Jane Msowoya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,302
- 7,815
Kale ka $10 kalikobakia kameliwaOmba yasikukute
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kale ka $10 kalikobakia kameliwaOmba yasikukute
Forex fanya for fun upate ela ya kula Bata na bbyhii forex imefilisi watu kadhaa wa karibu ninaowajua
kuna rafiki yangu, hatuna mazoea kivile, ni civil engineer, aliniomba sh. 5000
aisee, nilistuka, nikamwambia unamaanisha sh. 500k
akasema hapana , ni sh. 5k bro
baadaye nikapata info kwamba alikua mdau wa forex
kama nacheza forex, nakubaliana na wewe, isipokua hapomchuchu
Itakuwa US CPI news ya 3:30 p.m imewala chuma.Ndugu yangu sahivi Ile imeliwa na yenyewe Koo ni msiba
Ndo tunawaza hapa tuzike au tusafirishe[emoji18][emoji18][emoji18]Itakuwa US CPI news ya 3:30 p.m imewala chuma.
Ilibidi usubiri mpaka 5:00 p.m ndo uingie tena.
Pole sana. Soko lina uncertainties, risk management ndo mpango mzima na pia experience ya mhusika.
Haukumshauri arelease dopamine Ili kupoteza mawazo?😂hii forex imefilisi watu kadhaa wa karibu ninaowajua
kuna rafiki yangu, hatuna mazoea kivile, ni civil engineer, aliniomba sh. 5000
aisee, nilistuka, nikamwambia unamaanisha sh. 500k
akasema hapana , ni sh. 5k bro
baadaye nikapata info kwamba alikua mdau wa forex
Usianze, the markets are 100% rigged, ukishakubaliana na hilo pamoja na uncertainties zake zama tu.Unanishaurije mimi ninayetaka kuanza? 😊
yeye siyo team nyetoHaukumshauri arelease dopamine Ili kupoteza mawazo?😂
Kuleni tu hizo. Ila kama hamuitegemei na mpo tayari kuipoteza, na kama una plan nzuri basi wekezeni ila nitaendelea kuambia, market ina uncertainties, so hakikisha una experience. Experience ndo inawafanya novice traders wadumu sokoni muda mrefu .Ndo tunawaza hapa tuzike au tusafirishe[emoji18][emoji18][emoji18]
Jaribu, labda unabahati upande uo, ila kama unakazi usiache kisa hiyo kituUnanishaurije mimi ninayetaka kuanza? 😊
Kuna watu inawaendesha maisha yao.Forex fanya for fun upate ela ya kula Bata na bby
Yani Ile ela uliyo ipanga ukale weekend na mchuchu ndo iweke huko ikiliwa furesh tu
Nilikuwa nimechoka na maisha ya kufanya kazi saa nane kwa siku katika ofisi flani hivi pale posta jijini Dar es Salaam. Ndoto yangu ilikuwa kubwa zaidi kuliko kiti changu cha ofisini na mshahara wangu wa kila mwezi. Nilikuwa na hamu kubwa ya kujaribu kitu kipya, kitu ambacho kingenipa uhuru wa kifedha na fursa za kutimiza ndoto zangu.
Nilitambua kwamba kwenye ulimwengu huu wa kisasa, forex ilikuwa njia inayopendelewa zaidi ya kuwekeza na kupata faida kubwa. Nilivutiwa na hadithi za watu waliojikomboa kutoka kwenye mikono ya ajira na kuwa mabosi wa maisha yao wenyewe kupitia biashara ya forex. Hivyo basi, niliamua kuwa mmoja wao.
Nilipofikiria juu ya kuacha kazi yangu na kujitosa kwenye ulimwengu wa forex, moyo wangu ulijaa msisimko na wasiwasi. Nilisoma vitabu vingi na kujiandaa kwa miezi kadhaa kabla ya kufanya uamuzi wa mwisho. Nikaamua kuwa huu ndio wakati wangu wa kujaribu kitu kipya, wa kujiletea mabadiliko kwenye maisha yangu.
Kuacha kazi haikuwa uamuzi rahisi, lakini nilihisi kwamba huu ndio wakati sahihi wa kujitolea kwenye safari ya forex. Nilijiandaa kihisia na kifedha, nikiwa na matumaini kwamba ningeweza kugeuza ndoto zangu kuwa ukweli. Niliamua kufungua akaunti yangu ya forex na kutumia akiba yangu kama mtaji wa kuanzia. Safari yangu ya kuelekea uhuru wa kifedha ilikuwa imeanza.
Husikose sehemu inayofuata ...
Financial markets sio suala la bahati, ni suala la kwamba, je unajua market drivers? Je unajua impacts za world events na geopolitical agendas?Jaribu, labda unabahati upande uo, ila kama unakazi usiache kisa hiyo kitu
Kuna wa Tanzania ??Kuna watu inawaendesha maisha yao.
Kuna watu wamekuwa mabilionea na mamilionea kupitia forex trading, wakina Paul Tudor Jones, George Soros, Kathy Lien, Jesse Livermore (R.I.P) na Dr. David Paul(R.I.P)
Watanzania naemfahamu ni Franscesco Magnetics tu ndo milionea kupitia forex.Kuna wa Tanzania ??
Naomba ABCD za new York stock exchange mkuu.Usianze, the markets are 100% rigged, ukishakubaliana na hilo pamoja na uncertainties zake zama tu.
Ila kama we mwoga, zama kwenye Newyork stock exchange ama Dar Es Salaam stock exchange, tafuta stocks zinazofanya vizuri kwa Sasa although kwa Newyork kule wako bearish kinyama so nahisi mpaka December.
Mkuu naomba Nije PMWatanzania naemfahamu ni Franscesco Magnetics tu ndo milionea kupitia forex.
Wengine ni wauza maujuzi tu.
Newyork stock exchange ni Pana. Unafanya investment ya kununua hisa za makampuni kama Tesla, Facebook, Twitter, Netflix, Amazon n.k.Naomba ABCD za new York stock exchange mkuu.