Usifanye hili kosa unaposalitiwa na Mkeo/Mwanamke wako

Usifanye hili kosa unaposalitiwa na Mkeo/Mwanamke wako

Tunahimizana kutafuta hela ili ikitokea mwanamke kakusaliti basi kila mtu ashike hamsini zake bila wewe kua mlevi mbwa....

Mwanamke akikusaliti hamna solution zaidi ya kuachana nae..

Yeyote atakayesamehe basi ameamua kuuza furaha yake sababu ya ndoa na adhabu yake ni kufa mapema na kuishi maisha ya mateso
Sio mwanamke tu, mimi me akinisaliti na nikawa na evidence nakuacha. Ile picha huwa haiishi kichwani.
 
Nilizikuta sms za mapendo kwenye simu ya yfull ,nikaamuuliza nini hii? Akaanza kujikanyagakanyaga ,nikasema isiwe shida,Nikamwambia kuanzia leo hii mpaka milele sitokula tunda kavukavu nitakuwa navaa condom watoto wawili tulionao wanatutosha,na Kama hata hawa watoto sio wangu wapeleke kwa huyo baba yao.
Nilianza kuvaa condom , baada ya mwezi mmoja tu akaenda kwao mwaka wa tatu sasa,kazalishwa huko namimi nimeoa mke mwingine.
 
Nilizikuta sms za mapendo kwenye simu ya yfull ,nikaamuuliza nini hii? Akaanza kujikanyagakanyaga ,nikasema isiwe shida,Nikamwambia kuanzia leo hii mpaka milele sitokula tunda kavukavu nitakuwa navaa condom watoto wawili tulionao wanatutosha,na Kama hata hawa watoto sio wangu wapeleke kwa huyo baba yao.
Nilianza kuvaa condom , baada ya mwezi mmoja tu akaenda kwao mwaka wa tatu sasa,kazalishwa huko namimi nimeoa mke mwingine.
Wewe kweli pilato
 
Nilizikuta sms za mapendo kwenye simu ya yfull ,nikaamuuliza nini hii? Akaanza kujikanyagakanyaga ,nikasema isiwe shida,Nikamwambia kuanzia leo hii mpaka milele sitokula tunda kavukavu nitakuwa navaa condom watoto wawili tulionao wanatutosha,na Kama hata hawa watoto sio wangu wapeleke kwa huyo baba yao.
Nilianza kuvaa condom , baada ya mwezi mmoja tu akaenda kwao mwaka wa tatu sasa,kazalishwa huko namimi nimeoa mke mwingine.
Hongera sana Mkuu, Maamuzi ya aina hii, humuacha Mwanaume salama salimini bila hata Moyo kuuma.


Bila shaka huko aliko anajuta.

Maana ni wazi ,atakua alizalishwa na hajaolewa Tena
 
Tofauti nasie Me, Mwanamke anaposaliti kuchepuka ,ameamua kufanya hivo Kihisia, na hii inamaana Akili yake yote inakua imeshajikubali na ipo tayari kwa lolote.

Sasa Basi, Unapotokea umegundua Mkeo, mwanamke wako Kakusaliti, ama umefuma Namba za huyo jamaa na meseji. Ama ni taarifa tu unazopewa nakweli zina uhakika 100%.

[emoji117]USITHUBUTU KUMTAFUTA HUYO JAMAA IWE KWA KUMPIGIA SIMU ,IWE KWA MESEJI, IWE KWA KUMTAFUTA LAIVU ET MUONGEE, VITISHO N.K

[emoji117]USITHUBUTU KUMGOMBEZA MKEO KWA MANENO KAMAA
---kwahiyo uyo jamaa ni bora kama mimi
---Nakulishaa, nakuvishaaa, unaniona boyaa
----unakoswa nn kwangu
----Nakutunza mpaka ndugu zakoo
---Unaniona mie mnyongee

(Broo hayo yote anayajua ,lkn bado aliamua kuchepuka).

alafu wakati huoo huoo, mkeo au mwanamke wako ukaamua kumpa adhab ndogooooooooo ...

Nakuambia, Atakupa K. Utapiga, utasahau, siku mbili zijazo atampelekea muhuni K na ataipiga kama kawa.

Unajua kwann??? Kwa sababu kitendo chako kumtafuta yule Jama..

kwanza kitamfanya Mwanamke awe na huruma sana ,nakujiona yeye ndo kamuingiza Muhun matatizoni ivo lazima ampe Pole kwa kumpa papuchi.

Pili, kwa kumpa adhabu ndogoo,kutamuaminisha kua Huwezi kumuacha !!.

Ufanye nini sasa???.

2-[emoji117]Kama wee ni Don , pambana na anayekugongea mkeo kimya kimyaa. Yaan kimya kimya kama hii michezo ya kinondon, ukimya ambao Utamfanya Jamaa amuogope kama ukoma mkeo. Wakati huohuo nawee unakua sehem salama kisheria...hiii 50-50 , kama mkeo ndio hulika yake, basi akiona jamaa anamkwepa, akitongozwa na mwingine basi ataendelea kupigwa

1-[emoji117]MTESE KIAKILI KIKWELIKWELI MKEO , hapa usimuonee huruma wala nn. Hakikisha unamtesa akili kweli kweli kwanza mfanye ajue umegundua anakusaliti yaan HAKIKISHA AMEJUA KUA UMEJUA KUA ANAKUCHEAT ,Kisha anza kumpa mateso ya akili , kama kulia alie mwezi mzima, hamna kumsemesha ndan wala nn, hamna kula chakula chake, hamna kumshirikisha lolote. Hamna chochote, badili ratiba zako za kuja home nakurudi , kua bize usiku nasimu nakuongeaaa, jifulie , au beba nguo kwa begi peleka kwa dobi zifuliwe jion uje nazo zimeshanyooshwa, usimguse wala kumuomba K, ikiwezekana lala chumba kingine , Wakati huohuo fanya mabadiliko yaan kama kupendeza zidisha kupendeza, ukiondoka acha Ela yake yakula mezani. Kikubwa hakikisha humpi sababu ya kukusemesha....ikiwezekana mrudishe kwao kwanza lkn usimsemee kwa nduguze au nduguzo kwasababu lengo ni kumfunza ila bado unamuhitaji.

Mwezi tu ,utaona Majibu.

Hio ni kwa wale ambao hamuwez kumuacha Mke kisa Unampenda mara umemtolea mahari.

Kwa wenzangu namm, makauzu, ambao tunajiamin, ambao tunauhakika wa kua na mwanamke na kuanzisha mahusiano mapya na familia mpya.... MWANAMKE MSALITI USIMPE NAFASI YA PILI WALA MSAMAHA , YEYE NI MOJA KWA MOJA KUMBEBESHA KILICHO CHAKE, CHENYE JASHO LAKE, ASEPE ZAKE !!

utajiepusha na Kufa mapema, ieleweke kua, Mwanamke anapoanza kukusaliti wewe Mume wake, ujue muda wowote Kufa kwako kupo njian nakupo kwenye mawazo yake, Kama hakupo basi anawaza namna ya kukupumbaza ili mradi kwako aendelee kupata mahitaji na Jina la heshima kua "Mke wa Fulani" lkn kiroho Hayupooooooooooo

Ieleweke pia, Mke anachepuka, lkn hawanaga uhakika kua huko anapochepukia, ikitokea umemuacha ,Ataolewa au haolewi??? Wanajua kabisa.

[emoji117][emoji117]BAHATI MBAYA SANA NI KWAMBA, UKIONA MKEO ANACHEPUKA, UJUE NAWEWE ULISHACHEPUKAAAAA KITAMBO NA WENDA UNAENDELEA KUCHEPUKA.

[emoji117][emoji117][emoji117]NAKAMA WEE HUCHEPUKI. BASI TAMBUA KUA, KUNA MAISHA YA MATESO UNAYEMPA MKEO .

[emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]KAMA NAHAPO HAUPO, BASI UJUE, ULIKOSEA KUCHAGUA, NAKWAMBA UMEOA MWANAMKE AMBAYE ,KUCHEPUKA NDIO HULIKA YAKE YAAAAN UMEOA MKE WA WATU[emoji1]
kupambana na mwanaume mwenzako kisa kamla mkeo ni u-kuku na u-juha labda awe kabakwa au mwanaume awe mtu wako au mnayefahamiana vizuri na anajua vizuri mahusiano yenu napo sitachukua action kuubwa sababu inawezekana mwanamke mwenyewe kataka awekwe...Mwanaume kutongoza ni asili yake mwanamke kukubali au kukataa ni hiyari, Wanawake ni wengi sana na wa mivuto mbalimbali akizingua unatoa unaendelea kupata mibususu mingine.
 
Tofauti nasie Me, Mwanamke anaposaliti kuchepuka ,ameamua kufanya hivo Kihisia, na hii inamaana Akili yake yote inakua imeshajikubali na ipo tayari kwa lolote.

Sasa Basi, Unapotokea umegundua Mkeo, mwanamke wako Kakusaliti, ama umefuma Namba za huyo jamaa na meseji. Ama ni taarifa tu unazopewa nakweli zina uhakika 100%.

[emoji117]USITHUBUTU KUMTAFUTA HUYO JAMAA IWE KWA KUMPIGIA SIMU ,IWE KWA MESEJI, IWE KWA KUMTAFUTA LAIVU ET MUONGEE, VITISHO N.K

[emoji117]USITHUBUTU KUMGOMBEZA MKEO KWA MANENO KAMAA
---kwahiyo uyo jamaa ni bora kama mimi
---Nakulishaa, nakuvishaaa, unaniona boyaa
----unakoswa nn kwangu
----Nakutunza mpaka ndugu zakoo
---Unaniona mie mnyongee

(Broo hayo yote anayajua ,lkn bado aliamua kuchepuka).

alafu wakati huoo huoo, mkeo au mwanamke wako ukaamua kumpa adhab ndogooooooooo ...

Nakuambia, Atakupa K. Utapiga, utasahau, siku mbili zijazo atampelekea muhuni K na ataipiga kama kawa.

Unajua kwann??? Kwa sababu kitendo chako kumtafuta yule Jama..

kwanza kitamfanya Mwanamke awe na huruma sana ,nakujiona yeye ndo kamuingiza Muhun matatizoni ivo lazima ampe Pole kwa kumpa papuchi.

Pili, kwa kumpa adhabu ndogoo,kutamuaminisha kua Huwezi kumuacha !!.

Ufanye nini sasa???.

2-[emoji117]Kama wee ni Don , pambana na anayekugongea mkeo kimya kimyaa. Yaan kimya kimya kama hii michezo ya kinondon, ukimya ambao Utamfanya Jamaa amuogope kama ukoma mkeo. Wakati huohuo nawee unakua sehem salama kisheria...hiii 50-50 , kama mkeo ndio hulika yake, basi akiona jamaa anamkwepa, akitongozwa na mwingine basi ataendelea kupigwa

1-[emoji117]MTESE KIAKILI KIKWELIKWELI MKEO , hapa usimuonee huruma wala nn. Hakikisha unamtesa akili kweli kweli kwanza mfanye ajue umegundua anakusaliti yaan HAKIKISHA AMEJUA KUA UMEJUA KUA ANAKUCHEAT ,Kisha anza kumpa mateso ya akili , kama kulia alie mwezi mzima, hamna kumsemesha ndan wala nn, hamna kula chakula chake, hamna kumshirikisha lolote. Hamna chochote, badili ratiba zako za kuja home nakurudi , kua bize usiku nasimu nakuongeaaa, jifulie , au beba nguo kwa begi peleka kwa dobi zifuliwe jion uje nazo zimeshanyooshwa, usimguse wala kumuomba K, ikiwezekana lala chumba kingine , Wakati huohuo fanya mabadiliko yaan kama kupendeza zidisha kupendeza, ukiondoka acha Ela yake yakula mezani. Kikubwa hakikisha humpi sababu ya kukusemesha....ikiwezekana mrudishe kwao kwanza lkn usimsemee kwa nduguze au nduguzo kwasababu lengo ni kumfunza ila bado unamuhitaji.

Mwezi tu ,utaona Majibu.

Hio ni kwa wale ambao hamuwez kumuacha Mke kisa Unampenda mara umemtolea mahari.

Kwa wenzangu namm, makauzu, ambao tunajiamin, ambao tunauhakika wa kua na mwanamke na kuanzisha mahusiano mapya na familia mpya.... MWANAMKE MSALITI USIMPE NAFASI YA PILI WALA MSAMAHA , YEYE NI MOJA KWA MOJA KUMBEBESHA KILICHO CHAKE, CHENYE JASHO LAKE, ASEPE ZAKE !!

utajiepusha na Kufa mapema, ieleweke kua, Mwanamke anapoanza kukusaliti wewe Mume wake, ujue muda wowote Kufa kwako kupo njian nakupo kwenye mawazo yake, Kama hakupo basi anawaza namna ya kukupumbaza ili mradi kwako aendelee kupata mahitaji na Jina la heshima kua "Mke wa Fulani" lkn kiroho Hayupooooooooooo

Ieleweke pia, Mke anachepuka, lkn hawanaga uhakika kua huko anapochepukia, ikitokea umemuacha ,Ataolewa au haolewi??? Wanajua kabisa.

[emoji117][emoji117]BAHATI MBAYA SANA NI KWAMBA, UKIONA MKEO ANACHEPUKA, UJUE NAWEWE ULISHACHEPUKAAAAA KITAMBO NA WENDA UNAENDELEA KUCHEPUKA.

[emoji117][emoji117][emoji117]NAKAMA WEE HUCHEPUKI. BASI TAMBUA KUA, KUNA MAISHA YA MATESO UNAYEMPA MKEO .

[emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]KAMA NAHAPO HAUPO, BASI UJUE, ULIKOSEA KUCHAGUA, NAKWAMBA UMEOA MWANAMKE AMBAYE ,KUCHEPUKA NDIO HULIKA YAKE YAAAAN UMEOA MKE WA WATU[emoji1]
Mwanamke mchepukaji Ni wa hovyo Sana kudadeki!
Huwa najiuliza Hawa wanawake walio kwenye ndoa ujasiri wa kuchepuka huwaga wanaupata wapi jamani🤔
 
Eti jamani!
kupambana na mwanaume mwenzako kisa kamla mkeo ni u-kuku na u-juha labda awe kabakwa au mwanaume awe mtu wako au mnayefahamiana vizuri na anajua vizuri mahusiano yenu napo sitachukua action kuubwa sababu inawezekana mwanamke mwenyewe kataka awekwe...Mwanaume kutongoza ni asili yake mwanamke kukubali au kukataa ni hiyari, Wanawake ni wengi sana na wa mivuto mbalimbali akizingua unatoa unaendelea kupata mibususu mingine.
 
Nani kakudanganya eti wanaume Ni wengi kuliko wanawake?

Mungu alikusudia kuwaumba wanawake Ili sisi wanaume tuwe na Uhuru wa kuchagua.
Si umeona na mimi huwa nataka mwanaume ambae yupo straight sipendi drama drama kuna mambo mengi ya kufanya mahusiano ni part tu ya maisha
Ukinifuma na nikaomba msamaha usiweze kunisamehe nifukuze
Sio sijui unahama chumba,sijui huli chakula etc ni utoto na ujinga kwangu
Na incase huniachi ukanipa mateso ya kisaikolojia kitakacho kupata mbeleni tusilaumiane.
Wanaume nyie ni weak kuliko sisi ndio maana hamuwezi kuvumilia mkijua tumechepuka tofauti na sisi.Mtu kama mimi adhabu kuu unayo weza kunipa ni kuniacha ila usilete drama hatutoishia pazuri
 
kupambana na mwanaume mwenzako kisa kamla mkeo ni u-kuku na u-juha labda awe kabakwa au mwanaume awe mtu wako au mnayefahamiana vizuri na anajua vizuri mahusiano yenu napo sitachukua action kuubwa sababu inawezekana mwanamke mwenyewe kataka awekwe...Mwanaume kutongoza ni asili yake mwanamke kukubali au kukataa ni hiyari, Wanawake ni wengi sana na wa mivuto mbalimbali akizingua unatoa unaendelea kupata mibususu mingine.
Hii ndio akili. Mbususu zimejaa mtaani wee ni hela yako tuu
 
Hongera sana Mkuu, Maamuzi ya aina hii, humuacha Mwanaume salama salimini bila hata Moyo kuuma.


Bila shaka huko aliko anajuta.

Maana ni wazi ,atakua alizalishwa na hajaolewa Tena
Ni wapumbavu Sana udanganywa na kuharibu ndoa zao then wakishaachika na majamaa nao ukatika ukosa mume na michepuko,then uishia kuyumba kimaisha wanakuja jitambua wakiwa hawana mbele wala nyuma mda ushaenda.
 
Back
Top Bottom