha kuwa ni kweli wanaume wanapenda wanawake waliojaaliwa sehemu ya nyuma.

Kulingana na utafiti wa chuo kikuu Bilkent , chuo kikuu cha Texas, na chuo kikuu cha American University kilichoko mjini Beirut

Wanaume wanakisia kuwa mwanamke mwenye makalio makubwa anaweza kufanya kazi kwa bidii zaidi ya mwanamke ambaye hana makalio makubwa.

Hata hivyo kinachowavutia wanaume si makalio haswa bali ni kupinda kwa uti wa mgongo unaosababisha tako kuonekana zaidi.

Utafiti huo unasema kuwa upinde wa 45.5 ndio unaovutia wanaume zaidi.

Wanaume walioneshwa picha za makalio ya wanawake wengi na asilimia kubwa iliwapendelea wanawake wenye makalio yaliyopinda kwa kiwango cha 45.5

Aidha zaidi ya asilimia 30% walisema wangalimchukua mwanamke mwenye makalio makubwa zaidi ya yule waliye naye sasa.

Kwa mujibu wa utafiti huo katika miaka ya awali mwanamke aliyeonekana kuwa na makalio makubwa alipendelewa kutokana na uwezo wake wa kubeba mizigo mgongoni.

Isitoshe mwanamke kama huyo aliwavutia wanaume wengi na hivyo kuwa na uwezo wa kuzaa watoto wengi.

Aidha mwanamke mwenye makalio makubwa angeweza kustahili uzito wa mtoto aliyebebwa tumboni na hata kustahilimi makali ya uzazi kuliko wale wenye makalio wastani.View attachment 2090385View attachment 2090386View attachment 2090388
Yesuuuuuh.......,sasa sisi wembamba........sijui tutadondokea kweny mikono ya kina nani!!!!

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Pia ni self defence..
Mtaani kwetu mwanamke bila kalio kubwa hata nyumba ya kupangisha hupati hata ulipe kodi miaka yote uliyobaki nayo hupati ng"o
Aisee jana nimekula coaster na dada mmoja anaonesha ni aged ila ana body amazing sana yani! Yuko late 30’s kama si early 40’s ila ana kashepu yani sio mnene ila ana hips na tako flani la kichokozi height ipo pia.

Ya wastan yani kapiga skin jeans na ka tshirt tight na miwani yake dah af ana urasta hivi kama dread nimemuelewa kichizi ila dah! Njoo vile bana nimempokea Yesu sikuhizi😅
 
Aisee jana nimekula coaster na dada mmoja anaonesha ni aged ila ana body amazing sana yani! Yuko late 30’s kama si early 40’s ila ana kashepu yani sio mnene ila ana hips na tako flani la kichokozi height ipo pia.

Ya wastan yani kapiga skin jeans na ka tshirt tight na miwani yake dah af ana urasta hivi kama dread nimemuelewa kichizi ila dah! Njoo vile bana nimempokea Yesu sikuhizi[emoji28]
Atakua ni huyu
Screenshot_20220117-102955.jpg
 
labda kama sio mpare. [emoji23]View attachment 2090617
Hii dhana imefanya wengi waoe wake wasiowapenda na waneishia kuwasalti tu yaani anakuwa kama kaleta house maid nyumbani,kuwa na tako kwa mwanamke siyo kielelezo cha ubovu wa tabia ya mwanamke,mke niliyeoa mara ya kwanza alikuwa wa kawaida tu flat screen tu,asili ya kaskazini lakini alikuwa na matatizo lukuki,nilikama sms za washikaji mara kadhaa baada ya miaka minne niliona hatutafika tuendako nikasitisha mkataba maana changamoto zilikuwa nyingi kuliko amani na furaha ya ndoa.

Nikapata binti mmoja wa kanda ya ziwa,yule mwanamke amejaariwa maji ya kunde,sura nzuri ya kinyarwanda na umbo moja amazing sana yaani tumbo dogo halafu hapo chini ni 8 ya kuona.
Nilimpenda sana na yeye alinielewa sana,mpaka naandika hapa leo mwaka wa 9 tunaishi kwa amani na upendo utafikiri tumeoana jana,watoto wawili hawajawahi kumpunguzia urembo wake yuko vilevile.
Ana tabia njema kuliko maelezo,sasa nikiona hizi dhana zenu za kwamba "wife material.... naishia kucheka tu.
 
Hii dhana imefanya wengi waoe wake wasiowapenda na waneishia kuwasalti tu yaani anakuwa kama kaleta house maid nyumbani,kuwa na tako kwa mwanamke siyo kielelezo cha ubovu wa tabia ya mwanamke,mke niliyeoa mara ya kwanza alikuwa wa kawaida tu flat screen tu,asili ya kaskazini lakini alikuwa na matatizo lukuki,nilikama sms za washikaji mara kadhaa baada ya miaka minne niliona hatutafika tuendako nikasitisha mkataba maana changamoto zilikuwa nyingi kuliko amani na furaha ya ndoa.

Nikapata binti mmoja wa kanda ya ziwa,yule mwanamke amejaariwa maji ya kunde,sura nzuri ya kinyarwanda na umbo moja amazing sana yaani tumbo dogo halafu hapo chini ni 8 ya kuona.
Nilimpenda sana na yeye alinielewa sana,mpaka naandika hapa leo mwaka wa 9 tunaishi kwa amani na upendo utafikiri tumeoana jana,watoto wawili hawajawahi kumpunguzia urembo wake yuko vilevile.
Ana tabia njema kuliko maelezo,sasa nikiona hizi dhana zenu za kwamba "wife material.... naishia kucheka tu.
Halafu hutu tudada tulionyimwa nyama hua tuna roho mbaya kwelikweli, halafu tunajiskia na tuna nyodo kama nini, halafu vingi vyao ni viselfish.
 
Aisee jana nimekula coaster na dada mmoja anaonesha ni aged ila ana body amazing sana yani! Yuko late 30’s kama si early 40’s ila ana kashepu yani sio mnene ila ana hips na tako flani la kichokozi height ipo pia.

Ya wastan yani kapiga skin jeans na ka tshirt tight na miwani yake dah af ana urasta hivi kama dread nimemuelewa kichizi ila dah! Njoo vile bana nimempokea Yesu sikuhizi😅
🙏🙏.Usimwache YESU kwa vitu vya kupita
 
hivi unakula mara chache chache sio kila mara as ni mishkaki ya hamu tu. So flat inatumika mara chache kutoa hamu tu ila sio muda wote unakula tumishkaki twa mia mia. Ofkoz sio sasa mshkaki mnene km nn ishu ina kilo 90 sijui 100 haipendezi aisee inapoteza radha ya kuila kwa haraka sana.
Legends
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom