Usifanye hili kosa unaposalitiwa na Mkeo/Mwanamke wako

Usifanye hili kosa unaposalitiwa na Mkeo/Mwanamke wako

Aisee!.
Huu uzi ndio nauona leo, Nimeusoma wote. Kumbe kuna mengi yalinipita.
Nimepata cha kujifunza.
 
@Maya Angelou unanipa burudani sana. Unajijua vyema.. na uzuri upungufu wako umeung'amua pia. Kudos.

Sema go getter as you call yourselfs ni aina ngumu sana kwenda nayo.. often other people's wellbeing/emotions/feelings don't count to you! Ambayo inakuwa ni entitlement.

Unakuwa mtu unayekubali kosa, ila haukubali consequences... Au ukizikubali unazitaka ziwe administered kwa namna inayofaa au unayotaka wewe.. 🙂 that's bold.

Ndoa furaha na amani yako iko kwa mwenzi wako.. unaanzaje kulala au kula kwa furaha wakati mwenzako hayuko na raha wala furaha!?

Nadharia ya mwili mmoja ina maana sana.. huwezi ukawa na raha wakati mkono umevunjika .. ukasema kwakuwa mdomo haujavunjika wacha nile raha.. au ukae useme huu mkono lazima upone sasa hivi la sivyo ukatwe..kama tiba inachukua muda mrefu.. 🙂 unanipata lakini!? 🙂

Anyways kudos nakutakia burdani jioni ya leo..

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app

Haha ni kweli I agree umejitahidi kunichambua
Am a bit complicated nakiri sio kila mtu anaweza kuwa comfortable na mambo yangu,lakini ukinijulia huwezi kupata shida na mimi tena
Anyway najitahidi kuwa considerate kwa mwenza wangu na huwa nampa room ya kunikumbusha mara kwa mara
 
Haha ni kweli I agree umejitahidi kunichambua
Am a bit complicated nakiri sio kila mtu anaweza kuwa comfortable na mambo yangu,lakini ukinijulia huwezi kupata shida na mimi tena
Anyway najitahidi kuwa considerate kwa mwenza wangu na huwa nampa room ya kunikumbusha mara kwa mara
Ninawaombea Mama.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Si umeona na mimi huwa nataka mwanaume ambae yupo straight sipendi drama drama kuna mambo mengi ya kufanya mahusiano ni part tu ya maisha
Ukinifuma na nikaomba msamaha usiweze kunisamehe nifukuze
Sio sijui unahama chumba,sijui huli chakula etc ni utoto na ujinga kwangu
Na incase huniachi ukanipa mateso ya kisaikolojia kitakacho kupata mbeleni tusilaumiane.
Wanaume nyie ni weak kuliko sisi ndio maana hamuwezi kuvumilia mkijua tumechepuka tofauti na sisi.Mtu kama mimi adhabu kuu unayo weza kunipa ni kuniacha ila usilete drama hatutoishia pazuri
Iv mnapata wap nguvu za kudiscus kishujaa iv na wanaume???
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]umeandika kwa hisia sana

Sijawahi kuwa na wanaume design hio
Mimi mwenyewe najijua huwa natafuta mwanaume mtata kidogo hao wepesi nitawaonea bureee
Sasa katika nyie watata mna hitaji kuwa na akili timamu sio mambo ya drama
Tukishindwana tuachane usiniletee michezo michezo ya kuniumiza nakuhakikishia utaumia mwenyewe
Mbususu ikipigwa vizuri sizani ata hzo nguvu kma utakua nazo , mwanamke asipotombwa vizuri mara nyingi anakua na mitizamo ya kiume.
 
Hapana Surya wewe ni malaika mtakatifu una uwezo wa kuhesabia madhambi ya watu huku wewe ukiwa mweupe kama theluji [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Rafiki tuombee sisi wadhambi tufike huko ulipo[emoji1374][emoji1374][emoji1374]
Mimi ndio malaika naona kabsa haujawah kukojoa ndo maana unakua na maamuzi ya kibabe
 
Mbususu ikipigwa vizuri sizani ata hzo nguvu kma utakua nazo , mwanamke asipotombwa vizuri mara nyingi anakua na mitizamo ya kiume.
sasa mbususu unaitombaje vizuri? ebu ainisha hapa baadhi ya actions zinazohitajika ili mbususu itombwe vizuri na sie vibamia tujifunze maana tunanyanyasika sana
 
Gazeti refu kinoma. Mwanamke akichepuka inaumiza sana mwanaume kuliko mwanamme akichepuka. Kwa jinsi hiyo wanaume ndo wahanga wakupwa sana na maswala ya usaliti. The only way wanaume tusiwe wanyonge ukithinitisha amechepuka nenda pole pole tumia busara kuliko nguvu.
 
Napigaje ivimbe wakati naishia kwenye mapaja tuu
Tafuta wa saiz yako mkuu hiz mbususu kila mtu nature imemtengenezea ya kimo chake achna na wenye mitako kama unajijua, mlima ukiwa mkubwa pia Huwa na mteremko mkali.
 
Si umeona na mimi huwa nataka mwanaume ambae yupo straight sipendi drama drama kuna mambo mengi ya kufanya mahusiano ni part tu ya maisha
Ukinifuma na nikaomba msamaha usiweze kunisamehe nifukuze
Sio sijui unahama chumba,sijui huli chakula etc ni utoto na ujinga kwangu
Na incase huniachi ukanipa mateso ya kisaikolojia kitakacho kupata mbeleni tusilaumiane.
Wanaume nyie ni weak kuliko sisi ndio maana hamuwezi kuvumilia mkijua tumechepuka tofauti na sisi.Mtu kama mimi adhabu kuu unayo weza kunipa ni kuniacha ila usilete drama hatutoishia pazuri

Dada una vitisho wewe khaaa [emoji15]
 
Nakwambia labda huyo mwanaume awe mjinga , Mimi nakufukuza kabisa watoto wangu utaacha ukitaka zaidi nakupasua ubongo full stop.
Yaaani Mimi mwenyewe lazima nikutumue

Kwanza picha linaanza siku ya kwanza tu lazima nikanunue Malaya Kisha nakuja nae home nalala nae humo humo halafu kesho nakutumia mbele yake urudi kwenu ,

Aahh mamaee siwezi kuvumilia huo ujinga eti mke kaliwa na unajua kuwa kaliwa na Fulani then still Bado umaendelea kuwa nae huo udhaifu wa kipumbavu uniepuke
 
Sijaoa.

Uzoefu ninao kupitia maisha yangu binafsi.

Kupitia maisha ya watu wangu wa karibu.


Anyway ...Kuna Jama angu ni Muhandisi wa barabara saizi yupo chin ya TARURA .

Wiki iliopita nmemtembelea wilayani kwake, nikamkuta ana msala huoo wakugonga mke wamtu na mwenye Mke akawa anamtafuta na kumtisha, mara anamwambia nitakuharibia kazi, sijui nikakupeleka kwa DAS mara ninii.... Mpa kipigo mkewe.

Jamaa akaniambia nimshauri, nilimwambia usimtafute huyo demu, akipiga usipokee simu zake, .


Leo ananitumia meseji...MKE wa mtu kawahi saa 12 nyumban kwake asubuh hii ,kumuuliza mbona hapokei simu.,analia machozi, nakuomba msamahaa
. Labda mpaka sasa jamaa keshapigia bao tano.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom