Acha kumwaga sumu humu mpuuzi wewe, eti hata sio binadamu wote usisaidie..kaka wewe umetumwa nini??? 😡Mkuu nisikilize Mimi, mwanamke hapaswi kuonewa huruma.
Na unapofanya mambo yako ili kumuonea huruma Mwanamke mark my word utakuja kujuta tuu! Utake usitake.
Na sio Kwa mwanamke tuu hata Kwa Binadamu wote.
Mnhhhhhh, hivi Neno na Upendo au Huruma ni la kwenda Maktaba kutafuta??.. hahhahahah
Wala hata usijihangaishe kunielezea mwaya, hata mtoto mdogo, anayelia huwa anajua hapa nimependwa, hapa nimeonewa huruma...
Na No siendekezi Mihemuko mimi, wewe ndio unaendeleza Mihemuko, hisia zako ulizoumizwa ndio unataka kuwa influence wengine, baki na ujinga wako huko huko....
Eti binadamu wa zama hizi, usimuonee huruma, hao wa zamani onyesha walikua differently na sisi, hivyo walistahili huruma na sisi hatustahili....
''Usimsaidie Maskini'' topic yako hii na nyinginezo inaonyesha wewe ni una roho ya ushetani, yes i was right unahitaji Deliverance....
Uwe mnafiki sio mnafiki, hatutaki umwage ' sumu' humu..badilika or else, usidhanie tutakunyamazia ..uendelee ku print negative image kuhusu wanawake humu..kuwa influence vijana wa kiume wadogo kuharibu mahusiano yao yajayo na wanawake zao..NO WAY!!!
Acha kumwaga sumu humu mpuuzi wewe, eti hata sio binadamu wote usisaidie..kaka wewe umetumwa nini??? 😡
Mwanamke akiwa na shida anapenda kuonewa huruma japo hiyo haimaanishi kwamba ukimuonea huruma ndio atakuthamini.Mkuu nisikilize Mimi, mwanamke hapaswi kuonewa huruma.
Na unapofanya mambo yako ili kumuonea huruma Mwanamke mark my word utakuja kujuta tuu! Utake usitake.
Na sio Kwa mwanamke tuu hata Kwa Binadamu wote.
Tutakoma mwaka huu!
Mwanamke akiwa na shida anapenda kuonewa huruma japo hiyo haimaanishi kwamba ukimuonea huruma ndio atakuthamini.
Wanawake wana ile mentality kwamba wanastahili kupewa na hivyo kama uliwapa kitu then ulitimiza wajibu na sio lazima uwe wa thamani kwake.
Mimi sijasema wanawake wote ni wabinafsi, nimesema wengi na hakika wengi wako hivyo. Uzoefu wangu na watu ninaowafahamu unaonesha hivyo. Wapo wachache sana ambao hawana ubinafsi unaodhuru.Si kweli kwamba sisi ni wabinafsi, lazima mlete ushahidi wa kibaolojia,ama kimazingira kwamba sisi ni wabinafsi., mkuu kama ulipata mtu (mwanamke) akakuumiza ndio utaona wanawake ni wabinafsi nitakuelewa, it doesnt matter ulipata wanawake wangapi wakakuumiza...sio sababu ya wewe kuja na kusema wanawake ni wabinafsi...sababu watu(wanaume) kibao tu wapo na wanawake sio wabinafsi...
Nipo hapa kuponya ndoa za watu ikiwepo yako pia.
Mimi ni mtu nisiyependa upuuzi Kwa kisingizio chochote,
One mistake a hundred goals"
Kwa hiyo unataka nishauri kuwa mke au mume akisaliti ndoa yake aonewe huruma(asamehewa)? Msamaha sio rahisi kiasi Hiko na Msamaha uliorahisi hauna toba ya kweli, na umejengwa kwenye unafiki.
Ndoa ili zikae vizuri kila mtu afanye wajibu wake, na wajibu mtu akifanya hapaswi kuonewa huruma Kwa sababu ni wajibu.
Huruma ni Neema wala sio lazima,
Upendo ni Haki hivyo ni lazima na ndio maana ni amri, sijui kama unaelewa.
Ukisikia mtu amekusaidia au amekusamehe jua kakutendea Neema tuu ambayo sio haki yako,
Msimamo wangu ambao wewe utauona nipo confused ni kuwa watu wawe wakamilifu kila mmoja Kwa nafasi yake, masuala ya kuoneana Huruma kimsingi Kwa kizazi cha sasa ni upuuzi unaowagharimu wengi.
Nakupa mfano,
Mwanamke hapaswi kuonewa huruma Mpenzi wake ambaye Hana kazi, Ila anapaswa amshinikize atafute kazi,
Huruma nyingi ya mwanadamu imekaa kiovu, kuvunja amri na sheria za Mungu,
Hutokuja kunielewa
Finally umeagree na mimi, sio wanawake wote ni wabinafsi, na kwamba kila mtu ana uzoefu wake ambao umemfanya aamini anavyoamini,ila sio sababu ya kuja na generalization wanawake ni washenzi tusiofaa kupewa huruma.......Mimi sijasema wanawake wote ni wabinafsi, nimesema wengi na hakika wengi wako hivyo. Uzoefu wangu na watu ninaowafahamu unaonesha hivyo. Wapo wachache sana ambao hawana ubinafsi unaodhuru.
Pitia posts zote nilizokujibu, umeniruka ruka tuu...eti hawastahili huruma, hio roho ya shetani ikutoke tu uanze ku enjoy life.Sasa ndio maana Ukiwaambia hawastahili huruma wanarukaruka Kama maharage
Ukweli upi? prove kuwa ni ukweli?!Sumu gani sasa!
Kusema ukweli?
Finally??🤣 Mie na wewe tumeanzia few minutes ago..Finally umeagree na mimi, sio wanawake wote ni wabinafsi, na kwamba kila mtu ana uzoefu wake ambao umemfanya aamini anavyoamini,ila sio sababu ya kuja na generalization wanawake ni washenzi tusiofaa kupewa huruma.......
Unaposema wanawake ni wachache ambao sio wabinafsi, hio ni subjective experiences yako..haitoshi kuweka conclusion kuwa wanawake wote ni wabinafsi Mkuu...
it doesnt matter tumeanza muda gani mkuu...lolFinally??🤣 Mie na wewe tumeanzia few minutes ago..
Mwanamke akiwa na shida anapenda kuonewa huruma japo hiyo haimaanishi kwamba ukimuonea huruma ndio atakuthamini.
Wanawake wana ile mentality kwamba wanastahili kupewa na hivyo kama uliwapa kitu then ulitimiza wajibu na sio lazima uwe wa thamani kwake.
Mwanaume hapendi kuonewa huruma. Hiyo ni against men's nature.it doesnt matter tumeanza muda gani mkuu...lol
Kwani Mwanaume akiwa na shida hapendi kuonewa huruma?, Kisha ...kuwa na grateful attitude haihusiani na gender hata kidogo mkuu..unless ufafanue...
Mentality, ni nyie mnaotoa kwa wanawake au kwa mtu mwingine yoyote mkitegemea kupata something in return iwe, favour, acceptance,material things..ndio mkiwa dissapointed mnadevelop mentality kuwa wanawake wakipewa vitu wanaona ni wajibu wao kupewa.....
Nimefurahi kuona comment yako nimekumiss SanaTutakoma mwaka huu!
Pitia posts zote nilizokujibu, umeniruka ruka tuu...eti hustahili huruma, hio roho ya shetani ikutoke tu uanze ku enjoy life.
Mwanaume hapendi kuonewa huruma. Hiyo ni against men's nature.
Kwahiyo wanataka wawe wanapokea tu bila kurudisha fadhila? Hapo hakutakuwa na mahusiano mazuri katika jamii.
Finally umeagree na mimi, sio wanawake wote ni wabinafsi, na kwamba kila mtu ana uzoefu wake ambao umemfanya aamini anavyoamini,ila sio sababu ya kuja na generalization wanawake ni washenzi tusiofaa kupewa huruma.......
Unaposema wanawake ni wachache ambao sio wabinafsi, hio ni subjective experiences yako..haitoshi kuweka conclusion kuwa wanawake wote ni wabinafsi Mkuu...
Si kweli, si nature ya mwanaume au mwanamke kutoonewa huruma, no, it keeps our mind/heads in check..wewe umechoka mkeo akikupa pole,hufarijiki?!Mwanaume hapendi kuonewa huruma. Hiyo ni against men's nature.
Kwahiyo wanataka wawe wanapokea tu bila kurudisha fadhila? Hapo hakutakuwa na mahusiano mazuri katika jamii.
Kwani mtu akisema wanaume ni kichwa cha familia unafikiri hakuna wanaume mikia?
Au unapoambiwa Wanawake ni viumbe dhaifu unafikiri hakuna wanawake Makini wanaowafikia mpaka wanaume?
Hapo tunaangalia ishu ya wingi, sijui kama unaelewa