Usiombe kuacha kazi kisa Forex. Nilivyofilisika na kukimbilia kijijini Tabora

Usiombe kuacha kazi kisa Forex. Nilivyofilisika na kukimbilia kijijini Tabora

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nilimwambia itoe hiyo kwanza tuile hiyo ingine ata ikifa itajijua huko
Samahani naomba tubadilishane contact pm please. I can see you're having a lot of funny. Then we can talk about trading please hakuna mitongazano.
Semaa inaonekana unapenda mno kuiwahi hela yako unaila kabla haijaliwa na wengine
 
Kuna watu inawaendesha maisha yao.
Kuna watu wamekuwa mabilionea na mamilionea kupitia forex trading, wakina Paul Tudor Jones, George Soros, Kathy Lien, Jesse Livermore (R.I.P) na Dr. David Paul(R.I.P)
Huyu David paul PhD amefariki mwaka huu. kuna concepts zake ninazo nazitumia vitani. Jamaa Yuko sincerely and transparency
 
View attachment 2779652
Kitambo sana, nimejiunga.

Na hiki ni kichapo cha leo!
1697119497023.png

= Bufa
 
Baba kuvamia game hiyo. Baada ya kuliwa akili ikarudi.
Ile haipaswi kuvamia, inapaswa uifanyie tafiti. Trendline haimove soko, Wala support and resistance. Kinachomove soko ni world events na economic data. Ni mwendo wa panic, fear and greed.
Wanachofanya big players huwa wanajua data, so huwa wanamake false moves kufanya promotions, promotions hizi hufanywa na mabrokers kuwaita traders wainvest wapate pesa za chapchap, wakati si kweli .

Pesa inapatikana kwa jasho.
 
Newyork stock exchange ni Pana. Unafanya investment ya kununua hisa za makampuni kama Tesla, Facebook, Twitter, Netflix, Amazon n.k.

Unanunua hisa hizo na kuziacha zimove muda mrefu, uzuri wa Newyork stock exchange kuna liquidity na volatility, wanaoweka pesa na kuziuza ni wengi ukilinganisha na Dar Es Salaam stock exchange so ikitoka habari za earnings, inamove kwa kiasi kikubwa. Ili uwekeze unahitaji upate broker au wakala.

Pia unaweza wekeza pesa zako kupitia bonds(hatifungani), kuna UTT na hata CRDB wanayo Kijani Bonds na returns unapokea Kila mwaka. Mwaka huu ndo ulikuwa mwaka bora wa kununua hatifungani kutokana na kushuka kwa shilingi ya Kitanzania.

Pia unaweza wekeza kupitia Dar Es Salaam stock exchange, kampuni ya NMB chini ya C.E.O mwanamke amekuwa akileta positive returns kila mwaka, unaweza wekeza NMB. Ili uwekeze unahitaji upate broker au wakala.
Asante sana.
Kama unalink au maelezo au namna ya kupata brockers au source yoyote ya hapo newyork stock exchange unaweza kuniinbox nifanye study kidogo. UTT nipo pia japo ndio naanza mdogomdogo
 
Huyu David paul PhD amefariki mwaka huu. kuna concepts zake ninazo nazitumia vitani. Jamaa Yuko sincerely and transparency
Yes mkuu amefariki mwaka huu, ana msemo wake mkubwa sana " When the market wants to go up, it must go down first, it must go to the orders, the professionals would rather die than chase the markets".

" The good trade is a hard trade".
"The best trades occur after the masses have been stopped out".

May this great trader rest in peace.
 
Nilikuwa nimechoka na maisha ya kufanya kazi saa nane kwa siku katika ofisi flani hivi pale posta jijini Dar es Salaam. Ndoto yangu ilikuwa kubwa zaidi kuliko kiti changu cha ofisini na mshahara wangu wa kila mwezi. Nilikuwa na hamu kubwa ya kujaribu kitu kipya, kitu ambacho kingenipa uhuru wa kifedha na fursa za kutimiza ndoto zangu.

Nilitambua kwamba kwenye ulimwengu huu wa kisasa, forex ilikuwa njia inayopendelewa zaidi ya kuwekeza na kupata faida kubwa. Nilivutiwa na hadithi za watu waliojikomboa kutoka kwenye mikono ya ajira na kuwa mabosi wa maisha yao wenyewe kupitia biashara ya forex. Hivyo basi, niliamua kuwa mmoja wao.

Nilipofikiria juu ya kuacha kazi yangu na kujitosa kwenye ulimwengu wa forex, moyo wangu ulijaa msisimko na wasiwasi. Nilisoma vitabu vingi na kujiandaa kwa miezi kadhaa kabla ya kufanya uamuzi wa mwisho. Nikaamua kuwa huu ndio wakati wangu wa kujaribu kitu kipya, wa kujiletea mabadiliko kwenye maisha yangu.

Kuacha kazi haikuwa uamuzi rahisi, lakini nilihisi kwamba huu ndio wakati sahihi wa kujitolea kwenye safari ya forex. Nilijiandaa kihisia na kifedha, nikiwa na matumaini kwamba ningeweza kugeuza ndoto zangu kuwa ukweli. Niliamua kufungua akaunti yangu ya forex na kutumia akiba yangu kama mtaji wa kuanzia. Safari yangu ya kuelekea uhuru wa kifedha ilikuwa imeanza.

Husikose sehemu inayofuata ...
Inatosha hata kuiishia hapo mkuu. Yote kuhusu forex inajulikana. Hivyo pambana ndugu
 
Asante sana.
Kama unalink au maelezo au namna ya kupata brockers au source yoyote ya hapo newyork stock exchange unaweza kuniinbox nifanye study kidogo. UTT nipo pia japo ndio naanza mdogomdogo
Sources za brokerage , nenda kwenye website Yao ya Dar Es Salaam stock exchange, utapata infos za kutosha.

Kuhusiana na Newyork stock exchange, unaweza tumia hata forex brokers wanazo stocks, broker mzuri ambaye hatosumbua ni Tickmill.
 
Asante sana.
Kama unalink au maelezo au namna ya kupata brockers au source yoyote ya hapo newyork stock exchange unaweza kuniinbox nifanye study kidogo. UTT nipo pia japo ndio naanza mdogomdogo
Ila mkuu tafuta kwanza elimu hata ya mwaka mmoja, usiingie kichwakichwa.

Kwasasa hali za stocks ni mbaya kwasababu ya interest rates ambazo FED wanaziraise, ila wametoa greenlight kuwa watapunguza riba by 2024.
 
Bora yule anaepata laki 5 anaenda kula Bata na mademu ,kumwagilia moyo weekend. Kuliko kuweka doka 200 forex utegemee itazaa. Yaani kwenye dola 100 kuona negative 90 nikugusa tu lakini kuona profit hata dola 10 ni kivumbi
 
Back
Top Bottom