Usioe wala kuolewa na mtu kalelewa na mzazi mmoja why?

Usioe wala kuolewa na mtu kalelewa na mzazi mmoja why?

Acha kujipa victim mentality sasa hapo ndipo mnapoharibu. Ukishaanza kusema mimi ni victim unaiambia akili yako kuwa hata ukikosea ni matokeo ya kuwa victim. Don't be a victim be responsible.
it's said, ikitokea issue. wana solve kwa kusema sina baba au mama
 
si ndo hapo, mi wangu mzinzi anakula kila housegirl anaekuja, wake za majirani anapita nao, ana gubu selfish mpaka basi, tunaishi kama majirani isiwe kesi ebooooo.
hadi leo upo nae he ain't that bad
 
Kwa hili wimbi la "zaa ntalea" ma mkwe hauchomoki
Yani iwe last resort, sio ndo first choice

Ila nitampa usia ajipange, nitamfundisha roho ya kibandidu.....

Honestly hawa watu ukiwa mlaini laini wanaweza kukupa uchizi, huwa hawajali lolote, hawajali kuachana....sasa wakikukuta unatoka familia ya wazazi wawili, hujawahi kuona wazazi wanaachana, unaogopa, Yani watakupelekesha wakutie wazimu.
 
Zote ni siasa hizo hizo mjomba. Sababu za mtu kulelewa na mzazi mmoja au bila mzazi ni nyingi sana ndugu.

Acheni unyanyapaa wa kijinga!
Naona umeweka hisia eneo ambalo unatakiwa kutumia akili. A perfect illustration of what mleta mada alikuwa anaongelea.

Sasa ambacho haujakielewa ni nini hadi ukanushe the whole bango?
 
Huyu niliyenae kalelewa familia yenye wazazi wote ila mbona anatabia hizo
Wazazi wanaweza kuwapo physically ila spiritually hawapo.

Baba anaweza kuwapo katika nyumba kama mwili ila hata wewe ukienda ishi kwenye hiyo familia unaona kabisa hapa mamlaka ya baba hayapo na watoto wanaenda kwa namna mama anataka na sio matakwa ya baba.
 
Haya mambo vijana wa sikuhiz zingatieni sana pia OGOPA NA USIJARIBU KUOA MWANAMKE AMBAYE MAMA YAKE NDIYE ALIKUWA ANA SAUTI KWA MUME WAKE, Wanawake waliotoka ktk familia ambazo mama zao walikua Wana saut kwasabab ya kipato kikubwa au kiburi au jeuri. Hakika wanakuwa wamerithi hizo tabia kwa kujua au kutojua na kamwe hawawez kuziacha, kwahio na wao wakiolewa watafanya upumbav wa mama zao...
@Sera park njoo usome hii comment, ndicho nilichokuwa nakuelezea hapo juu. Baba anaweza kuwapo kwenye nyumba ila haplay role yake kama baba sababu spiritually watoto wanamuona mama ni strong kuliko baba of which is devil's work.
 
Yani iwe last resort, sio ndo first choice

Ila nitampa usia ajipange, nitamfundisha roho ya kibandidu.....

Honestly hawa watu ukiwa mlaini laini wanaweza kukupa uchizi, huwa hawajali lolote, hawajali kuachana....sasa wakikukuta unatoka familia ya wazazi wawili, hujawahi kuona wazazi wanaachana, unaogopa, Yani watakupelekesha wakutie wazimu.
Wakuu mnapiga kwenye mshono.
 
Mimi ninakudharau. Kwenye shule sina haja ya kushindana nawe kwasababu sitaki kujua umesoma hadi wapi na wala sitaki ujue nimesoma kiasi gani. Cha muhimu wote tumesoma. Kama ni exposure pia ninayo. Passport yangu ina mihuri ya kutosha. Narudia tena kwamba sio kila atakachosema Mzungu ni sahihi. Amnesty International wameshafanya research na kufafanua kwamba LGBTQ wanatakiwa wapewe haki zao na kwa mujibu wa maelezo yao ni kuwa Homosexuality sio tatizo. Je, tukubaliane nao kwasababu wamefanya research? WHO walivyosema Africa itakuwa na maiti hadi kwenye barabara mitaani wakati wa Corona walikuwa sahihi? Tumia akili ya kuzaliwa badala ya kuwa mtumwa wa hizo research.
Wewe unaongea vitu gani wewe? [emoji848] Mbona mleta mada amenyooka na anachokiongelea sio kitu cha kuambiwa kwa mdomo tu, macho yako ukiyafumbua utaona hapo vema kuwa ukweli upo wazi wazi.

Sasa kama unambishia mleta uzi haya tuambie wewe ukweli ni upi?

Kwamba si kweli watoto wanaolelewa na mzazi m'moja especially mama huwa na changamoto za kitabia ikiwamo kushindwa kuishi ndani ya ndoa na mahusiano bora?

Sasa kama unabisha tupe ukweli wako ila sio unamshambulia mleta mada as if huu uzi alikuletea wewe personally.
 
I wish, I could knew it before!! This is a nacked truth, I experienced it
@MamaSamia2025 huyu ni mojawapo wa wasomaji unaweza kuona anakiri kuona matokeo ya anachokiongelea mleta uzi. Why sasa unambishia.
 
Na vipi kuhusu ambao hawajalelewa na wazazi wote?

Hii mada imekaa kibaguzi kuliko kiuelimishaji.
Nikuelekeze jambo?

Kwenye haya maisha ukiona mtu kaongea jambo limekugusa usiwe mwepesi kuhisi amekuattack bali chukulia its the moment of truth.

Hakuna mtu aliyekamilika katika huu ulimwengu. Ambacho wewe unafanya vema kuna mwingine anaharibu, mleta mada atakapokiongea wewe hakitakuuma and hautacomment wala kulaumu kama hivi. Ila hii mada ya leo imekugusa ndio maana unahaha na kuleta kauli za lawama.

Nakushauri uache kuwa na akili ya mhanga( victim mentality) kujilalamisha au kujiona unaonewa au kuona unanyooshewa vidole badala ya kujitathimini na kuchukua hatua. Hebu kuwa serious kidogo na Maisha yako.
 
1. They are selfish.

2. They are more likely to have a side family, child, multiple family or end the marriage for stupid reasons.

3. They are emotional damaged. They don't care of other people feelings. Any thing is the right way as long as wapo happy hata for a short time.

4. They always end up single parent for some reasons, research shows they are 3 times likely to have single parent family.

5. They always do some stupid things, kuna vitu watafanya you will wonder why. Mostly women , this you will notice.

6. Absense of there parents. Its always an excuse.

7. If your born in a complete family avoid these people as you can. Matatizo yao ndo your down fall. And they will leave you, with them.

8. They deserve one another. Born from a single parent vs born from a single parent. They can live together. Don't mix up.

9. More from comments, before you say NO. Use Google and i will add research links with time.

Avoid avoid avoid. Both gender utajuta 🙏

Kataa kwa facts. With research to back up your reasons. Sio kelele


PAPERS PUBLISHED BELOW

Link 1
https://onlinelibrary.wiley.com/doi/abs/10.1111/j.1365-2524.2008.00781.x


Link 2
Mental health


Link 3
Not always NDO MAANA UMESEMA MORE LIKELY

Matatizo yako mengi mfano ukioa mwanamke ambaye kwao mama ake anamuendesha mume wake Lazima nae ajalibu kukucontrol ikishindikana ndoa inakufa!!

So matatizo ambayo yanawaacha watu na trauma yapo mengi sana so just weigh it up
 
Hii ni thread ya kibaguzi sana, hujui ulichokisema ndugu Danielmwasi. Hakuna aliyechagua kua katika familia ya namna hio. Hio ni sawa na kumsimanga kilema bro. Tema mate chini.

Huku Duniani hakuna aliyekamilika mkuu, na kila mtu ana njia aliyopangiwa na M/Mungu kuipitia. Kuna waliokuta familia zikiwa na wazazi wote, kuna waliokuta mzazi mmoja, kuna ambao hawakukuta mzazi hata mmoja na kuna ambao hawakukuta hata ndugu wa kuwalea na ndio maana kuna vituo vya kulelea Yatima na charitable organizations zinazochukua majukumu ya kulea, kusomesha na kuongoza watoto ambao kwa bahati mbaya hawana wazazi ama walezi wa kuwalea.

Kwahio hawa wenye walau mzazi mmoja wapo katika nafsi nzuri mara mia kuliko wengi ambao labda hawana wazazi wote kabisa au wote wazazi wala walezi.

Sisi sote tu watu wa Mungu na tunakamilishana katika mapungufu yetu mbali mbali na sio kubaguana.

Mbarikiwe [emoji120]
Kama ungekuwa na hekima au walau busara then ungemshukuru mleta uzi kwa kukupa revelation juu ya sura ya Maisha ambayo pengine wengi huwa wanaiona baada ya kuiingia.

Wewe unaongea kwa kumlaani au kulaumu mleta uzi but nikuulize kama unafurahia kuona watu wanaingia katika mahusiano na watu ambao mleta uzi amewaelezea yaani watoto ambao ni product ya mahusiano ya mzazi m'moja? [emoji848]

Sio kwamba anawachukia ila hapa ameweka uzi ili kutoa angalizo kwa wanaotengeneza mahusiano na watu wanaotokea familia za hivyo ili wajihadharani na yajayo ambayo pengine wasingeambiwa popote.

Cha msingi zaidi ameandika uzi kuwasaidia ambao wanatokea familia za mzazi m'moja kujitathimini na kujitambua ili wasiwe changamoto kwa watoto wa familia bora. Kuna ubaya gani mtu kukwambia wewe ni mchafu halafu wewe unakazana kumwambia kuwa amekudharau amekuona wewe ni takataka sababu kwenu hakuna maji na sabuni, how is that even relate to hoja ya msingi? [emoji848]
 
I understand this. But facts should be said. We can't hide the truth because of emotional wellness and some one history. We Need to change and be better parents. Amna excuse. Hizi ni research za watu through the years.
I agree.
 
Kuna siku nilisoma mahali hoja sawa na hii, nikajikuta najisemea.... "lakini kweli..., ila hapana"....
Mtoa hoja hiyo alisema hivi,. "Mtoto wa kiume aliyelelewa na familia ambayo Mama ndiye mpambanaji, akamuoa mtoto wa kike aliyelelewa na familia ambayo baba ndiye mpambanaji, Ndoa hiyo Huwa haidumu Kwa sababu Kila mmoja anajua kwamba mwenzake ndiye anaweza au ana wajibu wa kuilea familia!
Na mtoto wa kiume aliyelelewa na familia ambayo baba ndiye mwenye kauli ya mwisho ya maamuzi (kama Kwa wale wenzetu wa nanilii kule) akamuoa mtoto wa kike aliyelelewa na familia ambayo Mama ndiye mwenye kauli ya mwisho ya maamuzi, hapo lazima cheche zitokee kwa sababu Kila mmoja anajua kwamba anatakiwa kusikilizwa.
My take; KWA SASA KUZUNGUMZIA CHANGAMOTO ZA SINGLE PARENTING (HASA HASA SINGLE MOTHERS) Zinaibua hisia nzito HASA Kwa waathirika Kwa sababu wanajikuta wanalaumiwa Kwa makosa yasiyo yao.
True
 
Hivi kataa ndoa kwa kingereza wanaitwaje?
 
Sina Hakika ila nakupinga nasema HAPANA kama kunamtu anaroho hiyo ya kutaka kumuona mwanaye anateseka kama yeye alivyo teseka Kwa kulelewa na mzazi mmoja basi huyo anaroho mbaya tu ambayo anaweza kua nayo yoyote yule

Nimesoma na mtu ambaye anawazazi wote wawili lakini anataka mtoto wake aje asome shule kama tulivyo soma sisi ambayo ugali ni kama mbichi,maharage hayatii hamasa ya kula kisa anadahi kuwa mwanaye ataona uchungu WA kusoma mawazo ambayo ni tofauti kabisa na mimi ninaye waza kama nikiwa na mtoto nitafute pesa Ili nimuhudumie tene nimpe Mali inayoonekena ya kuanzia maisha sio elimu tu kama wasemavyo. Maana ninaijua dhiki anayopitia mama na mtoto PASIPO baba tena kama mama hayupo vizuri kiuchumi

Sasa mtu kama Mimi ninaijua kabisa dhiki ya kulelewa na mama peke,na kosa kitu Fulani sababu mama ameshindwa kunitimizia na muda mwingine na fikiria kwani kati ya Mimi na wao nani alimtaka mwenzie alafu nije ni ruhusu mtoto alelewe na mzazi mmoja tena mama HAPANA labda nitasemwa Kwa kutojua kuishi kikamilifu kama baba Kwa kuwa sijawahi kumuona baba yangu kabisa akinilee Kwa namna Fulani ambyo ndio mtindo sahii Kwa baba kuishi na mwanae

Unajua Huwa wanafikiria Nini tena akijua umemkimbia Kwasababu ya huoga wako tu mwenyewe na ulimtaka mwenyewe

HAPANA Mimi siwezi Kuna mda unahitaji tu ushairi kutoka Kwa baba au mama atakama Hana ele lakini unakosa huo ushairi,unakosa ada unawaza labda angekuwa baba au mama wangesaidiana ningepata ada lakini wapi mmoja hayupo

Sasa mtu unaijua hiyo DHIKI alafu unataka kufanya Kwa makusudi Kwa mtoto ambaye unamtaka wewe mwenyewe na Wala siyo yeye aliye kutaka HIYO NI ROHO MBAYA TU AMBAYO YEYOTE ANAWEZA KUWA NAYO

Maana wapo waliolelewa na mzazi mmoja hawana roho hiyo na wapo walio lelewa na wazazi wote wapo na roho hiyo
Ni ngumu kunielewa ukilitazama hili swala kwa jicho la kujihami ila ukitoka huko mtaani hautatumia nguvu nyingi kuona ninachokwambia. Okay nitakupa mwanga kidogo.

Wanawake ndio wanaongoza katika kuwafanya watoto wao nao wawe single mothers sababu ndicho kitu wamekua nacho na ndicho wanakielewa. Anaweza tamani mtoto awe na baba wa kumjali ila nikuulize swali, kuna baba wa kumjali mtoto bila mama ambaye ni wife material kwa mumewe?

Ili baba bora wa watoto apatikane ni lazima mama mtoto awe alikulia makuzi ya kumuandaa kuwa mke bora na partner mzuri kwa mwanaume wake, akifanikiwa hilo ni rahisi kuvutia mwanaume bora wa kuwa baba wa familia na kwa watoto. Sasa is that the case kwa mabinti ambao wamezaliwa familia ambazo mama ni Barmaid, mdangaji, hajatulia, aliyezaa before marriage etc?

Turudi kwa wanaume. Mfano wewe na hayo machungu uliyo nayo juu ya malezi ya watoto unaotamani kuwa nao ili ujenge familia bora ila unasahau kwamba wewe huwezi kuwa baba bora na kujenga familia ya Baba, mama na watoto kama hauna kaliba ya kiume ya kuvutia wanawake wenye makuzi na malezi ya kuwa mke imara. Mwanamke mwenye kaliba ya kike huwa anakwenda na mwanaume imara ambaye anazimudu changamoto za maisha, hisia za mwanamke wake, anaweza kuwa kiongozi, anaweza kuwa mfariji, anaweza kumudu mahusiano of which hizi sifa ni nadra uzikute kwa mtoto wa kiume aliyelelewa na mama yake tu bila baba sababu wengi ndani ya mioyo yao mama ndio first priority kabla ya mke.
Unaona Diamond platinum ingawa ana pesa na uwezo ila ana struggle kusettle na kutengeneza familia ya mke m'moja na watoto wake anazaa tu hovyo but yupo karibu zaidi na mama yake. Hii sio udhaifu kwa upande wake ni life style ya kulelewa na mama tu, but je kwako ipo sawa?

Kimsingi unachotakiwa kufahamu ni kuwa mtu anayezaliwa na kulelewa na mama tu au baba tu huwa inampa wakati mgumu sana kublend na wale waliolelewa ndani ya ndoa takatifu na kuishi kwa misingi ya kuheshimu na kutumikia ndoa.

Ataweza kuwa huru na kujiona binadamu katika maisha ya kuishi na watu baki wasioendana na mfumo wa Ndoa au ambao wanaishi nje ya mfumo wa ndoa hapo atakuwa normal ila akiingia huku kwenye ndoa itataka jitihada binafsi sana kuweza kucope na mazingira.
 
Mkuu ulichoongea kina ukweli kiasi Fulani,na wapo kweli watu wwliolelewa na mzazi mmoja na wapo kwenye ndoa zao ila ni wachache.

Tafsiri yangu hapa Nini Nini,Huwa tukiwa watoto tunajifunzia kupitia kwa wazazi wetu,tukiona wanapendana ndicho tunachojifunza hicho,lkn let say mfano mwanaume aliyelelewa na mama pekee,hawezi kuona thamani ya mke kwa sababu hakumuona baba akiwa na mama yake wanafurahi,hivyo yy ni rahisi sana kumtelekeza mke hata akiwa na watoto na kujisemea kuwa mbona hata mimi nilikuwa na mama tu na nimekuwa.

Dhana hii humjengea kutomthamini mwanamke kwa sababu naye hakuona mama akiishi na baba hivyo hata yy haoni umuhimu wa kuishi na mke wake na watoto,atakachofanya tena kwa kujiskia ni kuwatunza tu ili wasimsahau.
Kuna watu sijui ni ubishi au vichwa vizito kuelewa ila mbona haya mambo yanaeleweka na kama hapa umetumia lugha nyepesi kabisa ila bado watakuja kukubishia.
 
Back
Top Bottom