Usioe wala kuolewa na mtu kalelewa na mzazi mmoja why?

Usioe wala kuolewa na mtu kalelewa na mzazi mmoja why?

Wewe unaongea vitu gani wewe? [emoji848] Mbona mleta mada amenyooka na anachokiongelea sio kitu cha kuambiwa kwa mdomo tu, macho yako ukiyafumbua utaona hapo vema kuwa ukweli upo wazi wazi.

Sasa kama unambishia mleta uzi haya tuambie wewe ukweli ni upi?

Kwamba si kweli watoto wanaolelewa na mzazi m'moja especially mama huwa na changamoto za kitabia ikiwamo kushindwa kuishi ndani ya ndoa na mahusiano bora?

Sasa kama unabisha tupe ukweli wako ila sio unamshambulia mleta mada as if huu uzi alikuletea wewe personally.
Hata waliolelewa na Baba wakaishi na mama wa kambo pia Wana tabia za ajabu, huwa wana Sura mbili mbili, wakatili....as wamekua wakiwaona mama wa kambo Wana Sura mbili, Baba akiwepo wana roho nzuri, akiondoka wanabadilika........hawa ndio wabaya ajabu.....wabinafsi, hawajali lolote.....
 
Hata siangaiki nazo wakati mimi ninaona uhalisia.
Kuna matatizo makubwa sana ya kimalezi yanayopelekea ndoa nyiiingi kukumbwa na misukosuko na miongoni mwake ni pamoja na za wanandoa walio lelewa na wazazi wote.

Mke wa mjomba wangu yeye kalelewa na mama kwani baba alifariki akiwa bado ktk umri mdogo na mpaka leo ni wana ndoa licha ya uzee wao.
Sijui kati Bilgate na mtalaka wake ni nani kalelewa na mzazi mmoja lkn madai yako hayana ukweli.
Umepinga kishari na inaonyesha wazi kuwa umepanic haujaelewa. Wewe unataka kutuaminisha kuwa umetembelea jamii nzima ya watanzania na ukapata takwimu kamili kuwa haya matatizo mleta uzi ameyaweka wazi hapa kuwa hayapo na yeye ametutungia tu si ndivyo? [emoji848]

Me nadhani ujifunze kusoma vitu kwa utulivu na kutojibu kwa mihemko maana haikusaidii.
 
Tuwapumzishe ili wapate nguvu ya kuendelea kuleta maafa, hapana hawa ni mchaka mchaka tena ule wa puta puta hadi watapike nyongo.
Hata single fathers nao ni wale wale kasoro jinsia....

Shetani anapenda kuitikisa taasisi ya ndoa as anajua athari yake haimuachi mtu katika jamii.
 
Ila kiukweli si kupingi maana hukitumi kannuni Fulani za maisha hoja zako zina mashiko ILA huku ninapo ishi Mimi kunanifanya nione hoja zako za kawaida tena na uelekeo WA Dunia yenyewe pia unatia mashaka
Me naona mambo kama yapo nusunusu tu
Mfano ninapo ishi Mimi vijana wakiume wengi tu wamelelewa na wazazi wote ila wao wametelekeza mimba na wengine wametelekeza watoto Sasa hapo IPO wapi nidhamu walio ichujua kutoka Kwa familia zao za wazazi wote wawili?
Unajua hili jambo sijui kwann hamlioni. Katika familia unaweza kuona mna baba ila mama ndie anayejua kuwa baba ni dhaifu ila hasemi wala hawezi sema maana ni mume wake.

Baba ni kiongozi wa familia na ndie huwapa watoto wake directions kuanzia wakiwa wachanga hadi wakiwa watu wazima. Yeye ndie guide wa maisha yao.

Sasa kuna uwezekano mkubwa sana hao uliowaona ni product ya watoto wa kiume waliozaliwa familia ambazo baba si kiongozi wa familia na ndio maana walipoingia katika maisha ya balehe hakuwapo kuwaelekeza what to do next in life. Imagine kijana anakwenda kutomba kwa mara ya kwanza baba hajui.

Trust me mtoto wako wa kiume kabla hata hajaanza kutokea videmu kama una mazingira nae mazuri atakuonyesha dalili na ndipo kama mzazi kazi yako ni kumguide kufanya maamuzi sahihi.

Mfano kumuelekeza madhara ya ngono, kufanya mapenzi bila kinga, kupata watoto kabla ya kujijenga kiuchumi, elimu ya uzazi na malezi. Hivi vitu mtoto wa kiume akivipata kwa baba yake mapema huwezi kuta kazaa hovyo na kutapanya watoto hovyo.


So kukujibu ni kwamba hao vijana wamekulia familia ambazo hazina baba kiongozi zina baba mlipa bills tu.
 
Mimi ni mmoja wa walezi wao kwa sasa,wamekuwa wakinishirikisha tangu enzi na enzi.
Malezi miongoni mwa wazazi kwa watoto wao ni mzizi wa kuvunjika kwa ndoa nyingi leo hii.

Unataka kusema kwamba mzazi mmoja akifariki ama akivunja ndoa yake anayebaki akilea watoto ndo responsible or irresponsible parent?
Jibu la swali hilo litakupa uhakika kwamba inategemea na thinking capacity ya huyo mzazi mmoja. Lkn pia mabadiliko ya kimazingira atakayo pitia mtoto husika.

Sijajua watafikia wapi lkn mbona prince William na mkewe wako pamoja?
Achana na dhaania hizo suala la ndoa sasa hivi lina changamoto zisizo fanana.
Unachofanya ni kupotosha mada kuongelea hoja zako ambazo hazina mashiko na mada.

Yaani ni sawa na upo kikao cha ofisi unaanza kuleta personal agenda zako za kugombana na wafanyakazi wenzako mbele ya ma CEO wa kampuni badala ya kuaddress professional issues.

Mfano unaanza kulalamika namna wafanya kazi wenzako walivyokukaushia kukuita kwenye vikao cha beer [emoji482] vitatu mfululizo na wewe ukaamua kuwanunia na sasa kazini hamna maelewano mazuri, is that part of work issues?

So hapa unajaribu kuleta hoja lakini ambazo hazihusiani na mada mezani. Ni kweli wewe hivi vitu hauoni madhara yake kama vile mabinti wadangaji wanaojichora matatuu, kuvuta shisha, wakipost mavideo ya kujiachia mtandaoni wasivyoona tatizo na wanaona wapo right kabisa na wakiona watu wanawasema huwa wanawajibu kuwaambia kwann wanawafuatilia katika privacy zao? [emoji23]

Sasa kwann unafosi kujenga hoja za kukataa kitu ambacho wewe umechagua kutokukiona. Yaani mimi nikikusoma tu hapa naona ni wazi ni umechagua kukaza fuvu na kusema hakuna tatizo ile hali mimi binafsi nikiambiwa nitengeze documentary video hapa nitakuwa na the whole 5 season's with 20 one hour episodes in each season za kuonyesha jamii testimonials za wahanga wa hili janga la changamoto za makuzi ya malezi ya mzazi m'moja.

So acha kuwa kikwazo kwenye kuelimishana.
 
Mambo haya yanaumiza hisia sana....
Ulimpoteza mzazi ukiwa mdogo, unaamka unakuta jamii forums wanasema single parented children ni wa hovyo...[emoji1]
Hawakuchagua kuwa knye family ya hvyo...

Goodluck to you self proclaimed perfect ones...God knows!
Jikaze mzee sometimes tunaanza na maisha kwa kulaumiwa ili tuwe chachu ya mabadiliko. Imagine wewe unalalamika hapa kwenye issue hii je umeshawahi wazia wale waafrika waliozaliwa utumwani, je wa Israeli waliozaliwa kipindi cha Hitler, basi imagine hata kuwa mtoto wa kiongozi mkubwa wa CCM ukipita mtaani unanyooshewa kidole na hauna hatia yoyote.

So usifocus na lawama, sikiliza ujumbe ndani ya lawama kisha badilisha narrative uwe bora na kuwaaminisha watu utofauti.
 
Nikuelekeze jambo?

Kwenye haya maisha ukiona mtu kaongea jambo limekugusa usiwe mwepesi kuhisi amekuattack bali chukulia its the moment of truth.

Hakuna mtu aliyekamilika katika huu ulimwengu. Ambacho wewe unafanya vema kuna mwingine anaharibu, mleta mada atakapokiongea wewe hakitakuuma and hautacomment wala kulaumu kama hivi. Ila hii mada ya leo imekugusa ndio maana unahaha na kuleta kauli za lawama.

Nakushauri uache kuwa na akili ya mhanga( victim mentality) kujilalamisha au kujiona unaonewa au kuona unanyooshewa vidole badala ya kujitathimini na kuchukua hatua. Hebu kuwa serious kidogo na Maisha yako.
Mkuu unapiga kwenye mshono.
 
Not always NDO MAANA UMESEMA MORE LIKELY

Matatizo yako mengi mfano ukioa mwanamke ambaye kwao mama ake anamuendesha mume wake Lazima nae ajalibu kukucontrol ikishindikana ndoa inakufa!!

So matatizo ambayo yanawaacha watu na trauma yapo mengi sana so just weigh it up
Wakuu endeleeni kufumua mishono.
 
Mambo haya yanaumiza hisia sana....
Ulimpoteza mzazi ukiwa mdogo, unaamka unakuta jamii forums wanasema single parented children ni wa hovyo...[emoji1]
Hawakuchagua kuwa knye family ya hvyo...

Goodluck to you self proclaimed perfect ones...God knows!
Usichukulie personal
Alichoongea kina ukweli,lakini si kwa kila mtu ila wako likely
Kutoka situation yyte ile lazima izalishe mtu wa aina fulan hata si kwamba anaongea vibaya
Ebu nikupe senario

Mtoto wa kiume aliyekua fanilia ambayo baba anampiga mama yake yupo likely nayy kua anafanya hivo kwa mkewe!
Mzazi mlevi kupata mtoto mlevi (si wote wengi wao)
So vilema vinarisishwa

Hata ungezaliwa na kukuzwa na wazazi wawili maisha yao au tabia zao ni rahisi kuzichukua zikakufanya uwe mtu mzuri au wa aajabu
 
Ni ngumu kunielewa ukilitazama hili swala kwa jicho la kujihami ila ukitoka huko mtaani hautatumia nguvu nyingi kuona ninachokwambia. Okay nitakupa mwanga kidogo.

Wanawake ndio wanaongoza katika kuwafanya watoto wao nao wawe single mothers sababu ndicho kitu wamekua nacho na ndicho wanakielewa. Anaweza tamani mtoto awe na baba wa kumjali ila nikuulize swali, kuna baba wa kumjali mtoto bila mama ambaye ni wife material kwa mumewe?

Ili baba bora wa watoto apatikane ni lazima mama mtoto awe alikulia makuzi ya kumuandaa kuwa mke bora na partner mzuri kwa mwanaume wake, akifanikiwa hilo ni rahisi kuvutia mwanaume bora wa kuwa baba wa familia na kwa watoto. Sasa is that the case kwa mabinti ambao wamezaliwa familia ambazo mama ni Barmaid, mdangaji, hajatulia, aliyezaa before marriage etc?

Turudi kwa wanaume. Mfano wewe na hayo machungu uliyo nayo juu ya malezi ya watoto unaotamani kuwa nao ili ujenge familia bora ila unasahau kwamba wewe huwezi kuwa baba bora na kujenga familia ya Baba, mama na watoto kama hauna kaliba ya kiume ya kuvutia wanawake wenye makuzi na malezi ya kuwa mke imara. Mwanamke mwenye kaliba ya kike huwa anakwenda na mwanaume imara ambaye anazimudu changamoto za maisha, hisia za mwanamke wake, anaweza kuwa kiongozi, anaweza kuwa mfariji, anaweza kumudu mahusiano of which hizi sifa ni nadra uzikute kwa mtoto wa kiume aliyelelewa na mama yake tu bila baba sababu wengi ndani ya mioyo yao mama ndio first priority kabla ya mke.
Unaona Diamond platinum ingawa ana pesa na uwezo ila ana struggle kusettle na kutengeneza familia ya mke m'moja na watoto wake anazaa tu hovyo but yupo karibu zaidi na mama yake. Hii sio udhaifu kwa upande wake ni life style ya kulelewa na mama tu, but je kwako ipo sawa?

Kimsingi unachotakiwa kufahamu ni kuwa mtu anayezaliwa na kulelewa na mama tu au baba tu huwa inampa wakati mgumu sana kublend na wale waliolelewa ndani ya ndoa takatifu na kuishi kwa misingi ya kuheshimu na kutumikia ndoa.

Ataweza kuwa huru na kujiona binadamu katika maisha ya kuishi na watu baki wasioendana na mfumo wa Ndoa au ambao wanaishi nje ya mfumo wa ndoa hapo atakuwa normal ila akiingia huku kwenye ndoa itataka jitihada binafsi sana kuweza kucope na mazingira.
Sawa sikupingi ila ngoja niendelee kuishi.Maana nimeona yoteyoteila Kwa uchache na hasa watoto wa ndoa wakitukuza mama zao.

Nimeona wanandoa wakiishi pamoja ila wanakorofishana uzeeni na watoto wanaegemea Kwa mama. Unakuta mzee ni mkoloni mmoja mzuri kabisa yani( jasiri,weredi,kiongozi shupavu) ila anaharibu dakika za jioni Hadi unashangaa yani.

Nimeshuhudia washikaji zangu wakifanya harakati za kukana ujauzito na wamelelewa na wazazi wote.

Nimeshuhudia Binti anaacha shule form two anaenda Kwa bwana bila ya mahaili Wala Nini na mimba juu Ili hali anawazazi wote WAWILI tena wakatoliki safi kabisa kwa macho ya nyama na damu. Nimeona watoto waliolelewa tena katikafamilia ya mchungaji mpaka mchungaji mwenyewe analalamika lakini mtoto kabeba mimba mara mbili pasi na ndoa

Ni meshuhudia waliolelewa na mama tu pekee(Vijana wakiume) wakiogopa mahusiano na wengine wakiyapuuza kuwa hayana maana kwaomaana hayaounguzi chochote wakiyakosa.

Ndio maana nakuwa nipo nusunusu kukubalia kuwa upoa sahii mazima.
 
Wewe unamjua Obama vizuri? [emoji848] Ungemjua usingesema haya. The guy is nothing without yule Michelle. Ukitaka kujua Obama is nothing and hakuna baba tazama mabinti zake walivyo.

Wewe unavyoonda mwanaume ambaye anatambulishwa kuwa ni first black president wa taifa kubwa na mwanaume wa chuma, ila skendo nyuma yake ukizisikia unajua tu hapa hakuna kitu.

Obama ana skendo za homosexuality. Obama huyo huyo tazama watoto wake namna wamekuwa. Mabinti wakiwa hovyo ni reflection ya baba wa hovyo. Kuwa na hela au mafanikio ya kiuchumi sio kigezo cha mtu kuwa ni baba bora.

Tazama Will Smith, tazama Dwayne wade, hawa wote wanapesa ila hawa uti wa mgongo wa kuwa baba wa familia mke ndie ana last say.

Nadhani haujui the Dark side story ya Obama.
Kama huyu wangu ana hela ila ile manhood hana yani,inaboa sana kuwa na mwanaume legelege kila kitu ndio,hana sauti ndani yaani yupoyupo na familia yao ya hovyo
 
Umepinga kishari na inaonyesha wazi kuwa umepanic haujaelewa. Wewe unataka kutuaminisha kuwa umetembelea jamii nzima ya watanzania na ukapata takwimu kamili kuwa haya matatizo mleta uzi ameyaweka wazi hapa kuwa hayapo na yeye ametutungia tu si ndivyo? [emoji848]

Me nadhani ujifunze kusoma vitu kwa utulivu na kutojibu kwa mihemko maana haikusaidii.
Kwa takwimu alizoziweka kutokana na utafiti aliofanya ni ndoa ngapi kati ya ngapi zinazohusisha mwanandoa ambaye kalelewa na mzazi mmoja ndoa yake ina matatizo yenye uhusiano wa moja kwa moja na yeye kulelewa na mzazi mmoja?
 
Unachofanya ni kupotosha mada kuongelea hoja zako ambazo hazina mashiko na mada.

Yaani ni sawa na upo kikao cha ofisi unaanza kuleta personal agenda zako za kugombana na wafanyakazi wenzako mbele ya ma CEO wa kampuni badala ya kuaddress professional issues.

Mfano unaanza kulalamika namna wafanya kazi wenzako walivyokukaushia kukuita kwenye vikao cha beer [emoji482] vitatu mfululizo na wewe ukaamua kuwanunia na sasa kazini hamna maelewano mazuri, is that part of work issues?

So hapa unajaribu kuleta hoja lakini ambazo hazihusiani na mada mezani. Ni kweli wewe hivi vitu hauoni madhara yake kama vile mabinti wadangaji wanaojichora matatuu, kuvuta shisha, wakipost mavideo ya kujiachia mtandaoni wasivyoona tatizo na wanaona wapo right kabisa na wakiona watu wanawasema huwa wanawajibu kuwaambia kwann wanawafuatilia katika privacy zao? [emoji23]

Sasa kwann unafosi kujenga hoja za kukataa kitu ambacho wewe umechagua kutokukiona. Yaani mimi nikikusoma tu hapa naona ni wazi ni umechagua kukaza fuvu na kusema hakuna tatizo ile hali mimi binafsi nikiambiwa nitengeze documentary video hapa nitakuwa na the whole 5 season's with 20 one hour episodes in each season za kuonyesha jamii testimonials za wahanga wa hili janga la changamoto za makuzi ya malezi ya mzazi m'moja.

So acha kuwa kikwazo kwenye kuelimishana.
Una uhakika mtoa mada yeye hapotoshi jamii kwa generalisation yake kuwa mtu akilelewa na mzazi mmoja lazima atakuwa chanzo cha matatizo katika ndoa yake?

Huo utafiti kaufanya kwako tu na hivyo unataka kututhibitishia kwamba uzoefu unaoupitia wewe kila mmoja aliyeoa ama kuolewa na mwenza aliyelelewa na mzazi mmoja anaupitia?
 
Back
Top Bottom