Usiombe kuacha kazi kisa Forex. Nilivyofilisika na kukimbilia kijijini Tabora

Usiombe kuacha kazi kisa Forex. Nilivyofilisika na kukimbilia kijijini Tabora

maisha sio rahisi ivo, holding hio ni swala lingine sisi tunaongelea day trading! kwamba you want to time the market kitu ambacho ni comedy, wewe toka umezaliwa ushawahi kuona tajiri yoyote kwenye list unayojua wewe anatrade forex? ukiachana na HEDGE FUNDS na mabenki wewe nani unamjua yupo kwenye list ya matajiri kwa kutrade forex? hakuna si ndio?
Wapo wengi kina warren buffet ,george Soros .Afu tunaongela maisha ya kawaida ya mbongo kuingiza milion kadhaa ukiwa jobless nimafaniko pia.
 
Kuna bi dada anaitwa janeth student wa erkan wa hapa bongo anamake proft daily sema ndo vile sio kila mtu anawez kuprove kw watu
ww siyo wa kwanza kuona hili swala la fx mens Kuna ulikoskia haya mambo na ww ukayabeba na kuja kuyasema hapa ila kama ingekuwa uhalisia upo hivy ingekuwa watu washaacha kitambo
maisha sio rahisi ivo, holding hio ni swala lingine sisi tunaongelea day trading! kwamba you want to time the market kitu ambacho ni comedy, wewe toka umezaliwa ushawahi kuona tajiri yoyote kwenye list unayojua wewe anatrade forex? ukiachana na HEDGE FUNDS na mabenki wewe nani unamjua yupo kwenye list ya matajiri kwa kutrade forex? hakuna si ndio?
 
Kuna bi dada anaitwa janeth student wa erkan wa hapa bongo anamake proft daily sema ndo vile sio kila mtu anawez kuprove kw watu
ww siyo wa kwanza kuona hili swala la fx mens Kuna ulikoskia haya mambo na ww ukayabeba na kuja kuyasema hapa ila kama ingekuwa uhalisia upo hivy ingekuwa watu washaacha kitambo
mm naongelea kwa data, naweza nkakwambia hamake profit unavodhan wewe na ukitaka wewe mwambie akupe email yake na jina la broker mm ntakusaidia kuweka trade history yake apa kama hio ni ngumu akupe tu signal anazotredia uone kama mwisho wa mwezi utatengeneza kama anavokuaminisha
 
Basi sawa watainvest huko unakotaka ww

mm naongelea kwa data, naweza nkakwambia hamake profit unavodhan wewe na ukitaka wewe mwambie akupe email yake na jina la broker mm ntakusaidia kuweka trade history yake apa kama hio ni ngumu akupe tu signal anazotredia uone kama mwisho wa mwezi utatengeneza kama anavokuaminisha
 
Watanzania naemfahamu ni Franscesco Magnetics tu ndo milionea kupitia forex.

Wengine ni wauza maujuzi tu.
Mkuu magnetics Ni mweupe tu kwa Sasa ila alikua anafanya vyema...Forex Ni legit Ila mtu akiishindwa anakimbilia kusema Ni scammer...Watu kibao wameshindwa shule Ila it doesn't mean schooling haiwezekani tafuteni skills tu
 
Soko lina uncertainties, so hapo ni kutumia risk management na strategy inayoleta returns kuanzia hata 25% mpaka 75%.

Huyo ni gambler .
Shida mkuu Kwa traders wengi Ni discipline...poor poor RM..Mimi forex naona watu wengi hawana edge Za Ku compete Na market sababu ya maarifa Na forex inahitaji mtu wa kuwa very sincere Na open akufungue macho
 
nshakwambia hakuna mwenye mt4 anatengeneza pesa, unless anauza courses! Na wala sio swala la kubishan tunaweza kuanza na wewe, tuwekee trade history ya mwezi uliop

Ndio maana napambana na Spikes ndio adui mkuu kwenye boom n crash
Leo nimempa mambo B500 alikua Na inside formation nzuri Sana 30min TF...mim Na trade boom Na crash pekee Na ninapiga blocks Tu naenda against spikes and I declared to be the best at it and we are becoming..forex is not for the heartfainted
 
Leo nimempa mambo B500 alikua Na inside formation nzuri Sana 30min TF...mim Na trade boom Na crash pekee Na ninapiga blocks Tu naenda against spikes and I declared to be the best at it and we are becoming..forex is not for the heartfainted
Mimi pia ndio sehemu pekee ambayo naona inanipa uelekeo mzuri wa faida. Kiukweli siwezi kuwa swing trader 😀😀😀 i need to see money coming my way so fast!!! Naomba unipe cheats jinsi gani una deal na spikes. Kiufupi najaribu kuzi avoid ila zinanikumba mara chache na kunikwaza kinoma.
 
Leo nimempa mambo B500 alikua Na inside formation nzuri Sana 30min TF...mim Na trade boom Na crash pekee Na ninapiga blocks Tu naenda against spikes and I declared to be the best at it and we are becoming..forex is not for the heartfainted
its very rare you will have correct inside info, however if you get it right then you are on your path to billions
 
Mimi pia ndio sehemu pekee ambayo naona inanipa uelekeo mzuri wa faida. Kiukweli siwezi kuwa swing trader 😀😀😀 i need to see money coming my way so fast!!! Naomba unipe cheats jinsi gani una deal na spikes. Kiufupi najaribu kuzi avoid ila zinanikumba mara chache na kunikwaza kinot

Mimi pia ndio sehemu pekee ambayo naona inanipa uelekeo mzuri wa faida. Kiukweli siwezi kuwa swing trader 😀😀😀 i need to see money coming my way so fast!!! Naomba unipe cheats jinsi gani una deal na spikes. Kiufupi najaribu kuzi avoid ila zinanikumba mara chache na kunikwaza kinoma.
Mim natumia TCI concept ya supply Na demand base candles nachangnya Na market structures Na nafanya structure to structure trading it becomes easy to see area of interest Na entry zqngu Na refine hivo Muda mwingi zinakua low risk entry hvo spikes zinakua Hakn kabsa sabb Ni probable highest areas where market can turn
 

Attachments

  • Screenshot_20231030-084339.png
    Screenshot_20231030-084339.png
    18.4 KB · Views: 22
Tutafte Tu skills nothing is impossible
 

Attachments

  • Screenshot_20231030-092453.png
    Screenshot_20231030-092453.png
    18.6 KB · Views: 21
Back
Top Bottom