Mnhhhhhh, hivi Neno na Upendo au Huruma ni la kwenda Maktaba kutafuta??.. hahhahahah
Wala hata usijihangaishe kunielezea mwaya, hata mtoto mdogo, anayelia huwa anajua hapa nimependwa, hapa nimeonewa huruma...
Na No siendekezi Mihemuko mimi, wewe ndio unaendeleza Mihemuko, hisia zako ulizoumizwa ndio unataka kuwa influence wengine, baki na ujinga wako huko huko....
Eti binadamu wa zama hizi, usimuonee huruma, hao wa zamani onyesha walikua differently na sisi, hivyo walistahili huruma na sisi hatustahili....
''Usimsaidie Maskini'' topic yako hii na nyinginezo inaonyesha wewe ni una roho ya ushetani, yes i was right unahitaji Deliverance....
Uwe mnafiki sio mnafiki, hatutaki umwage ' sumu' humu..badilika or else, usidhanie tutakunyamazia ..uendelee ku print negative image kuhusu wanawake humu..kuwa influence vijana wa kiume wadogo kuharibu mahusiano yao yajayo na wanawake zao..NO WAY!!!