Usifanye haya Mambo unapodeal na mwanamke kama hutaki wakupande kichwani, kinyume na hapo mtalia sana Jamaa zangu!!

Usifanye haya Mambo unapodeal na mwanamke kama hutaki wakupande kichwani, kinyume na hapo mtalia sana Jamaa zangu!!

😂😂😂Hiii inanipa Amani sana, hawanisumbui, badala yake wao ndo wanasumbuka kunituliza.

Sasa Kuna watatu hao nafasi zao zakazi nizile zakuchaguliwa , wawili kuchaguliwa na Samia...Mmoja kuchaguliwa na Wananchi.


Ninavyowapelekesha, wanavyoliaaa ,yaan unakuta mtu anapambana sana nitulie naye ,, basi unakuta wananifanyia mambo makubwaaaaa Et mradi nitulie jaman khaaaaa

Namm hata sielewi
Mmh kijana una Mambo wewe!yaani unasumbua waheshimiwa sio?
 
Mwanaume huna kazi, huna hela..unapata wapi nguvu za kuwekana? Vijana hili nalo liangalieni, huna kazi wala kipato, huna pesa wala hela...USIDINDE!!
 
Mwanaume huna kazi, huna hela..unapata wapi nguvu za kuwekana? Vijana hili nalo liangalieni, huna kazi wala kipato, huna pesa wala hela...USIDINDE!!
Wakosa kazi na hela ndio wanaongoza kwa kudinda talking with experience...Hadi unajiuliza huyu mtu afya yake ya akili iko vizuri kweli😁?
 
Umesahau kuwashauri kwamba wahakikishe hawa fall in love.

Wanaume mkipenda vizuri mnakuwa mazoba na nikuhakikishie palipo kupenda kweli hayo yote uliyowashauri hayafanyi kazi.

Mkifinyiwa kwa ndani mara mbili tatu mnasahau kanuni zote halafu kanuni za mwanamke ndio zinaingia kazini.
Point...
 
Yaani nadhani Ni vile unakuwa huna mrundikano wa majukumu ndio maana mnakuwa hivyo.
Kwamba mtu karidhika tu na hali yake hivyo hana cha kupoteza? Wengine mfukoni kukiwa empty hata mawazo hayo hupotea kabisa yani.
 
Umesahau kuwashauri kwamba wahakikishe hawa fall in love.

Wanaume mkipenda vizuri mnakuwa mazoba na nikuhakikishie palipo kupenda kweli hayo yote uliyowashauri hayafanyi kazi.

Mkifinyiwa kwa ndani mara mbili tatu mnasahau kanuni zote halafu kanuni za mwanamke ndio zinaingia kazini.
Mamaae njoo inbox chap nikupe zawadi mkuu umemaliza hapo thread yote.
 
We utakuwa mnyanyasaji sana wa wanaume yani tena hasa ukiwa na vichenchi yani namuonea huruma sana jamaa atakayejichanganya [emoji1787][emoji1787][emoji1787] maana una kiburi cha wazi sana.
Halafu inaonekana ni mjuaji sana ndio hawa ambao mabwana zao utaskia kamnasa kibao mpaka anaagiza maji apooze koo kwa Kiranga na mdomo domo
 
Back
Top Bottom