Usifanye haya Mambo unapodeal na mwanamke kama hutaki wakupande kichwani, kinyume na hapo mtalia sana Jamaa zangu!!

Mmh kijana una Mambo wewe!yaani unasumbua waheshimiwa sio?
 
Mwanaume huna kazi, huna hela..unapata wapi nguvu za kuwekana? Vijana hili nalo liangalieni, huna kazi wala kipato, huna pesa wala hela...USIDINDE!!
 
Mwanaume huna kazi, huna hela..unapata wapi nguvu za kuwekana? Vijana hili nalo liangalieni, huna kazi wala kipato, huna pesa wala hela...USIDINDE!!
Wakosa kazi na hela ndio wanaongoza kwa kudinda talking with experience...Hadi unajiuliza huyu mtu afya yake ya akili iko vizuri kweli😁?
 
Point...
 
Yaani nadhani Ni vile unakuwa huna mrundikano wa majukumu ndio maana mnakuwa hivyo.
Kwamba mtu karidhika tu na hali yake hivyo hana cha kupoteza? Wengine mfukoni kukiwa empty hata mawazo hayo hupotea kabisa yani.
 
Mamaae njoo inbox chap nikupe zawadi mkuu umemaliza hapo thread yote.
 
Ke hupigwa vizuri tu tena baada ya kichapo hutoa vitumbua kwa Me zao kwa ushirikiano wa 100%

Labda kama nilifukuzwa kwetu , nakupa kichapo hata mie na nakuacha mchana kweupeee! Chapeni wanenu yani unichape wkt nilishachapwa na mzazi wangu unaanzia wapi kwanza! Hata sipati picha
 
We utakuwa mnyanyasaji sana wa wanaume yani tena hasa ukiwa na vichenchi yani namuonea huruma sana jamaa atakayejichanganya [emoji1787][emoji1787][emoji1787] maana una kiburi cha wazi sana.
Halafu inaonekana ni mjuaji sana ndio hawa ambao mabwana zao utaskia kamnasa kibao mpaka anaagiza maji apooze koo kwa Kiranga na mdomo domo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…