Usimuonee huruma Mwanamke

Usimuonee huruma Mwanamke

Acha mambo ya dini, huyajui na huyaamini...

Upendo na huruma ni vitu ambavyo haviwezi kutenganishwa kamwe...nimekupa mfano,ila kwa kuwa kuwa uko biased/twisted umeamua kuupindisha to suit your purpose...

Show/fafanua mwanamke au mtu apendae huruma ni mbaya?!

Again, onyesha mtu mwenye huruma hatendi haki..labda naweza kukupanua...

Eti mwanamke anastahili upendo sio huruma, how umpende mtu usimuonee huruma? how?


Eti wa kizazi cha sasa ni washenzi tu, hao wa kizazi kilichopita...walikuwa wired differently?
Robert hujanijibu hapo nilipo bold...
 
Naona mtanange unaenda vizuri kabisa pale....
Sisi mashabiki tunapata burudani kabambe kabisa hapa....huku tukiijua timu yetu[emoji16]
Good kama une enjoy mkuu...kila mtu na team yake...ndio game yenyewe hio..lol...
 
Pole we, sisi ni product ya kizazi cha nyuma, kama walifuata maadili imekuwaje hawakutufundisha hayo Maadili??????..

Wanawake wachache ndio wana sifa ya kuitwa wanawake??????..ishu hapa ni kuwa mwanamke ana sifa ya kuwa mwanamke..au ishu ni mwanamke yeyote hafai kuonewa huruma????

Eti wake wa sasa ni waovu, uovu ulikuwepo tangia dunia inaumbwa!!, hakuna jipya ndani ya jua....uko soo confused na mambo mengi..mpaka unachosha!

Nipo confused na watu wa Aina yako ambao kimsingi ni watu waliokata tamaa.
 
Labda sentensi hii fupi tuiweke kwa lugha ya malkia, huenda labda ikapunguza mkanganyiko.

Bado naendelea kujifunza kupitia huu mjadala

Ogopa matapeli, ogopa mtu anayependa umuonee huruma, maneno yangu nimeyathibitisha pasipo Shaka yoyote.

Achana na hao wanawake wengi waliokata tamaa na kuharibiwa akili zao,
Ukitaka kuthibitisha nikisemacho, basi waonee huruma kisha baada ya muda utakuja kunipa mrejesho hapa
 
Nipo confused na watu wa Aina yako ambao kimsingi ni watu waliokata tamaa.

Nikate tamaa na nini????, unachekesha kweli wewe...uko confused, na uwepo wa Mungu, uko Confused hujui au hujawahi kuexperience Upendo, Uko confused unadhani kwa kukosa kwako Upendo means dunia ndivyo ilivyo, uko Confused, kwa kudhani wanawake ni makatili, washenzi...now, prove nimekata tamaa?!
 
Ogopa matapeli, ogopa mtu anayependa umuonee huruma, maneno yangu nimeyathibitisha pasipo Shaka yoyote.

Achana na hao wanawake wengi waliokata tamaa na kuharibiwa akili zao,
Ukitaka kuthibitisha nikisemacho, basi waonee huruma kisha baada ya muda utakuja kunipa mrejesho hapa

How umethibitisha maneno yako pasipo shaka yoyote??, kwa sababu kusema kwako wanawake ni washenzi, wabinafsi, hakuwafanyi hao wanawake ni washenzi na wabinafsi...wasiofaa kuonewa huruma...

Wewe usipojirekebisha, utabaki single for the rest of your life ama uwe na miserable marriage kisha uendelee kumwaga sumu humu, kwamba sisi ni washenzi...
 
Nikate tamaa na nini????, unachekesha kweli wewe...uko confused, na uwepo wa Mungu, uko Confused hujui au hujawahi kuexperience Upendo, Uko confused unadhani kwa kukosa kwako Upendo means dunia ndivyo ilivyo, uko Confused, kwa kudhani wanawake ni makatili, washenzi...now, prove nimekata tamaa?!

Wewe sidhani hata huyo Mungu unayemtaja Kama unamjua, ungekuwa unamfahamu walau kidogo ungeelewa nini nasema, lakini Kwa vile unafikiri Kwa hisia badala ya akili sio ajabu kuwa hivyo.

Hakuna sehemu nimesema Wanawake ni makatili,

Ninyi mnapaswa kupendwa tuu na sio kuonewa Huruma,

Soma: Kifomula; Roho ya Mungu humshukia Mwanaume wakati Roho za kishetani humshukia Mwanamke. (Siri kuu)
 
How umethibitisha maneno yako pasipo shaka yoyote??, kwa sababu kusema kwako wanawake ni washenzi, wabinafsi, hakuwafanyi hao wanawake ni washenzi na wabinafsi...wasiofaa kuonewa huruma...

Wewe usipojirekebisha, utabaki single for the rest of your life ama uwe na miserable marriage kisha uendelee kumwaga sumu humu, kwamba sisi ni washenzi...


😀😀😀😀

Wapo wanawake wenye akili, wacha Mungu, wanaojua wao ni wanawake, Wake wema,

Sio hizi sandarusi zinazotaka Haki Sawa, zisizo mcha Mungu kazi kukalia ushetani,

Kimsingi, ni Kheri mwanaume akae Single kuliko kuishi au kuoa sandarusi. Hayo manabii wa zamani walishasemaga,

Hivo vikampeni vyenu vya kipuuzi vitaharibu kizazi cha wapuuzi lakini familia makini zitabaki Imara hata Kama zitakuwa chache.
 
Wewe sidhani hata huyo Mungu unayemtaja Kama unamjua, ungekuwa unamfahamu walau kidogo ungeelewa nini nasema, lakini Kwa vile unafikiri Kwa hisia badala ya akili sio ajabu kuwa hivyo.

Hakuna sehemu nimesema Wanawake ni makatili,

Ninyi mnapaswa kupendwa tuu na sio kuonewa Huruma,

Soma: Kifomula; Roho ya Mungu humshukia Mwanaume wakati Roho za kishetani humshukia Mwanamke. (Siri kuu)

Mungu humjui, na huamini katika Mungu, so story za Mungu acha....

Unarudia tu hio sentesi, Wanawake wanapaswa kupendwa na sio kuonewa huruma, ukiulizwa How hujibu..Mkuu tunataka kukusaidia hapa...hii sentesi umeirudia saana, it means ni sentensi iko ndani ya kichwa/mind yako.. iko meaningful to you, so elezea unamaanisha nini tukuelewe, utampendaje mwanamke usimuonee huruma...(ukinijibu hii posti usilikwepe hili swali please..),

Labda nimeconfuse na yule mpuuzi mwingine, aliyesema sisi ni makatili lakini sio wewe uliyesema sisi ni washenzi????? ulimaanisha nini sisi ni washenzi nikuelewe...?
 
😀😀😀😀

Wapo wanawake wenye akili, wacha Mungu, wanaojua wao ni wanawake, Wake wema,

Sio hizi sandarusi zinazotaka Haki Sawa, zisizo mcha Mungu kazi kukalia ushetani,

Kimsingi, ni Kheri mwanaume akae Single kuliko kuishi au kuoa sandarusi. Hayo manabii wa zamani walishasemaga,

Hivo vikampeni vyenu vya kipuuzi vitaharibu kizazi cha wapuuzi lakini familia makini zitabaki Imara hata Kama zitakuwa chache.

Hujaprove nimekata tamaa...Nimegundua vitu vingi unanikwepa Robert...

Kampeni sipigi mimi, nataka kubadilisha mind set yako, ku decode confusion yako....

Eti kukalia ushetani, wewe unayehubiri watu wasioneane huruma nani shetani??????? unasema kabisa kuoneana huruma sio haki ya mwanaume wala mwanamke..halafu unajifanya kumcha Mungu this, kumcha Mungu that...stop that!

Siko hapa kuharibu kizazi cha mtu yeyote, stop writing nonsense, sana sana wewe ndio upo kuharibu ndoa,mahusiano ya watu kwa kumwaga 'sumu' zako!
 
Mungu humjui, na huamini katika Mungu, so story za Mungu acha....

Unarudia tu hio sentesi, Wanawake wanapaswa kupendwa na sio kuonewa huruma, ukiulizwa How hujibu..Mkuu tunataka kukusaidia hapa...hii sentesi umeirudia saana, it means ni sentensi iko ndani ya kichwa/mind yako.. iko meaningful to you, so elezea unamaanisha nini tukuelewe, utampendaje mwanamke usimuonee huruma...(ukinijibu hii posti usilikwepe hili swali please..),

Labda nimeconfuse na yule mpuuzi mwingine, aliyesema sisi ni makatili lakini sio wewe uliyesema sisi ni washenzi????? ulimaanisha nini sisi ni washenzi nikuelewe...?

😀😀

Wewe kuna mambo huyaelewi unaendekeza zaidi hisia,
Kwanza ungeanza na Maana ya "huruma" kisha uje maana ya "upendo"
Alafu uje usome nilichoandika,

Au nikusaidie kukuelezea maana ya maneno hayo kisha nikuelezee mantiki ya huruma na Uzi huu??

Ukiendekeza Mihemko yako ya kujinga utaendelea kubaki na ujinga wako.

Nimesema pia hata Kwa binadamu hasa wa Zama hizi usimuonee huruma,
Niliwahi andika pia "usimsaidie masikini, Acha wafe" wala sikukurupuka najua ninachoandika na hayo yote ni baada ya kuyapima maneno yangu na Yale niliyojionea Katika maisha yangu.

Ulitaka niwe mnafiki Kama watu wengi walivyo?
 
How umethibitisha maneno yako pasipo shaka yoyote??, kwa sababu kusema kwako wanawake ni washenzi, wabinafsi, hakuwafanyi hao wanawake ni washenzi na wabinafsi...wasiofaa kuonewa huruma...

Wewe usipojirekebisha, utabaki single for the rest of your life ama uwe na miserable marriage kisha uendelee kumwaga sumu humu, kwamba sisi ni washenzi...
Kuna mambo mengi sikubaliani na Robert ila moja tu yupo sahihi, wanawake wengi ni wabinafsi na thankless. Unaweza kuwa ulimsaidia sana katika maisha yake ila ukibreakup mahusiano anakufanya adui na kuongea kwa dharau.
 
Hujaprove nimekata tamaa...Nimegundua vitu vingi unanikwepa Robert...

Kampeni sipigi mimi, nataka kubadilisha mind set yako, ku decode confusion yako....

Eti kukalia ushetani, wewe unayehubiri watu wasioneane huruma nani shetani??????? unasema kabisa kuoneana huruma sio haki ya mwanaume wala mwanamke..halafu unajifanya kumcha Mungu this, kumcha Mungu that...stop that!

Siko hapa kuharibu kizazi cha mtu yeyote, stop writing nonsense, sana sana wewe ndio upo kuharibu ndoa,mahusiano ya watu kwa kumwaga 'sumu' zako!

Nipo hapa kuponya ndoa za watu ikiwepo yako pia.

Mimi ni mtu nisiyependa upuuzi Kwa kisingizio chochote,
One mistake a hundred goals"
Kwa hiyo unataka nishauri kuwa mke au mume akisaliti ndoa yake aonewe huruma(asamehewa)? Msamaha sio rahisi kiasi Hiko na Msamaha uliorahisi hauna toba ya kweli, na umejengwa kwenye unafiki.

Ndoa ili zikae vizuri kila mtu afanye wajibu wake, na wajibu mtu akifanya hapaswi kuonewa huruma Kwa sababu ni wajibu.

Huruma ni Neema wala sio lazima,
Upendo ni Haki hivyo ni lazima na ndio maana ni amri, sijui kama unaelewa.

Ukisikia mtu amekusaidia au amekusamehe jua kakutendea Neema tuu ambayo sio haki yako,

Msimamo wangu ambao wewe utauona nipo confused ni kuwa watu wawe wakamilifu kila mmoja Kwa nafasi yake, masuala ya kuoneana Huruma kimsingi Kwa kizazi cha sasa ni upuuzi unaowagharimu wengi.

Nakupa mfano,
Mwanamke hapaswi kuonewa huruma Mpenzi wake ambaye Hana kazi, Ila anapaswa amshinikize atafute kazi,
Huruma nyingi ya mwanadamu imekaa kiovu, kuvunja amri na sheria za Mungu,

Hutokuja kunielewa
 
😀😀

Wewe kuna mambo huyaelewi unaendekeza zaidi hisia,
Kwanza ungeanza na Maana ya "huruma" kisha uje maana ya "upendo"
Alafu uje usome nilichoandika,

Au nikusaidie kukuelezea maana ya maneno hayo kisha nikuelezee mantiki ya huruma na Uzi huu??

Ukiendekeza Mihemko yako ya kujinga utaendelea kubaki na ujinga wako.

Nimesema pia hata Kwa binadamu hasa wa Zama hizi usimuonee huruma,
Niliwahi andika pia "usimsaidie masikini, Acha wafe" wala sikukurupuka najua ninachoandika na hayo yote ni baada ya kuyapima maneno yangu na Yale niliyojionea Katika maisha yangu.

Ulitaka niwe mnafiki Kama watu wengi walivyo?

Mnhhhhhh, hivi Neno na Upendo au Huruma ni la kwenda Maktaba kutafuta??.. hahhahahah

Wala hata usijihangaishe kunielezea mwaya, hata mtoto mdogo, anayelia huwa anajua hapa nimependwa, hapa nimeonewa huruma...

Na No siendekezi Mihemuko mimi, wewe ndio unaendeleza Mihemuko, hisia zako ulizoumizwa ndio unataka kuwa influence wengine, baki na ujinga wako huko huko....

Eti binadamu wa zama hizi, usimuonee huruma, hao wa zamani onyesha walikua differently na sisi, hivyo walistahili huruma na sisi hatustahili....

''Usimsaidie Maskini'' topic yako hii na nyinginezo inaonyesha wewe ni una roho ya ushetani, yes i was right unahitaji Deliverance....

Uwe mnafiki sio mnafiki, hatutaki umwage ' sumu' humu..badilika or else, usidhanie tutakunyamazia ..uendelee ku print negative image kuhusu wanawake humu..kuwa influence vijana wa kiume wadogo kuharibu mahusiano yao yajayo na wanawake zao..NO WAY!!!
 
Kuna mambo mengi sikubaliani na Robert ila moja tu yupo sahihi, wanawake wengi ni wabinafsi na thankless. Unaweza kuwa ulimsaidia sana katika maisha yake ila ukibreakup mahusiano anakufanya adui na kuongea kwa dharau.

Mkuu nisikilize Mimi, mwanamke hapaswi kuonewa huruma.
Na unapofanya mambo yako ili kumuonea huruma Mwanamke mark my word utakuja kujuta tuu! Utake usitake.

Na sio Kwa mwanamke tuu hata Kwa Binadamu wote.
 
Kuna mambo mengi sikubaliani na Robert ila moja tu yupo sahihi, wanawake wengi ni wabinafsi na thankless. Unaweza kuwa ulimsaidia sana katika maisha yake ila ukibreakup mahusiano anakufanya adui na kuongea kwa dharau.
Si kweli kwamba sisi ni wabinafsi, lazima mlete ushahidi wa kibaolojia,ama kimazingira kwamba sisi ni wabinafsi., mkuu kama ulipata mtu (mwanamke) akakuumiza ndio utaona wanawake ni wabinafsi nitakuelewa, it doesnt matter ulipata wanawake wangapi wakakuumiza...sio sababu ya wewe kuja na kusema wanawake ni wabinafsi...sababu watu(wanaume) kibao tu wapo na wanawake sio wabinafsi...
 
Back
Top Bottom