Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunawajua vizur, ndio maana kabla ya kupewa hela unapigwa kwanza miti.Kama ulikuwepo hapo kifuatacho itv ni mzinga tuu hamna lengine
Kumbe huwa unamchepukia baba mchungaji 😁😁 hautapanda mlima hanang nakuambia🤔Asante baba mchungaji mwenye masikio na asikie
Na mwenye macho atazame
Ila chakushanga wanavuana chupi
Ni mimi nimeota ccm wamepita bila kupingwa😅What's going on here....🤨
Alafu wanatuma sms daddy I miss u🤣🤣🤣
Hapana baba mchungaji Nimeandika ninayoyaona katika jamii na si vinginevyo amani itawale juu yako
😁😁😁Salamu za kijambazi hizi, kituo kinachofuata ni "kikosi cha mizinga"...
As you command baba mchungajiView attachment 3129786
Nimeshakataa kabisa lisijirudie tena
Usijal hilo nalifanyia kazi kwa jina la yesu 😅As you command baba mchungaji
ratiba ya hannang najua iko palepale😊
KwaniniWanawake wengi wanapenda wanaume wenye wenza.
Hata wewe mtoa mada unawapenda wanaume walio na wenza, sema lilipokukuta ndiyo unakuja hapa kujifariji.
pole kwa kuachwaKuna Baadhi ya wanawake wana date na wanaume waliooa
Usimwamini mwanaume ambaye hampendi mke wake
Hajawahi kuku valisha hata hiyo pete na anakuambia anakupenda
Unafikiri anakupenda wew?
Kama aliyemvalisha pete anam cheat wew kwake utakuwa na thaman?? usiwe mjinga
Anakuambia anakupenda na huku ana mke aliye mvisha pete ya thaman?!!
Iko siku nawe atakubwaga
Wanaume wa namna hii
Wanajichukia na ndio maana hawawezi kumpenda mtu yoyote